Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
- Thread starter
-
- #61
Na ukijifanya wewe hayakukuti ujue ni suala LA muda tuKuteka,kutesa na kuua wakosoaji ,wapinzani au wasiokubaliana nao ni sera ya CCM, mamtu ya ovyo kuliko wakoloni na tangu uhuru hakuna maendeleo yeyote zaidi ya umaskini uliokithiri
Wewe ni zero ngoja tukuache tuu, hope hutakutana na hayo majambazi yakakushughulikia maana ndio utakuwa mwisho wako
Wewe ni zumbukuku kunyoa ilivyotumika hapo sio kama ulivyofikiria wewe iyo ni lugha ya kisanaa alafu huyo mama yenu sio mungu yeye ni mtumishi wa umma kwaiyo kukosolewa sio kosawe hujui tu kauli zake zilivo mbaya, eti utamnyoa??? president na tena mwanamke? yaani nadhan hao watekaji warudi kwake tena
Basi mchukue Mdude Chadema akamnyoe Mama yako mzazi kwanza, ndiyo tutajuwa kunyoa siyo tusiWewe ni zumbukuku kunyoa ilivyotumika hapo sio kama ulivyofikiria wewe iyo ni lugha ya kisanaa alafu huyo mama yenu sio mungu yeye ni mtumishi wa umma kwaiyo kukosolewa sio kosa