Hii MariaSpaces ni moto wa kuotea mbali, nilikua na usingiizi ila alipoanza kuongea Mdude ambaye ni muhanga wa "utekaji" usingizi ulikata. Nitajaribu kuweka Audio kama itakubali...
Mungu huwa habariki wenya kudharau na kudhihaki wazazi. Maana hata maandiko tunaambiwa waheshimu baba na mama.Mungu mbariki Mdude Nyagali
Aliongea matusi gani?Alivyotoka akaongea matusi nilimuona wa ajabu sana kumbe ni psychological problems...
hujui tu kauli zake zilivo mbaya, eti utamnyoa??? president na tena mwanamke? yaani nadhan hao watekaji warudi kwake tena
Nashauri Mdude Nyagali ahojiwe na TV za kimataifa.Wengi jana katika ile Maria Space walilia wake kwa waume baada ya kuyasikia maelezo ya kina ya Mdude kwa mateso. ya kutisha aliyoyapata kutoka kwa magaidi wanaojiita polisi, Mwenyezi Mungu ni mkubwa ndiyo sababu Mdude yuko hai hadi hii leo.
Yaani Mimi usingizi ulikata kabisa. Mungu atusaidieWengi jana katika ile Maria Space walilia wake kwa waume baada ya kuyasikia maelezo ya kina ya Mdude kwa mateso. ya kutisha aliyoyapata kutoka kwa magaidi wanaojiita polisi, Mwenyezi Mungu ni mkubwa ndiyo sababu Mdude yuko hai hadi hii leo.
Yaani Mimi usingizi ulikata kabisa. Mungu atusaidie
..Nashauri Mdude Nyagali ahojiwe na TV za kimataifa.
Kwa kuwa umeng'angania mara mbili kudhihaki mateso aliyoyapata mdude, na kwa kuwa umeonyesha kwamba hauna utu kabisa, basi nakutabiria ukutane na mateso aliyoyapata mdude, kabla ya mwaka huu kupita ili akili zikurudie. Ameenwe hujui tu kauli zake zilivo mbaya, eti utamnyoa??? president na tena mwanamke? yaani nadhan hao watekaji warudi kwake tena
Ni wazo zuri sana Mkuu. Jana pia alisema anaandika kitabu. Nahofia kama ataandika maovu ya jeshi la magaidi katika kitabu chake basi sitashangaa hii Serikali haramu kukipiga marufuku.
Vp wakianza na kukupumzisha wew upate afya ya akili kwanza? Japo waweza kuwa na pointKweli Mdude Chadema aliteswa sana na Magufuli na watu wake kwa kile anachoita ukosoaji.
Nilichokiona kwa Mdude hana lugha ya staha katika kukosoa huko. Maana hata aliposhinda kesi akatoa kauli ya kumnyoa Mama kwa wembe uleule aliomnyolea mtangulizi wake.
Ushauri:
Kama CDM ina viongozi wenye busara, basi mpumzisheni MDUDE apate tiba ya kisaikolojia kwanza
..pia kuna kesi ya madai dhidi ya Igp na maofisa wa polisi ambao Mdude aliwatambua.
..nimesikia ktk mahojiano kwamba Mdude na upande wake wameamshamaliza kutoa ushahidi, isipokuwa hakimu / jaji aliyekuwa akisikiliza kesi hiyo amehamishwa kituo.
..hiyo ni kesi muhimu sana na namuombea Mdude ashinde. Ushindi huo hautakuwa wa Mdude peke yake, bali kwa wote waliodhulumiwa na jeshi la polisi.
Mungu yuko nasiUko sawa Mkuu nilisikia hilo pia lakini sina imani na hizi mahakama zetu hivyo sioni uwezekano wa Mdude kupata haki yake mahakamani. Hata hiyo ya hakimu kuhamishwa ni mikakati michafu ya kuichelewesha kesi hiyo.
Sijui unamaanisha niniWw unaujua wembe aliomnyolea mtangulizi wa Samia?
K
Kwa kuwa umeng'angania mara mbili kudhihaki mateso aliyoyapata mdude, na kwa kuwa umeonyesha kwamba hauna utu kabisa, basi nakutabiria ukutane na mateso aliyoyapata mdude, kabla ya mwaka huu kupita ili akili zikurudie. Ameen
President ambaye yuko madarakani kwa wizi wa kura?
Wakifika kwa ndugu zako siku moja uje usisitize hivyo
Hatimaye Mungu ameshinda.Hii MariaSpaces ni moto wa kuotea mbali, nilikua na usingiizi ila alipoanza kuongea Mdude ambaye ni muhanga wa "utekaji" usingizi ulikata. Nitajaribu kuweka Audio kama itakubali...
Kwa kifupi ni kwamba
1. Walimpigisha shoti ya umeme kwenye chuchu na sehemu ya haja kubwa Mara kadhaa
2. Kwamba alipigwa uume wake kwa chupa ya maji. Yaani inajazwa maji halafu unapigishwa kwenye uume
3. Kwamba alimuriwa kusali sala yake ya mwisho kabla ya $kupotezwa"
4. Kwamba mashahidi wake walitishwa na hivyo kuamua kutokutoa ushahidi
5. Kwamba aliumizwa sana kwenye nyayo zake kwa vipigo
6. Mengine utasikiliza
Naiombea Tanzania, sijui watesi wa Mdude ni akina nani na sitaki kuchukua upande wowote ila Mungu atusaidie.
K
Kwa kuwa umeng'angania mara mbili kudhihaki mateso aliyoyapata mdude, na kwa kuwa umeonyesha kwamba hauna utu kabisa, basi nakutabiria ukutane na mateso aliyoyapata mdude, kabla ya mwaka huu kupita ili akili zikurudie. Ameen