Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
- Thread starter
- #81
Kumb
E mm keWanawake nao wanaoa ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
E mm keWanawake nao wanaoa ?
MnecKumb
E mm ke
Baadhi ya watu wanaweza kupiga mswaki vizuri na baada ya muda mdomo ukatoa harufu. Hii inatokea hasa mtu akikaa muda mrefu bila kula.Kwa uelewa wangu mdogo suala la kutoa harufu mbaya kinywani sio kwa ajili ya aina ya dawa Bali ni jinsi kupiga mswaki vizuri,nakumbuka Bi mkubwa miaka alinifundisha sana coz alikua ni mtaalamu wa kinywa na meno
Kwa uelewa wangu mdogo suala la kutoa harufu mbaya kinywani sio kwa ajili ya aina ya dawa Bali ni jinsi kupiga mswaki vizuri,nakumbuka Bi mkubwa miaka alinifundisha sana coz alikua ni mtaalamu wa kinywa na meno
Msaidie kumfikisha kwa wataalamu wa kinywaAcha tu
Wakati mwingine huwa ni Ugonjwa, Nakushauri, Tafuta siku mtoke, mkaongee yenu, hakikisha anafuraha siku hiyo, then mkikaribia kuondoka kama.we ni Mwanamke mwambie mwanaume wako kwa Upole wa hali yajuu kuhusu tatizo lake, mshauri atumie Colgate, Asugue Ulimi wake vizuri, Mswaki uingie karibia na koo huko atakase, nje na ndani ya Meno asukutue na afanye hivyo Mara mbili kwa siku hautakaa Uskie tena, hata mimi nilikua na Rafiki sio Mpenzi nilimchana akanielewa akabadilkka sasaivi ana Harufu nzuri tu toka kinywani.mwake...Nitajaribu
Mtu wako ndiyo nini, na wewe unaumba au unatengeneza marobot?Hi
Mtu wangu ananuka mdomo nashindwa mwambia kila nikikutana nae feeling zinakata kabisa nashindwa kumwambia nafanyaje?