Mdude CHADEMA: Tunaiandikia FIFA barua ili Simba ifungiwe kwa kujihusisha na siasa

Punguani na pUnga ni Mbowe hawara yenu chadema.

Niambie, kuna kipi mdude kafanya ambacho kimematerialize na kusema kafanikiwa na acha kutukana.
Yule Mdude tofauti na bangi hakuna kngn anachokijua yn ukimwangalia tuu unajua huyu n mvuta bangi
 
Pole mkuu 😂
 
Wengine tunafuatilia usitufokee. Simba wamemsajili Debora leo na saa 6 Yanga wanashusha kifaa. Tusipangiane maisha bwana mdogo.
 
Magufuli aliwahi kuwa na nia ya kuzifuta timu za Simba na Yanga maana zinawapumbaza watanzania.

Inatakiwa atokee rais mwingine aje kuzifuta hizi timu zisiwepo kabisa .
🤝
 
Yule Mdude tofauti na bangi hakuna kngn anachokijua yn ukimwangalia tuu unajua huyu n mvuta bangi
Havuti bangi wala nini? Amemmisi basha wake wa magereza alipopelekwa ndio maana anatafuta uchokozi apelekwe tena mahabusu.

Hajawahi kufanikiwa kwa lolote alilolianzisha huyo mwanaharakati uchwara.
 
Ni Sawa na kutema mate huku umelala chali.
 
Msemaji mkuu wa Simba mh Ahmed Ally amewataka Vijana wote nchini kujiunga UVCCM

Ahmed Ally amesema Vijana waliojiunga UVCCM watembee Vifua mbele kwa kufanya Maamuzi sahihi kabisa Kwenye maisha yao

Source: Wasafi media
Kwani amekosea nini?
 
Havuti bangi wala nini? Amemmisi basha wake wa magereza alipopelekwa ndio maana anatafuta uchokozi apelekwe tena mahabusu.

Hajawahi kufanikiwa kwa lolote alilolianzisha huyo mwanaharakati uchwara.
Mm namuonaga n mpiga kelele tuu
 
Nitaishangaa FIFA, kama haitaofungia Tanzania. Hii ni aibu kubwa.
Sheria za FIFA ziko wazi,kuhusu kuhusisha mpira na siasa.
 
Msemaji mkuu wa Simba mh Ahmed Ally amewataka Vijana wote nchini kujiunga UVCCM

Ahmed Ally amesema Vijana waliojiunga UVCCM watembee Vifua mbele kwa kufanya Maamuzi sahihi kabisa Kwenye maisha yao

Source: Wasafi media
Safi saaana. Kuwa msemaji wa timu yetu simba hakumzuiii kuwa mwanachama wa chama akipendacho, au kuwa mwana dini aipendayo. Nampongeza saaana kijana huyuuu. Na hakusema eti wanasimba wote mjiunge CCM, Bali yeye kama mwanaCCM anawashauri vijana wajiunge na CCM.
 
Hii nchi Ina watu wanaulewa mdogo sana,, kwahiyo Ahmed ally akizini ndio simba imezini ,jaribu kutofautisha mambo yule anaweza kuwa mwanachama wa ccm ,amezungumza kama mwanachama wa ccm sio msemaji wa simba
 
Hii nchi Ina watu wanaulewa mdogo sana,, kwahiyo Ahmed ally akizini ndio simba imezini ,jaribu kutofautisha mambo yule anaweza kuwa mwanachama wa ccm ,amezungumza kama mwanachama wa ccm sio msemaji wa simba
Ulitaka simba ,wote wazini ndio tueme zsimba wamezini.
Hiyo ni kauli ambayo simba walitakiwa waikemee.
 
Mnashindwa kushawishi wananchi wawang'oe mafisadi kinguvu mnakimbilia huruma ya FIFA,what a hopeless generation is this.
 
Ulitaka simba ,wote wazini ndio tueme zsimba wamezini.
Hiyo ni kauli ambayo simba walitakiwa waikemee.
Jaribu kutofautisha masuala binafsi ya Mtu na ya taasisi, halafu pitia sheria za FIFA ,nchi au clabu inafungiwa ikijihusisha na masuala yapi .
 
Aanze na hawa kwanza
 

Attachments

  • 5740796-62e63b393e156dda63ed013e4a368064.mp4
    7.4 MB
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…