Bondpost
JF-Expert Member
- Oct 16, 2011
- 7,019
- 10,455
Nimejilewea bia buku Mia tano tu ukiwa na 10 unagonga safari 5 saaafi. Niache tu mazeePost haimhusu Sabaya Chalii yangu š¤£
#KaziInaendele
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimejilewea bia buku Mia tano tu ukiwa na 10 unagonga safari 5 saaafi. Niache tu mazeePost haimhusu Sabaya Chalii yangu š¤£
#KaziInaendele
Safari gani meku ?!!š¤£š¤£Nimejilewea bia buku Mia tano tu ukiwa na 10 unagonga safari 5 saaafi. Niache tu mazee
Mkuu kwani wachezaji michezo ni ASKARI?!!š¤£[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Hii inaitwa nongwa mtasema mpaka kukimbia mchakamchaka mtasema hairuhusiwi
Nimekumbushia tu makosa tufanyayo raia.... Wao kuchukua ama kutochukua hatua ni jambo jengine....Suburi jeshi lichukue hatua, mara nyingi jeshi halipendi kusemewa na ukiona limepuuza jua hakuna kitu hapo.
Saluti gani ya kijeshi wakati sio mwanajeshi [emoji23][emoji23][emoji1787] hii ndio inaitwa nongwa wanajeshi wanajua wanavyosalimianaMkuu kwani wachezaji michezo ni ASKARI?!![emoji1787]
Mkuu kwani nimekosea kusema kuwa SALUTI ya KIJESHI ina taratibu zake ?!!
Mkuu KOSA NI KOSA TU mkuu ama tulifunike kwa kuwa ametenda MDUDE NYAGALI AMA YULE KOMREDI WANGU siku ile ya msiba wa mpendwa wetu hayati JPM?!!!
Kwani mwanajeshi anapovua SARE anatakiwa kupiga saluti ?!!Saluti gani ya kijeshi wakati sio mwanajeshi [emoji23][emoji23][emoji1787] hii ndio inaitwa nongwa wanajeshi wanajua wanavyosalimiana
Polsi (ffu)Mkuu kwani hizo alizovaa Sabaya ni SARE za jeshi lipi la nchi ?!!!
Hukutakiwa kumjibu tena, kwa kutoelewa kwanini umepost ile picha ilitosha kukuelezea uwezo wake kiakili.hizo ni jezi za serikali mwehu kawekea Uvccm
Kwa hiyo hapo unataka kutuambia kafanya makosa hivyo arudishwe jela sio, kumbuka enzi za ubabe, visa na visasi umepita, ndio maana katiba mpya ndio mpango mzima.Leo katika MKUTANO WAO WA KATIBA ambao ndg.Mbowe ameendelea kudhihirisha UKAIDI alionao kwa mamlaka za nchi ya "KIJAMAA" ndugu yetu Mdude Nyagali ametushangaza......
MDUDE NYAGALI amenishangaza vipi ?!!!
TABIA INAYOOTA MIZIZI HAPA NCHINI.......
MDUDE NYAGALI alitoa ISHARA YA SALUTI kwa MEZA KUU pale alipoitwa kwenda kumsalimia mwenyekiti wake mh.Mbowe.....
Ishara ile aliyoitoa ni SALAMU YA JESHI(SALUTI)....
Je raia anatakiwa kutoa salamu ya SALUTI YA KIJESHI kwa viongozi wake ?!!!
Majibu ni haya:
1)Hata askari wa cheo kikubwa wacha kidogo ,haruhusiwi kutoa ISHARA YA SALAMU YA SALUTI akiwa nje ya majukumu ya kikazi ambayo anakuwa HAJAVAA SARE KAMILI ZA KIJESHI....ikumbukwe bila ya kuvaa kofia ya KIJESHI kichwani basi SARE HIYO haijatimia.......
Hapa tunapata FUNZO kutoka kwa mh.mkuu wa Mkoa ,Ndg.Makongoro Nyerere siku ile alipoapishwa na mh.Rais Samia Suluhu Hassan....ndugu Makongoro Nyerere aliisogelea meza ya UAPISHO kwa ukakamavu mkubwa wa KIJESHI bila ya KUPIGA SALUTI bali KUSIMAMA KWA KUCHUCHUMIA akitanguliza UKAKAMAVU WA UTII baada tu ya KUINAMA KWA KUUNYOOSHA MGONGO KWA ADABU NA NIDHAMU TELE.
2)Raia haruhusiwi kuipiga salamu hiyo ya KIJESHI(SALUTI) kwa raia mwenzake ama hata kwa ASKARI Kwani ni kinyume kabisa na utaratibu wa KIJESHI.....
Ikumbukwe kipindi cha msiba wa mpendwa wetu hayati JPM(RIP) walionekana baadhi ya VIONGOZI wakitoa SALAMU hiyo ya jeshi huku wakiwa ndani ya nguo zao za kiraia....
Kwa kuwa CHADEMA wanavaa MAVAZI MEKUNDU na Wakati mwingine BERETI NYEKUNDU vichwani ,je wameanza kujifanya ni CHAMA CHA "EFF" cha AFRIKA YA KUSINI kinachoongozwa na El Comandante Tate Julius Malema ?!!!
CHADEMA wameanza lini kuwa WAKOMUNISTI ?!!! š¤£š¤£š¤£
Kweli CHADEMA ni chama cha MAIGIZO....yaani wao si wakomonisti ila WANAVAA makombati na BERETI NYEKUNDU VICHWANI š¤£š¤£š¤£
USHAURI WANGU:
Tabia hii ya raia KUPIGA SALUTI ZA KIJESHI haina AFYA na vyema tukaiacha na KUJIREKEBISHA kwani kama wanasiasa wanapenda mambo ya JESHI basi wajue kujiunga nalo hakukatazwi.....wanaweza kuacha siasa na kwenda JKT na Majeshi mengineyo ili WAKAFURAHIE SALAMU HIZO ZA KIJESHI!!!!
Ndimi MuuzaAl KasusuTandale
#NchiKwanza
#TaifaKwanza
#KaziIendelee
#StaunchSupporterOfSSH
#DieHardFanOfCCM
View attachment 1837245
View attachment 1837247
Ila hili vazi ni zuri aisee
Binadamu tunasahau sa aaaAkili zao azina akili MATAGA , uwa wanajiongeresha tu kama wamekatwa kichwa..
Sasa hawa kwa mujibu Wa Aden Rage si ni mbumbumbu!? Hivyo hawajui walitendalo
Kwel kabisa mkuu sasa nimeacha baada ya kukumbuka shule zimefungwaHukutakiwa kumjibu tena, kwa kutoelewa kwanini umepost ile picha ilitosha kukuelezea uwezo wake kiakili.
Lete comment yako ukimkosoa Makonda.Mkuu KOSA NI KOSA TU...akilifanya "A" ama "B"....š¤£
Hivi unajua maana ya nchi ya kijamaa kweli?Leo katika MKUTANO WAO WA KATIBA ambao ndg.Mbowe ameendelea kudhihirisha UKAIDI alionao kwa mamlaka za nchi ya "KIJAMAA" ndugu yetu Mdude Nyagali ametushangaza......
MDUDE NYAGALI amenishangaza vipi ?!!!
TABIA INAYOOTA MIZIZI HAPA NCHINI.......
MDUDE NYAGALI alitoa ISHARA YA SALUTI kwa MEZA KUU pale alipoitwa kwenda kumsalimia mwenyekiti wake mh.Mbowe.....
Ishara ile aliyoitoa ni SALAMU YA JESHI(SALUTI)....
Je raia anatakiwa kutoa salamu ya SALUTI YA KIJESHI kwa viongozi wake ?!!!
Majibu ni haya:
1)Hata askari wa cheo kikubwa wacha kidogo ,haruhusiwi kutoa ISHARA YA SALAMU YA SALUTI akiwa nje ya majukumu ya kikazi ambayo anakuwa HAJAVAA SARE KAMILI ZA KIJESHI....ikumbukwe bila ya kuvaa kofia ya KIJESHI kichwani basi SARE HIYO haijatimia.......
Hapa tunapata FUNZO kutoka kwa mh.mkuu wa Mkoa ,Ndg.Makongoro Nyerere siku ile alipoapishwa na mh.Rais Samia Suluhu Hassan....ndugu Makongoro Nyerere aliisogelea meza ya UAPISHO kwa ukakamavu mkubwa wa KIJESHI bila ya KUPIGA SALUTI bali KUSIMAMA KWA KUCHUCHUMIA akitanguliza UKAKAMAVU WA UTII baada tu ya KUINAMA KWA KUUNYOOSHA MGONGO KWA ADABU NA NIDHAMU TELE.
2)Raia haruhusiwi kuipiga salamu hiyo ya KIJESHI(SALUTI) kwa raia mwenzake ama hata kwa ASKARI Kwani ni kinyume kabisa na utaratibu wa KIJESHI.....
Ikumbukwe kipindi cha msiba wa mpendwa wetu hayati JPM(RIP) walionekana baadhi ya VIONGOZI wakitoa SALAMU hiyo ya jeshi huku wakiwa ndani ya nguo zao za kiraia....
Kwa kuwa CHADEMA wanavaa MAVAZI MEKUNDU na Wakati mwingine BERETI NYEKUNDU vichwani ,je wameanza kujifanya ni CHAMA CHA "EFF" cha AFRIKA YA KUSINI kinachoongozwa na El Comandante Tate Julius Malema ?!!!
CHADEMA wameanza lini kuwa WAKOMUNISTI ?!!! [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kweli CHADEMA ni chama cha MAIGIZO....yaani wao si wakomonisti ila WANAVAA makombati na BERETI NYEKUNDU VICHWANI [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
USHAURI WANGU:
Tabia hii ya raia KUPIGA SALUTI ZA KIJESHI haina AFYA na vyema tukaiacha na KUJIREKEBISHA kwani kama wanasiasa wanapenda mambo ya JESHI basi wajue kujiunga nalo hakukatazwi.....wanaweza kuacha siasa na kwenda JKT na Majeshi mengineyo ili WAKAFURAHIE SALAMU HIZO ZA KIJESHI!!!!
Ndimi MuuzaAl KasusuTandale
#NchiKwanza
#TaifaKwanza
#KaziIendelee
#StaunchSupporterOfSSH
#DieHardFanOfCCM
View attachment 1837245
View attachment 1837247