KENZY
JF-Expert Member
- Dec 27, 2015
- 32,529
- 76,691
ohoo! mbona ni dawa nzuri tu!Naonaga ana nunua vigodr
basi onana na madaktari wa kinywa waulize kwanza wakikupa njia apply usipoona mabadiriko wakabidhi wao wadilinae!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ohoo! mbona ni dawa nzuri tu!Naonaga ana nunua vigodr
Sina mood ya kukujibu vibaya leoHamkai wote, inakuhusu Nini?
MdomoAnaenuka ni ke?
na humpendi kabisa?W sijamuoa
Kweli etuHapo ni kumwambia tu japo ukweli uwaga mchungu kuliko kukaa kimya
Ahahaj ety wadilinaeohoo! mbona ni dawa nzuri tu!
basi onana na madaktari wa kinywa waulize kwanza wakikupa njia apply usipoona mabadiriko wakabidhi wao wadilinae!
Sina malengo hayo ya kumuoana humpendi kabisa?
Wa moo unakuwaje uhooHakikisha miswaki haikauki ndani na ikibidi mtafutie ule mswaki wa ng'ombe.
Ahahaha ase watu mna maarifampige plasta wakati wa tendo lamaisha na kulala apumulie pua pekee
Ikishindikana m-bugishe ukoko wa ugali hautakuja sikia mnuko huo
Nenda wizara ya mifugoWa moo unakuwaje uhoo
Nichek nikupeNipasie namba zake,,wa kwangu huyo,,,Nami na tatizo kama Hilo.
Maik acha ty rafiki nimekuwa raia sanaUmekua raia huwezi kumwambia ananuka mdomo?🤣🤣🤣
Ahahah naichukua kama ilivyo namtumia'Mpenzi una nuka mdomo '
Mtumie iyo sms afu uzime simu usije suffocate ufe bure
Duh nikifika nimuulizie nani?Nenda wizara ya mifugo