Mdude Nyagali na saluti: Hii tabia Watanzania tulio raia tumejifunzia wapi?

Mdude Nyagali na saluti: Hii tabia Watanzania tulio raia tumejifunzia wapi?

..mbona alipofanya makonda hamkusema?


View attachment 1837254
Unahalalisha kosa kisa amefanya Komredi Makonda?!!!

Hwenda Komredi Makonda amefanya kwa HISIA ZA MSIBA na kutafuta HESHIMA YA KIPEKEE atakayompa kipenzi chetu hayati JPM(May his soul rest easy amen).!

Kosa ni kosa....TWO WRONGS DOES NOT MAKE ONE RIGHT!!!
 
..mashabiki wa simba nao wanapiga saluti.

..endeleeni kumtisha mama!!

1625177092352.png
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Leo katika MKUTANO WAO WA KATIBA ambao ndg.Mbowe ameendelea kudhihirisha UKAIDI alionao kwa mamlaka za nchi ya "KIJAMAA" ndugu yetu Mdude Nyagali ametushangaza......

MDUDE NYAGALI amenishangaza vipi ?!!!

TABIA INAYOOTA MIZIZI HAPA NCHINI.......

MDUDE NYAGALI alitoa ISHARA YA SALUTI kwa MEZA KUU pale alipoitwa kwenda kumsalimia mwenyekiti wake mh.Mbowe.....

Ishara ile aliyoitoa ni SALAMU YA JESHI(SALUTI)....

Je raia anatakiwa kutoa salamu ya SALUTI YA KIJESHI kwa viongozi wake ?!!!

Majibu ni haya:

1)Hata askari wa cheo kikubwa wacha kidogo ,haruhusiwi kutoa ISHARA YA SALAMU YA SALUTI akiwa nje ya majukumu ya kikazi ambayo anakuwa HAJAVAA SARE KAMILI ZA KIJESHI....ikumbukwe bila ya kuvaa kofia ya KIJESHI kichwani basi SARE HIYO haijatimia.......

Hapa tunapata FUNZO kutoka kwa mh.mkuu wa Mkoa ,Ndg.Makongoro Nyerere siku ile alipoapishwa na mh.Rais Samia Suluhu Hassan....ndugu Makongoro Nyerere aliisogelea meza ya UAPISHO kwa ukakamavu mkubwa wa KIJESHI bila ya KUPIGA SALUTI bali KUSIMAMA KWA KUCHUCHUMIA akitanguliza UKAKAMAVU WA UTII baada tu ya KUINAMA KWA KUUNYOOSHA MGONGO KWA ADABU NA NIDHAMU TELE.

2)Raia haruhusiwi kuipiga salamu hiyo ya KIJESHI(SALUTI) kwa raia mwenzake ama hata kwa ASKARI Kwani ni kinyume kabisa na utaratibu wa KIJESHI.....

Ikumbukwe kipindi cha msiba wa mpendwa wetu hayati JPM(RIP) walionekana baadhi ya VIONGOZI wakitoa SALAMU hiyo ya jeshi huku wakiwa ndani ya nguo zao za kiraia....

Kwa kuwa CHADEMA wanavaa MAVAZI MEKUNDU na Wakati mwingine BERETI NYEKUNDU vichwani ,je wameanza kujifanya ni CHAMA CHA "EFF" cha AFRIKA YA KUSINI kinachoongozwa na El Comandante Tate Julius Malema ?!!!

CHADEMA wameanza lini kuwa WAKOMUNISTI ?!!! [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Kweli CHADEMA ni chama cha MAIGIZO....yaani wao si wakomonisti ila WANAVAA makombati na BERETI NYEKUNDU VICHWANI [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

USHAURI WANGU:

Tabia hii ya raia KUPIGA SALUTI ZA KIJESHI haina AFYA na vyema tukaiacha na KUJIREKEBISHA kwani kama wanasiasa wanapenda mambo ya JESHI basi wajue kujiunga nalo hakukatazwi.....wanaweza kuacha siasa na kwenda JKT na Majeshi mengineyo ili WAKAFURAHIE SALAMU HIZO ZA KIJESHI!!!!

Ndimi MuuzaAl KasusuTandale

#NchiKwanza
#TaifaKwanza
#KaziIendelee
#StaunchSupporterOfSSH
#DieHardFanOfCCM

View attachment 1837245

View attachment 1837247
Swali ni kwamba amepiga salute gani, sababu kila jeshi/ nchi ina salute yake, waeza kuta huyo Mdude amepiga salute ya South Korea huko wewe unakuja kutupotezea muda hapa
 
Ni upuuzi kufikiria kuwa salute ni salamu ya jeshi pekee. Hivi umewahi kutoka nje ya Tanzania?

Kuna wakati nilikuwa Nairobi, nikiwa na gari yenye namba za Tanzania, traffic Police, kabla ya kuniuliza chochote, alinipigia salute, halafu akaniuliza alichokusudia.

Salute ni salamu kama zilivyo salamu nyingine. Hapa kwetu jeshi letu limeamua kuwa na utamaduni wake wa kusalimiana, lakini utamaduni huo haulazimishwi kwa mtu asiye mwanajeshi, wala hakuna sheria yoyote inayosema kuwa salamu ya namna hiyo imehodhiwa na jeshi pekee yake.
 
Leo katika MKUTANO WAO WA KATIBA ambao ndg.Mbowe ameendelea kudhihirisha UKAIDI alionao kwa mamlaka za nchi ya "KIJAMAA" ndugu yetu Mdude Nyagali ametushangaza......

MDUDE NYAGALI amenishangaza vipi ?!!!

TABIA INAYOOTA MIZIZI HAPA NCHINI.......

MDUDE NYAGALI alitoa ISHARA YA SALUTI kwa MEZA KUU pale alipoitwa kwenda kumsalimia mwenyekiti wake mh.Mbowe.....

Ishara ile aliyoitoa ni SALAMU YA JESHI(SALUTI)....

Je raia anatakiwa kutoa salamu ya SALUTI YA KIJESHI kwa viongozi wake ?!!!

Majibu ni haya:

1)Hata askari wa cheo kikubwa wacha kidogo ,haruhusiwi kutoa ISHARA YA SALAMU YA SALUTI akiwa nje ya majukumu ya kikazi ambayo anakuwa HAJAVAA SARE KAMILI ZA KIJESHI....ikumbukwe bila ya kuvaa kofia ya KIJESHI kichwani basi SARE HIYO haijatimia.......

Hapa tunapata FUNZO kutoka kwa mh.mkuu wa Mkoa ,Ndg.Makongoro Nyerere siku ile alipoapishwa na mh.Rais Samia Suluhu Hassan....ndugu Makongoro Nyerere aliisogelea meza ya UAPISHO kwa ukakamavu mkubwa wa KIJESHI bila ya KUPIGA SALUTI bali KUSIMAMA KWA KUCHUCHUMIA akitanguliza UKAKAMAVU WA UTII baada tu ya KUINAMA KWA KUUNYOOSHA MGONGO KWA ADABU NA NIDHAMU TELE.

2)Raia haruhusiwi kuipiga salamu hiyo ya KIJESHI(SALUTI) kwa raia mwenzake ama hata kwa ASKARI Kwani ni kinyume kabisa na utaratibu wa KIJESHI.....

Ikumbukwe kipindi cha msiba wa mpendwa wetu hayati JPM(RIP) walionekana baadhi ya VIONGOZI wakitoa SALAMU hiyo ya jeshi huku wakiwa ndani ya nguo zao za kiraia....

Kwa kuwa CHADEMA wanavaa MAVAZI MEKUNDU na Wakati mwingine BERETI NYEKUNDU vichwani ,je wameanza kujifanya ni CHAMA CHA "EFF" cha AFRIKA YA KUSINI kinachoongozwa na El Comandante Tate Julius Malema ?!!!

CHADEMA wameanza lini kuwa WAKOMUNISTI ?!!! 🤣🤣🤣

Kweli CHADEMA ni chama cha MAIGIZO....yaani wao si wakomonisti ila WANAVAA makombati na BERETI NYEKUNDU VICHWANI 🤣🤣🤣

USHAURI WANGU:

Tabia hii ya raia KUPIGA SALUTI ZA KIJESHI haina AFYA na vyema tukaiacha na KUJIREKEBISHA kwani kama wanasiasa wanapenda mambo ya JESHI basi wajue kujiunga nalo hakukatazwi.....wanaweza kuacha siasa na kwenda JKT na Majeshi mengineyo ili WAKAFURAHIE SALAMU HIZO ZA KIJESHI!!!!

Ndimi MuuzaAl KasusuTandale

#NchiKwanza
#TaifaKwanza
#KaziIendelee
#StaunchSupporterOfSSH
#DieHardFanOfCCM

View attachment 1837245

View attachment 1837247
Usikute wewe ndo yule kamanda wa polisi uliyemkamata Mdude kule Mbeya na kumbambikizia kesi ya madawa ya kulevya na sasa unaona wivu baada ya kuachiwa
 
Usibabaishwe na saluti, hata wewe unaweza kumpigia mtu yeyote, na haina satahili ya kupigwa- uwe umejikaza au uko legelege, umeweka kiganja cha mkono kwenye paji la uso au sikioni, unashusha mkono wako kwa pembeni au kwa mbele, zote ni saluti tu. Mimi huwa nampigia saluti mfagiaji wa ofisini kwangu kila ninapoingia na kumkuta anamaliziza kusafisha sakafu kama dalili ya kuheshimu huduma yake.
 
Leo katika MKUTANO WAO WA KATIBA ambao ndg.Mbowe ameendelea kudhihirisha UKAIDI alionao kwa mamlaka za nchi ya "KIJAMAA" ndugu yetu Mdude Nyagali ametushangaza......

MDUDE NYAGALI amenishangaza vipi ?!!!

TABIA INAYOOTA MIZIZI HAPA NCHINI.......

MDUDE NYAGALI alitoa ISHARA YA SALUTI kwa MEZA KUU pale alipoitwa kwenda kumsalimia mwenyekiti wake mh.Mbowe.....

Ishara ile aliyoitoa ni SALAMU YA JESHI(SALUTI)....

Je raia anatakiwa kutoa salamu ya SALUTI YA KIJESHI kwa viongozi wake ?!!!

Majibu ni haya:

1)Hata askari wa cheo kikubwa wacha kidogo ,haruhusiwi kutoa ISHARA YA SALAMU YA SALUTI akiwa nje ya majukumu ya kikazi ambayo anakuwa HAJAVAA SARE KAMILI ZA KIJESHI....ikumbukwe bila ya kuvaa kofia ya KIJESHI kichwani basi SARE HIYO haijatimia.......

Hapa tunapata FUNZO kutoka kwa mh.mkuu wa Mkoa ,Ndg.Makongoro Nyerere siku ile alipoapishwa na mh.Rais Samia Suluhu Hassan....ndugu Makongoro Nyerere aliisogelea meza ya UAPISHO kwa ukakamavu mkubwa wa KIJESHI bila ya KUPIGA SALUTI bali KUSIMAMA KWA KUCHUCHUMIA akitanguliza UKAKAMAVU WA UTII baada tu ya KUINAMA KWA KUUNYOOSHA MGONGO KWA ADABU NA NIDHAMU TELE.

2)Raia haruhusiwi kuipiga salamu hiyo ya KIJESHI(SALUTI) kwa raia mwenzake ama hata kwa ASKARI Kwani ni kinyume kabisa na utaratibu wa KIJESHI.....

Ikumbukwe kipindi cha msiba wa mpendwa wetu hayati JPM(RIP) walionekana baadhi ya VIONGOZI wakitoa SALAMU hiyo ya jeshi huku wakiwa ndani ya nguo zao za kiraia....

Kwa kuwa CHADEMA wanavaa MAVAZI MEKUNDU na Wakati mwingine BERETI NYEKUNDU vichwani ,je wameanza kujifanya ni CHAMA CHA "EFF" cha AFRIKA YA KUSINI kinachoongozwa na El Comandante Tate Julius Malema ?!!!

CHADEMA wameanza lini kuwa WAKOMUNISTI ?!!! [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Kweli CHADEMA ni chama cha MAIGIZO....yaani wao si wakomonisti ila WANAVAA makombati na BERETI NYEKUNDU VICHWANI [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

USHAURI WANGU:

Tabia hii ya raia KUPIGA SALUTI ZA KIJESHI haina AFYA na vyema tukaiacha na KUJIREKEBISHA kwani kama wanasiasa wanapenda mambo ya JESHI basi wajue kujiunga nalo hakukatazwi.....wanaweza kuacha siasa na kwenda JKT na Majeshi mengineyo ili WAKAFURAHIE SALAMU HIZO ZA KIJESHI!!!!

Ndimi MuuzaAl KasusuTandale

#NchiKwanza
#TaifaKwanza
#KaziIendelee
#StaunchSupporterOfSSH
#DieHardFanOfCCM

View attachment 1837245

View attachment 1837247
nenda kamkamate
 
  • Kicheko
Reactions: BAK
Usikute wewe ndo yule kamanda wa polisi uliyemkamata Mdude kule Mbeya na kumbambikizia kesi ya madawa ya kulevya na sasa unaona wivu baada ya kuachiwa
Mkuu mimi ninaitwa Jumbe Brown ,ID yangu si FEKI....

Mimi ni muuza Al Kasusu tu huku Tandale ....mbona baadhi ya wadau humu ndani wananifahamu ?!!!

Karibu kijiweni kwangu unywe Al Kasus mujarabu zaidi ya Mundende Vumbi Kasongo Mpango....

#KaziIendelee
 
Swali ni kwamba amepiga salute gani, sababu kila jeshi/ nchi ina salute yake, waeza kuta huyo Mdude amepiga salute ya South Korea huko wewe unakuja kutupotezea muda hapa
🤣🤣Ha ha ha kwa hiyo saluti ya South Korea inapigwa tu na nguo za kiraia?!!!

Mbona picha zake za hiyo saluti zipo....zipo wazi tu....
 
Umepaniki mkuu....

USHAURI tu kwa raia wenzangu mkuu!
Nakushangaa tu wenye majina yakurithi kutoka kwaviongozi wenye uwezo wakujenga hoja hasa tz mnakuaga mizezeta kama wewe unajiita jumbe ,tutaendelea kuona ajabu kunawengine wamezaliwa awamu ya 5,wanaitwa magufuli,awamu yamkapa wote wanachunga ng'ombe
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Nakushangaa tu wenye majina yakurithi kutoka kwaviongozi wenye uwezo wakujenga hoja hasa tz mnakuaga mizezeta kama wewe unajiita jumbe ,tutaendelea kuona ajabu kunawengine wamezaliwa awamu ya 5,wanaitwa magufuli,awamu yamkapa wote wanachunga ng'ombe
🤣🤣Mkuu sijajiita...hilo jina wameniita wazazi wangu....mkuu unataka kunipa jina lingine mbali na hilo lililo katika cheti Cha kuzaliwa na kitambulisho changu cha utaifa?!! Ha ha ha mkuu una ARGUMENTUM AD HOMINEM wewe.....
 
Leo katika MKUTANO WAO WA KATIBA ambao ndg.Mbowe ameendelea kudhihirisha UKAIDI alionao kwa mamlaka za nchi ya "KIJAMAA" ndugu yetu Mdude Nyagali ametushangaza......

MDUDE NYAGALI amenishangaza vipi ?!!!

TABIA INAYOOTA MIZIZI HAPA NCHINI.......

MDUDE NYAGALI alitoa ISHARA YA SALUTI kwa MEZA KUU pale alipoitwa kwenda kumsalimia mwenyekiti wake mh.Mbowe.....

Ishara ile aliyoitoa ni SALAMU YA JESHI(SALUTI)....

Je raia anatakiwa kutoa salamu ya SALUTI YA KIJESHI kwa viongozi wake ?!!!

Majibu ni haya:

1)Hata askari wa cheo kikubwa wacha kidogo ,haruhusiwi kutoa ISHARA YA SALAMU YA SALUTI akiwa nje ya majukumu ya kikazi ambayo anakuwa HAJAVAA SARE KAMILI ZA KIJESHI....ikumbukwe bila ya kuvaa kofia ya KIJESHI kichwani basi SARE HIYO haijatimia.......

Hapa tunapata FUNZO kutoka kwa mh.mkuu wa Mkoa ,Ndg.Makongoro Nyerere siku ile alipoapishwa na mh.Rais Samia Suluhu Hassan....ndugu Makongoro Nyerere aliisogelea meza ya UAPISHO kwa ukakamavu mkubwa wa KIJESHI bila ya KUPIGA SALUTI bali KUSIMAMA KWA KUCHUCHUMIA akitanguliza UKAKAMAVU WA UTII baada tu ya KUINAMA KWA KUUNYOOSHA MGONGO KWA ADABU NA NIDHAMU TELE.

2)Raia haruhusiwi kuipiga salamu hiyo ya KIJESHI(SALUTI) kwa raia mwenzake ama hata kwa ASKARI Kwani ni kinyume kabisa na utaratibu wa KIJESHI.....

Ikumbukwe kipindi cha msiba wa mpendwa wetu hayati JPM(RIP) walionekana baadhi ya VIONGOZI wakitoa SALAMU hiyo ya jeshi huku wakiwa ndani ya nguo zao za kiraia....

Kwa kuwa CHADEMA wanavaa MAVAZI MEKUNDU na Wakati mwingine BERETI NYEKUNDU vichwani ,je wameanza kujifanya ni CHAMA CHA "EFF" cha AFRIKA YA KUSINI kinachoongozwa na El Comandante Tate Julius Malema ?!!!

CHADEMA wameanza lini kuwa WAKOMUNISTI ?!!! 🤣🤣🤣

Kweli CHADEMA ni chama cha MAIGIZO....yaani wao si wakomonisti ila WANAVAA makombati na BERETI NYEKUNDU VICHWANI 🤣🤣🤣

USHAURI WANGU:

Tabia hii ya raia KUPIGA SALUTI ZA KIJESHI haina AFYA na vyema tukaiacha na KUJIREKEBISHA kwani kama wanasiasa wanapenda mambo ya JESHI basi wajue kujiunga nalo hakukatazwi.....wanaweza kuacha siasa na kwenda JKT na Majeshi mengineyo ili WAKAFURAHIE SALAMU HIZO ZA KIJESHI!!!!

Ndimi MuuzaAl KasusuTandale

#NchiKwanza
#TaifaKwanza
#KaziIendelee
#StaunchSupporterOfSSH
#DieHardFanOfCCM

View attachment 1837245

View attachment 1837247
Muulize Sabaya
 
Back
Top Bottom