ginyisi
JF-Expert Member
- Apr 6, 2023
- 287
- 465
Nikiona tu lemba lake kwenye tv nabadilisha chanel haraka sana, Kwan kuna nn!?90% ya waTanzania hawajui hata kama Nchimbi wala Samia walitoa hotuba wiki hii
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nikiona tu lemba lake kwenye tv nabadilisha chanel haraka sana, Kwan kuna nn!?90% ya waTanzania hawajui hata kama Nchimbi wala Samia walitoa hotuba wiki hii
Watanzania sijui kwa mmekuwa na akili ndogo hivi, hapo karibu tu Kenya 🇰🇪Rais anamosolewa achilia mbali Ughaibuni.Kamiss kupekuliwa makalio kwenye ukaguzi kule jela,halafu yeye ni nani kutupwa tathmin ya hotuba
Sisi siyo wakenya,kenya ni zizi la ng'ombe na mbuzi,siyo watu wale, huwezi anzisha movement ya kumng'oa rais halafu utazamwe tu..eti samia must go!!Watanzania sijui kwa mmekuwa na akili ndogo hivi, hapo karibu tu Kenya 🇰🇪Rais anamosolewa achilia mbali Ughaibuni.
90% ya waTanzania hawajui hata kama Nchimbi wala Samia walitoa hotuba wiki hii
Afya akiliKada wa CHADEMA, Mdude Nyagali kwenye video fupi inayosambaa kwenye mitandao ya kijamii amedokeza kuwa hotuba aliyoitoa jana Rais Samia ni hotuba mbovu zaidi kuwahi kutokea Tanzania.
Siku ya jana Rais Samia wakati anahutubia kwenye maadhimisho ya miaka 60 ya Jeshi la Polisi alitoa hotuba iliyoleta hisia mseto kwa wananchi kutokana na baadhi ya hoja alizoziibua kwenye hotuba hiyo.
Mdude amedokeza kuwa katika Marais wote waliowahi kutokea Tanzania, siku ya jana Rais Samia alitoa hotuba mbaya zaidi kuwazidi wote
Soma Pia: Rais Samia: Nina taarifa ya kikao chao cha Arusha, wanapanga uhalifu, Serikali ya Tanzania haiondoshwi hivyo
View attachment 3099483
Akitiwa mbaroni wewe, familia yako na chama chako utapata faida gani?.Duh
Mdude analazimisha kutiwa Mbaroni
Kosa lake ni nini mbona una roho mbaya kuchochea mambo maovu?Duh
Mdude analazimisha kutiwa Mbaroni
Huyu mzee huwa namfatilia inaonekana ni mstafu wa mambo hayoAkitiwa mbaroni wewe, familia yako na chama chako utapata faida gani?.
Rais hajui kama watu wengi wametekwa na kuuawa kwasabb muda mwingi anautumia kwenye dressing table kufunga shungi.Kada wa CHADEMA, Mdude Nyagali kwenye video fupi inayosambaa kwenye mitandao ya kijamii amedokeza kuwa hotuba aliyoitoa jana Rais Samia ni hotuba mbovu zaidi kuwahi kutokea Tanzania.
Siku ya jana Rais Samia wakati anahutubia kwenye maadhimisho ya miaka 60 ya Jeshi la Polisi alitoa hotuba iliyoleta hisia mseto kwa wananchi kutokana na baadhi ya hoja alizoziibua kwenye hotuba hiyo.
Mdude amedokeza kuwa katika Marais wote waliowahi kutokea Tanzania, siku ya jana Rais Samia alitoa hotuba mbaya zaidi kuwazidi wote
Soma Pia: Rais Samia: Nina taarifa ya kikao chao cha Arusha, wanapanga uhalifu, Serikali ya Tanzania haiondoshwi hivyo
View attachment 3099483
Nidhamu busara sifa ya kiongoziWanaume always hawaogopi..sijajua upande wenu wa pili😉
Umri mdogo ni tatizoTukisema ccm inatumia ujinga na umaskini wa watanzania tutakuwa tunakosea?
WANA CHADEMA HOTUBA KAMA HII, HAIWEZI KUWA NZURI KWAO NA ENDAPO WANGEISIFIA INGESHANGAZA ULIMWENGU MZIMA.Duh
Mdude analazimisha kutiwa Mbaroni
Duniani watu wenye fikra tofauti lazimawawepo huwezi kuzuia hata huko nje wapo, Gaddafi aliwatendea watu wake mema wakamkataa wengine,Yuda aliona matendo mema ya Yesu Akamsaliti;. Hivyo tuendelee kuvumiliana.Duh
Mdude analazimisha kutiwa Mbaroni
Yule dogo Alie choma picha ya raisi Samia ameisha patikana??.Mdude ana tatizo la Afya ya akili