Mdude CHADEMA: Hii katiba haifai, Wazanzibari wanakuwa wakuu wa wilaya Tanzania bara huku Watanganyika hawaruhusiwi kuwa wakuu wa wilaya Zanzibar

Tutajie mkuu wa wilaya huko zanzibar anaetokea bara Acha kubwabwaja
 
Wazanzibari wanajazana kigamboni wananunua maeneo wanajenga makazi ya kudumu, ila wao hawataki watanganyika wakristo wajenge kanisa moja tu zanzibar. Mtu mweusi ni kiumbe batili
 
Aache roho mbaya, wote ni watanzani, kinachopaswa kufanywa ni kupeleka na wabara kwenye wilaya za Zanzibar. Tuache ubaguzi
Hakuna ubaguzi huu ni uvamizi wa Tanganyika kwa Zanzibar, hizo ni katika janja yake Nyerere Za kuimaliza Zanzibar tu ili kifanyike hicho ulichokiandika
 
Wazanzibari wanajazana kigamboni wananunua maeneo wanajenga makazi ya kudumu, ila wao hawataki watanganyika wakristo wajenge kanisa moja tu zanzibar. Mtu mweusi ni kiumbe batili
Kanisa utamjengea shetani? Hao wakristo wa Zanzibari unawahesabu men a wa na a makanisa yao ambayo hata hayana watu . Na wengi wamesilimu na kuiona haki
 
Majibu yatakuwa yale yale, Zanzibar padogo wabara hawataenea, udogo wa eneo la wale jamaa unawafanya watufaidi sana, ni kama kupe anayenyonya damu ya n'gombe.
Kwani nani aliwaambia mtuvamie na kutuuwa kila uchaguzi?
 
Ww hauko sawa, tokea lini mtu wa bara atapewa uongozi Zanzibar, labda vyombo vya ulinzi na usalama
Na kwanini wapewe vyombo vya usalama tu ? Jawabu ni kuendeleza uvamizi
 
Kiukweli hili Jambo la kubaguliwa kwa watanzania(bara) kule zbar ,kwenye umiliki wa ardhi,ajira,elimu ya juu, teuzi za uongozi ,n.k, haikubaliki. Kwanini wao (watanzania visiwani) waruhusiwe kwenye kila fursa ya Tanzania bara, halafu wa bara kule zbar hawaruhusiwi, hapo sio muungano ni kupeana mizigo ya bure, katiba inatakiwa kuangaliwa upya ... kukaa kimya kutapelekea wa bara, kuwa na chuki na wa Zanzibar. Wekeni Mambo sawa ili twende sambamba
 
Weeee bwege Hapo anaebagua ni huyo Mdude au Wazanzibari ambao ambao kila kitu zenji Ni Chao pekeyao?

Chetu peke yetu kipi na kila miaka 5 mnatuletea vifaru na majeshi mpaka ya Burundi kuja kutuuwa kulazimisha kuweka vibaraka wenu ili walinde uvamizi?
 
Kanisa utamjengea shetani? Hao wakristo wa Zanzibari unawahesabu men a wa na a makanisa yao ambayo hata hayana watu . Na wengi wamesilimu na kuiona haki
Haki ya kuua watu kwa kujitoa muhanga? Haki ya kutoa mafundisho ya chuki dhidi ya watu wengine kwenye mihadhara na misikitini? Kwamba unaamini ukifa utakutana na bikra saba zenye macho makubwa kama vikombe huko jehanam? na mito inayo tirisha maziwa na asali? So sad
 

Nani alijitoa mhanga Zanzibar?
Mnatuletea vijikanisa vya mashoga Kama kule Mbeya mkizuiwa mnapiga kelele
 
Aache roho mbaya, wote ni watanzani, kinachopaswa kufanywa ni kupeleka na wabara kwenye wilaya za Zanzibar. Tuache ubaguzi
Kusema ukweli hakuna watu wenye roho ya kibaguzi kama wazanzibar,wazenji huku bara wanaishi saaafi vuka maji huko kwao sasa......wanaroho mbaya sana hata Dini imeshindwa kuwaregulate nimekaa unguja kiasi,hawafai
 
Kusema ukweli hakuna watu wenye roho ya kibaguzi kama wazanzibar,wazenji huku bara wanaishi saaafi vuka maji huko kwao sasa......wanaroho mbaya sana hata Dini imeshindwa kuwaregulate nimekaa unguja kiasi,hawafai
Mzanzibari alimuuwa nani? Mbona nyinyi mlituuwa kwa maelfu katika uvamizi wenu, na kila miaka 5 mnatuletea vifaru na majeshi ya wahutu wa Burundi kuja kumweka kibaraka wenu
 
Mzanzibari alimuuwa nani? Mbona nyinyi mlituuwa kwa maelfu katika uvamizi wenu, na kila miaka 5 mnatuletea vifaru na majeshi ya wahutu wa Burundi kuja kumweka kibaraka wenu
Hata ujitetee ila mna roho mbaya sana,na staki kuanza kusema ni nini mnawafanyia wabara,kuna watu huko wabara saa 12 wapo ndani
 
Hata ujitetee ila mna roho mbaya sana,na staki kuanza kusema ni nini mnawafanyia wabara,kuna watu huko wabara saa 12 wapo ndani

Roho zenu nzuri kwani mlituulia wazee wetuy Zaidi ya elfu kumi na kila uchaguzi mnaleta majeshi , polisi, usalama mnauwa , mnanajisi , na kuiba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…