Mdude CHADEMA: Hii katiba haifai, Wazanzibari wanakuwa wakuu wa wilaya Tanzania bara huku Watanganyika hawaruhusiwi kuwa wakuu wa wilaya Zanzibar

Mdude CHADEMA: Hii katiba haifai, Wazanzibari wanakuwa wakuu wa wilaya Tanzania bara huku Watanganyika hawaruhusiwi kuwa wakuu wa wilaya Zanzibar

Hilo swala la identity, utamaduni wangeufany na bara kama ni muhim. Si sawa kupoteza utamaduni wa wachaga kwa kuruhus wahaya kuhamia uchagan huku unalinda utamaduni wa wazanzibar kwa kumminya mtanganyika huko zanzibar.

Mtanzania yoyote lazima awe na haki sawa sehem yoyote nchi.Watafute jina lingine watoe ilo muungano.

Zanzibar ni mkoa haipaswi kuwa na rais.[emoji41]

Kwanini munateseka na huo unouita mkoa?
 
Unamaanisha nn?

Tanganyika imeshakufa na haipo kwahiyo hakuna Mtanganyika wala Utanganyika kwa sasa. Kilichokuepo ni Utanzania ambacho kila Mzanzibari nae anahusika kikamilifu. Ila Uzanzibari hauwahusu watanganyika.
 
Back
Top Bottom