Mdude Nyagali na saluti: Hii tabia Watanzania tulio raia tumejifunzia wapi?

Ulifata nini humo ndani we kibwengo au mmeanza tabia za mwiguru kutulushia mabomu?
 
🤣🤣
Unaongea kufurahisha nafsi yako eee?!!

Basi sawa.....
 
Ziko saluti nyingi...

Nimeongelea SALUTI YA. KIJESHI....

Mdude amepiga SALUTI ya KIJESHI.....

PICHA NA VIDEO MBONA ZIPO mkuu ......🤣


 
Najiuliza kwa.nini Rais JMT anateua vijana wengi waliofundwa CHADEMA.. Kwa thread hii,Mwenyekiti wa CCM(T) yuko sahihi.
🤣Uongo mkuu.....

Unataka kuniambia vijana WALIOTEULIWA wengi ni kutoka CHADEMA zaidi ya CCM ?!! Ha ha ha

Rais mbona alisema atachukua yeyote atakayemsaidia?!!!

Kwani VIJANA WOTE WA CHADEMA amewateua?

Mkuu haiwezekani UVCCM wote tukateuliwa 🤣🤣

Relax mkuu.....
 
Safari gani meku ?!!🤣🤣

Umetoka midandamoni kujigongea mbege ya kupasiana unajivimbisha tu humu ndani 🤣
Sawa, uzuri wake hunifahamu maana hata safari mie ni too low for me umri wangu sio wa kunywa Pombe za wapiga debe na vijana wa chuo wanaokunywa kwa bei rahisi walewe mapema.
 
Sasa hapa ugomvi wako ni nn na mdude?hebu tupe elimu kwenye katiba tuliyonayo katazo la salute lipo ktk kifungu kipi mkuu
 
We kweli ni mbulula,au umezaliwa mwaka 1947!duniani hakuna nchi yenye nguvu na tekinolojia ya kijeshi kama USA,mbona Maraisi wao ambao sio wanajeshi hutoa hii salamu, Bush,Obama,Trump,wanapokuwa wanashuka kwenye air force one,hutoa hii saluti.
Nchi hii ina mambo ya kijinga sana.tena unaweza ukakuta Kuna mijitu ipo jeshini,inaona Gere na kukeleka Raia akipiga saluti,
Miaka ya 90,ulikuwa uwezi kutembea umeshika kitambaa kama bendera ya Taifa,iwe tai,au leso,ungeweza kukamatwa na polisi.leo hii karne ya 21,ukikutwa umevaa kofia au tishirt inayofsnana na mavazi ya jeshi,ni balaa,wakati nchi zingine zimeishatoka kwenye utamaduni wa hovyo kama huu,
Kuvaa combat hakukufanyi uwe mwanajeshi,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…