Mwizukulu jilala
JF-Expert Member
- Jun 11, 2016
- 1,095
- 937
mdude nyagali chadema ni shuja wa afrika...mtakatifu mdude
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kaka funguka ubongo, kuna vitu vidogo sana vya maisha vitakuua kwa kihoro. Live your life.Leo katika mkutano wao wa katiba ambao Ndg. Mbowe ameendelea kudhihirisha ukaidi alionao kwa mamlaka za nchi ya "kijamaa" ndugu yetu mdude nyagali ametushangaza.
Mdude nyagali amenishangaza vipi?
Tabia inayoota mizizi hapa nchini.
Mdude nyagali alitoa ishara ya saluti kwa meza kuu pale alipoitwa kwenda kumsalimia mwenyekiti wake Mh. Mbowe.
Ishara ile aliyoitoa ni salamu ya jeshi (saluti).
Je, raia anatakiwa kutoa salamu ya saluti ya kijeshi kwa viongozi wake?
Majibu ni haya:
1) Hata askari wa cheo kikubwa wacha kidogo, haruhusiwi kutoa ishara ya salamu ya saluti akiwa nje ya majukumu ya kikazi ambayo anakuwa hajavaa sare kamili za kijeshi. Ikumbukwe bila ya kuvaa kofia ya kijeshi kichwani basi sare hiyo haijatimia.
Hapa tunapata funzo kutoka kwa mh.Mkuu wa mkoa Ndg. Makongoro Nyerere siku ile alipoapishwa na mh.Rais samia suluhu hassan. Ndugu Makongoro Nyerere aliisogelea meza ya uapisho kwa ukakamavu mkubwa wa kijeshi bila ya kupiga saluti bali kusimama kwa kuchuchumia akitanguliza ukakamavu wa utii baada tu ya kuinama kwa kuunyoosha mgongo kwa adabu na nidhamu tele.
2) Raia haruhusiwi kuipiga salamu hiyo ya kijeshi (saluti) kwa raia mwenzake ama hata kwa askari kwani ni kinyume kabisa na utaratibu wa kijeshi.
Ikumbukwe kipindi cha msiba wa mpendwa wetu hayati JPM (RIP) walionekana baadhi ya viongozi wakitoa salamu hiyo ya jeshi huku wakiwa ndani ya nguo zao za kiraia.
Kwa kuwa chadema wanavaa mavazi mekundu na wakati mwingine bereti nyekundu vichwani, je wameanza kujifanya ni chama cha "EFF" cha Afrika Kusini kinachoongozwa na el comandante tate julius malema?
Chadema wameanza lini kuwa wakomunisti? 🤣🤣🤣
Kweli chadema ni chama cha maigizo, yaani wao si wakomonisti ila wanavaa makombati na bereti nyekundu vichwani 🤣🤣🤣
Ushauri wangu:
Tabia hii ya raia kupiga saluti za kijeshi haina afya na vyema tukaiacha na kujirekebisha kwani kama wanasiasa wanapenda mambo ya jeshi basi wajue kujiunga nalo hakukatazwi, wanaweza kuacha siasa na kwenda JKT na majeshi mengineyo ili wakafurahie salamu hizo za kijeshi!
Ndimi MuuzaAl KasusuTandale
#NchiKwanza
#TaifaKwanza
#KaziIendelee
#StaunchSupporterOfSSH
#DieHardFanOfCCM
View attachment 1837245
View attachment 1837247
🤣🤣Kaka funguka ubongo, kuna vitu vidogo sana vya maisha vitakuua kwa kihoro. Live your life.
Isichezee jamii forum wewe.ulileta siasa zako za ki ccm ukajua unakuja na jambo kipya!Mkuu KOSA NI KOSA TU...akilifanya "A" ama "B"....🤣
😲😲😲🤣🤣mdude nyagali chadema ni shuja wa afrika...mtakatifu mdude
Nina wasiwasi.Ndio....
Acha ubish hiyo ni unform ya police haijalish kavalia nn sabaya alilewa madarakaWapi pameandikwa ni za polisi ?!!
Mkuu hivi sare za jeshi la police zinakosa maandishi ya POLISI kifuani ?!!!
Hivi sare za Polisi huwa zinavaliwa na MKUFU shingoni ?!!!
Iangalie vyema hiyo picha ya Komredi SABAYA.....
Yaani nimecheka mpaka mate yanaanguka hovyo. Tena Makonda akiwa raia plain kabisa akaisaluti maiti. Shida Moja kabla ya kuandika Jambo muhimu watu hatufanyi kautafuti kidogo.Makonda alipiga kwa marehemu hamkusema sembuse anayepiga kwa aliye hai sasa
Wanaonaga chadema tuuYaani nimecheka mpaka mate yanaanguka hovyo. Tena Makonda akiwa raia plain kabisa akaisaluti maiti. Shida Moja kabla ya kuandika Jambo muhimu watu hatufanyi kautafuti kidogo.
Kwanini hukuandika alipofanya makonda unangoja mdude apige ndio uropokeSisi akina nani ?!!!
Mimi nimemtaja MDUDE....pia nikawataja baadhi ya "viongozi" waliofanya hayo kipindi Cha msiba wa kipenzi chetu hayati JPM( May his soul rest easy amen)!