Mdude Nyagali na saluti: Hii tabia Watanzania tulio raia tumejifunzia wapi?

Mdude Nyagali na saluti: Hii tabia Watanzania tulio raia tumejifunzia wapi?

Nimejilewea bia buku Mia tano tu ukiwa na 10 unagonga safari 5 saaafi. Niache tu mazee
Safari gani meku ?!!🤣🤣

Umetoka midandamoni kujigongea mbege ya kupasiana unajivimbisha tu humu ndani 🤣
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Hii inaitwa nongwa mtasema mpaka kukimbia mchakamchaka mtasema hairuhusiwi
 
Suburi jeshi lichukue hatua, mara nyingi jeshi halipendi kusemewa na ukiona limepuuza jua hakuna kitu hapo.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Hii inaitwa nongwa mtasema mpaka kukimbia mchakamchaka mtasema hairuhusiwi
Mkuu kwani wachezaji michezo ni ASKARI?!!🤣

Mkuu kwani nimekosea kusema kuwa SALUTI ya KIJESHI ina taratibu zake ?!!

Mkuu KOSA NI KOSA TU mkuu ama tulifunike kwa kuwa ametenda MDUDE NYAGALI AMA YULE KOMREDI WANGU siku ile ya msiba wa mpendwa wetu hayati JPM?!!!
 
Suburi jeshi lichukue hatua, mara nyingi jeshi halipendi kusemewa na ukiona limepuuza jua hakuna kitu hapo.
Nimekumbushia tu makosa tufanyayo raia.... Wao kuchukua ama kutochukua hatua ni jambo jengine....
 
Mkuu kwani wachezaji michezo ni ASKARI?!![emoji1787]

Mkuu kwani nimekosea kusema kuwa SALUTI ya KIJESHI ina taratibu zake ?!!

Mkuu KOSA NI KOSA TU mkuu ama tulifunike kwa kuwa ametenda MDUDE NYAGALI AMA YULE KOMREDI WANGU siku ile ya msiba wa mpendwa wetu hayati JPM?!!!
Saluti gani ya kijeshi wakati sio mwanajeshi [emoji23][emoji23][emoji1787] hii ndio inaitwa nongwa wanajeshi wanajua wanavyosalimiana
 
Saluti gani ya kijeshi wakati sio mwanajeshi [emoji23][emoji23][emoji1787] hii ndio inaitwa nongwa wanajeshi wanajua wanavyosalimiana
Kwani mwanajeshi anapovua SARE anatakiwa kupiga saluti ?!!

Rejea aliyekuwa mwanajeshi mh.Makongoro Nyerere alivyokakamaa kinidhamu ya jeshi siku anaapishwa uRC....

Kwa hoja yako unadhani angekuwa amevaa SARE asingepiga "saluti ya kijeshi"?!!

Mkuu banaa 🤣🤣
 
Najiuliza kwa.nini Rais JMT anateua vijana wengi waliofundwa CHADEMA.. Kwa thread hii,Mwenyekiti wa CCM(T) yuko sahihi.
 
Mbona bashite alimpigia mwendazake kwenye jeneza kule Mwanza hukuhoji
 
Leo katika MKUTANO WAO WA KATIBA ambao ndg.Mbowe ameendelea kudhihirisha UKAIDI alionao kwa mamlaka za nchi ya "KIJAMAA" ndugu yetu Mdude Nyagali ametushangaza......

MDUDE NYAGALI amenishangaza vipi ?!!!

TABIA INAYOOTA MIZIZI HAPA NCHINI.......

MDUDE NYAGALI alitoa ISHARA YA SALUTI kwa MEZA KUU pale alipoitwa kwenda kumsalimia mwenyekiti wake mh.Mbowe.....

Ishara ile aliyoitoa ni SALAMU YA JESHI(SALUTI)....

Je raia anatakiwa kutoa salamu ya SALUTI YA KIJESHI kwa viongozi wake ?!!!

Majibu ni haya:

1)Hata askari wa cheo kikubwa wacha kidogo ,haruhusiwi kutoa ISHARA YA SALAMU YA SALUTI akiwa nje ya majukumu ya kikazi ambayo anakuwa HAJAVAA SARE KAMILI ZA KIJESHI....ikumbukwe bila ya kuvaa kofia ya KIJESHI kichwani basi SARE HIYO haijatimia.......

Hapa tunapata FUNZO kutoka kwa mh.mkuu wa Mkoa ,Ndg.Makongoro Nyerere siku ile alipoapishwa na mh.Rais Samia Suluhu Hassan....ndugu Makongoro Nyerere aliisogelea meza ya UAPISHO kwa ukakamavu mkubwa wa KIJESHI bila ya KUPIGA SALUTI bali KUSIMAMA KWA KUCHUCHUMIA akitanguliza UKAKAMAVU WA UTII baada tu ya KUINAMA KWA KUUNYOOSHA MGONGO KWA ADABU NA NIDHAMU TELE.

2)Raia haruhusiwi kuipiga salamu hiyo ya KIJESHI(SALUTI) kwa raia mwenzake ama hata kwa ASKARI Kwani ni kinyume kabisa na utaratibu wa KIJESHI.....

Ikumbukwe kipindi cha msiba wa mpendwa wetu hayati JPM(RIP) walionekana baadhi ya VIONGOZI wakitoa SALAMU hiyo ya jeshi huku wakiwa ndani ya nguo zao za kiraia....

Kwa kuwa CHADEMA wanavaa MAVAZI MEKUNDU na Wakati mwingine BERETI NYEKUNDU vichwani ,je wameanza kujifanya ni CHAMA CHA "EFF" cha AFRIKA YA KUSINI kinachoongozwa na El Comandante Tate Julius Malema ?!!!

CHADEMA wameanza lini kuwa WAKOMUNISTI ?!!! 🤣🤣🤣

Kweli CHADEMA ni chama cha MAIGIZO....yaani wao si wakomonisti ila WANAVAA makombati na BERETI NYEKUNDU VICHWANI 🤣🤣🤣

USHAURI WANGU:

Tabia hii ya raia KUPIGA SALUTI ZA KIJESHI haina AFYA na vyema tukaiacha na KUJIREKEBISHA kwani kama wanasiasa wanapenda mambo ya JESHI basi wajue kujiunga nalo hakukatazwi.....wanaweza kuacha siasa na kwenda JKT na Majeshi mengineyo ili WAKAFURAHIE SALAMU HIZO ZA KIJESHI!!!!

Ndimi MuuzaAl KasusuTandale

#NchiKwanza
#TaifaKwanza
#KaziIendelee
#StaunchSupporterOfSSH
#DieHardFanOfCCM

View attachment 1837245

View attachment 1837247
Kwa hiyo hapo unataka kutuambia kafanya makosa hivyo arudishwe jela sio, kumbuka enzi za ubabe, visa na visasi umepita, ndio maana katiba mpya ndio mpango mzima.
 
Leo katika MKUTANO WAO WA KATIBA ambao ndg.Mbowe ameendelea kudhihirisha UKAIDI alionao kwa mamlaka za nchi ya "KIJAMAA" ndugu yetu Mdude Nyagali ametushangaza......

MDUDE NYAGALI amenishangaza vipi ?!!!

TABIA INAYOOTA MIZIZI HAPA NCHINI.......

MDUDE NYAGALI alitoa ISHARA YA SALUTI kwa MEZA KUU pale alipoitwa kwenda kumsalimia mwenyekiti wake mh.Mbowe.....

Ishara ile aliyoitoa ni SALAMU YA JESHI(SALUTI)....

Je raia anatakiwa kutoa salamu ya SALUTI YA KIJESHI kwa viongozi wake ?!!!

Majibu ni haya:

1)Hata askari wa cheo kikubwa wacha kidogo ,haruhusiwi kutoa ISHARA YA SALAMU YA SALUTI akiwa nje ya majukumu ya kikazi ambayo anakuwa HAJAVAA SARE KAMILI ZA KIJESHI....ikumbukwe bila ya kuvaa kofia ya KIJESHI kichwani basi SARE HIYO haijatimia.......

Hapa tunapata FUNZO kutoka kwa mh.mkuu wa Mkoa ,Ndg.Makongoro Nyerere siku ile alipoapishwa na mh.Rais Samia Suluhu Hassan....ndugu Makongoro Nyerere aliisogelea meza ya UAPISHO kwa ukakamavu mkubwa wa KIJESHI bila ya KUPIGA SALUTI bali KUSIMAMA KWA KUCHUCHUMIA akitanguliza UKAKAMAVU WA UTII baada tu ya KUINAMA KWA KUUNYOOSHA MGONGO KWA ADABU NA NIDHAMU TELE.

2)Raia haruhusiwi kuipiga salamu hiyo ya KIJESHI(SALUTI) kwa raia mwenzake ama hata kwa ASKARI Kwani ni kinyume kabisa na utaratibu wa KIJESHI.....

Ikumbukwe kipindi cha msiba wa mpendwa wetu hayati JPM(RIP) walionekana baadhi ya VIONGOZI wakitoa SALAMU hiyo ya jeshi huku wakiwa ndani ya nguo zao za kiraia....

Kwa kuwa CHADEMA wanavaa MAVAZI MEKUNDU na Wakati mwingine BERETI NYEKUNDU vichwani ,je wameanza kujifanya ni CHAMA CHA "EFF" cha AFRIKA YA KUSINI kinachoongozwa na El Comandante Tate Julius Malema ?!!!

CHADEMA wameanza lini kuwa WAKOMUNISTI ?!!! [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Kweli CHADEMA ni chama cha MAIGIZO....yaani wao si wakomonisti ila WANAVAA makombati na BERETI NYEKUNDU VICHWANI [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

USHAURI WANGU:

Tabia hii ya raia KUPIGA SALUTI ZA KIJESHI haina AFYA na vyema tukaiacha na KUJIREKEBISHA kwani kama wanasiasa wanapenda mambo ya JESHI basi wajue kujiunga nalo hakukatazwi.....wanaweza kuacha siasa na kwenda JKT na Majeshi mengineyo ili WAKAFURAHIE SALAMU HIZO ZA KIJESHI!!!!

Ndimi MuuzaAl KasusuTandale

#NchiKwanza
#TaifaKwanza
#KaziIendelee
#StaunchSupporterOfSSH
#DieHardFanOfCCM

View attachment 1837245

View attachment 1837247
Hivi unajua maana ya nchi ya kijamaa kweli?
 
Back
Top Bottom