kadendu
JF-Expert Member
- Mar 30, 2014
- 645
- 496
Hao ndio kunguni wa mazaSasa kwenye roho mbaya nani hapo na ulicho andika ni nini!!?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hao ndio kunguni wa mazaSasa kwenye roho mbaya nani hapo na ulicho andika ni nini!!?
Hilo swala la identity, utamaduni wangeufany na bara kama ni muhim. Si sawa kupoteza utamaduni wa wachaga kwa kuruhus wahaya kuhamia uchagan huku unalinda utamaduni wa wazanzibar kwa kumminya mtanganyika huko zanzibar.
Mtanzania yoyote lazima awe na haki sawa sehem yoyote nchi.Watafute jina lingine watoe ilo muungano.
Zanzibar ni mkoa haipaswi kuwa na rais.[emoji41]
Unamaanisha nn?
Sio mnufaika wa muungano,tatizo lake Hana uelewa,ni miongoni mwa walioenda shule kuzurura na kutoka kapaWewe utakuwa miongoni mwa wanufaika wa huu muungano usioeleweka
Awasaidie nyie kwanza mnaoshinda na njaa unazani kula mihogo mibichi mchana kweupeeee ndio sifa.. kima wa jozani wewe.Anawasaidia nyie vibwengo kupata fedha za urojo!