Mdude Nyagali na saluti: Hii tabia Watanzania tulio raia tumejifunzia wapi?

Kaka funguka ubongo, kuna vitu vidogo sana vya maisha vitakuua kwa kihoro. Live your life.
 
Kaka funguka ubongo, kuna vitu vidogo sana vya maisha vitakuua kwa kihoro. Live your life.
🤣🤣
Sina kihoro mkuu.....

Nafunguka kubainisha "uzushi na ubabaifu wenu" CHADEMA ....
 
Ali Kiba kaimba wimbo wa SALUTE na kapiga full ngwamba, navielekeza vyombo vya dola atiwe mbaroni mara moja.
 
Wapi pameandikwa ni za polisi ?!!

Mkuu hivi sare za jeshi la police zinakosa maandishi ya POLISI kifuani ?!!!

Hivi sare za Polisi huwa zinavaliwa na MKUFU shingoni ?!!!

Iangalie vyema hiyo picha ya Komredi SABAYA.....
Acha ubish hiyo ni unform ya police haijalish kavalia nn sabaya alilewa madaraka
 
Kwa hiyo hadi uwe recruited jeshini ndo unaruhusiwa kupiga saluti, unaelewa mtu anapokwambia 'I salute you' au tatizo ni kuweka ile ishara ya saluti, ila kuongea ni sawa.....
 
Yaani nimecheka mpaka mate yanaanguka hovyo. Tena Makonda akiwa raia plain kabisa akaisaluti maiti. Shida Moja kabla ya kuandika Jambo muhimu watu hatufanyi kautafuti kidogo.
Wanaonaga chadema tuu
 
Hii salute imeandikwa kama ilitoka kwenye maandiko na vitabu vya dini

Maajabu Africa hayaishi kwa kweli
Mbona John Cena anapiga salute
Hata shule tulikuwa tunapiga salute kwa sana tu
 
Sisi akina nani ?!!!

Mimi nimemtaja MDUDE....pia nikawataja baadhi ya "viongozi" waliofanya hayo kipindi Cha msiba wa kipenzi chetu hayati JPM( May his soul rest easy amen)!
Kwanini hukuandika alipofanya makonda unangoja mdude apige ndio uropoke
 
kwaiyo apo kaiba chombo cha dola au nyaraka ya serikali kosa ni nini apo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…