Mdude adaiwa kuanika unyama aliofanyiwa na "Watekaji" wake

Wengi jana katika ile Maria Space walilia wake kwa waume baada ya kuyasikia maelezo ya kina ya Mdude kwa mateso. ya kutisha aliyoyapata kutoka kwa magaidi wanaojiita polisi, Mwenyezi Mungu ni mkubwa ndiyo sababu Mdude yuko hai hadi hii leo.

Hii MariaSpaces ni moto wa kuotea mbali, nilikua na usingiizi ila alipoanza kuongea Mdude ambaye ni muhanga wa "utekaji" usingizi ulikata. Nitajaribu kuweka Audio kama itakubali...
 
Wengi jana katika ile Maria Space walilia wake kwa waume baada ya kuyasikia maelezo ya kina ya Mdude kwa mateso. ya kutisha aliyoyapata kutoka kwa magaidi wanaojiita polisi, Mwenyezi Mungu ni mkubwa ndiyo sababu Mdude yuko hai hadi hii leo.
Yaani Mimi usingizi ulikata kabisa. Mungu atusaidie
 
Reactions: BAK
K
we hujui tu kauli zake zilivo mbaya, eti utamnyoa??? president na tena mwanamke? yaani nadhan hao watekaji warudi kwake tena
Kwa kuwa umeng'angania mara mbili kudhihaki mateso aliyoyapata mdude, na kwa kuwa umeonyesha kwamba hauna utu kabisa, basi nakutabiria ukutane na mateso aliyoyapata mdude, kabla ya mwaka huu kupita ili akili zikurudie. Ameen
 
Ni wazo zuri sana Mkuu. Jana pia alisema anaandika kitabu. Nahofia kama ataandika maovu ya jeshi la magaidi katika kitabu chake basi sitashangaa hii Serikali haramu kukipiga marufuku.

..pia kuna kesi ya madai dhidi ya Igp na maofisa wa polisi ambao Mdude aliwatambua.

..nimesikia ktk mahojiano kwamba Mdude na upande wake wameamshamaliza kutoa ushahidi, isipokuwa hakimu / jaji aliyekuwa akisikiliza kesi hiyo amehamishwa kituo.

..hiyo ni kesi muhimu sana na namuombea Mdude ashinde. Ushindi huo hautakuwa wa Mdude peke yake, bali kwa wote waliodhulumiwa na jeshi la polisi.
 
Vp wakianza na kukupumzisha wew upate afya ya akili kwanza? Japo waweza kuwa na point
 
Uko sawa Mkuu nilisikia hilo pia lakini sina imani na hizi mahakama zetu hivyo sioni uwezekano wa Mdude kupata haki yake mahakamani. Hata hiyo ya hakimu kuhamishwa ni mikakati michafu ya kuichelewesha kesi hiyo.

 
Uko sawa Mkuu nilisikia hilo pia lakini sina imani na hizi mahakama zetu hivyo sioni uwezekano wa Mdude kupata haki yake mahakamani. Hata hiyo ya hakimu kuhamishwa ni mikakati michafu ya kuichelewesha kesi hiyo.
Mungu yuko nasi
 
Reactions: BAK
K

Kwa kuwa umeng'angania mara mbili kudhihaki mateso aliyoyapata mdude, na kwa kuwa umeonyesha kwamba hauna utu kabisa, basi nakutabiria ukutane na mateso aliyoyapata mdude, kabla ya mwaka huu kupita ili akili zikurudie. Ameen

huo mda ungetumia kumuombea mdude akili zikae sawa nadhan angekua anaongea vitu vinavoeleweka saaahv! matumizi mabaya ya maombi
 
Hatimaye Mungu ameshinda.
 
K

Kwa kuwa umeng'angania mara mbili kudhihaki mateso aliyoyapata mdude, na kwa kuwa umeonyesha kwamba hauna utu kabisa, basi nakutabiria ukutane na mateso aliyoyapata mdude, kabla ya mwaka huu kupita ili akili zikurudie. Ameen

na hata ivo kijana wenu anatuchanganya sana, mara kateswa mara kamnyoa mtu sasa tushike lipi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…