BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,790
- 288,165
Wengi jana katika ile Maria Space walilia wake kwa waume baada ya kuyasikia maelezo ya kina ya Mdude kwa mateso. ya kutisha aliyoyapata kutoka kwa magaidi wanaojiita polisi, Mwenyezi Mungu ni mkubwa ndiyo sababu Mdude yuko hai hadi hii leo.
Hii MariaSpaces ni moto wa kuotea mbali, nilikua na usingiizi ila alipoanza kuongea Mdude ambaye ni muhanga wa "utekaji" usingizi ulikata. Nitajaribu kuweka Audio kama itakubali...