Tangawizi
JF-Expert Member
- Jun 25, 2009
- 6,696
- 6,734
I wish dunia ingejaa haki hivyo. Haki itapatikana Mbinguni tu. Huku duniani kuna shida na mateso mengi sana. Na mengine hayana majawabu rahisi kama tunavyotaka..Ni kisingizio tu cha kunyima watu haki zao.
..Kati ya matusi na kuteka lipi ni kosa kubwa na lenye madhara kwa jamii?