Ndio Kamanda, makamanda tunataka siasa kama za Afghanistan, Chechnya, nk dadeki..Tatizo watanzania wengi hawaijui siasa,wanadhani siasa ni mapambio sijui mnataka Chama cha upinzani nacho kimsifie Mama kama CCM.
Tafuteni documentaries za Nchi zingine muelewe maana ya siasa.
Rais Samia Leo Tundulisu anakubatiza Jina ambalo sio lako anaamua kukuita Magufuli Mwanamke How Rais wa nch na Rais alie kua Madarakan wanakashifiwa kiasi ichi
Lisu hakomi huyu. Kumshambulia Rais kutamshushia credibilityKimsingi mbinu anayotumia, si nzuri sana kwake. Haikuwa mbaya sana kwa enzi za mshauri wake kwakuwa ni ngumu sana kumdhalilisha baba kuliko mama.
Bila kujali maoni ya kisiasa au kiitikadi, mwanamke apewe tu heshima anayostahili, zaidi mwanamke huyu akiwa mama, basi adabu itamalaki kila pande, kwake na kwa wengine; mwanamke ambaye ni mama, kisha raisi wa nchi, pengine inabidi aheshimiwe, adabu iwepo na kidogo aogopwe.
Lisu na wafananao, nadhani wanasahau hili.
Kwa maoni yako basi yupo hapo kwa bahati mbaya. Alafu usipende kumchukulia mwanamke kuwa hawezi na niwa kuonewa huruma tu. Huyo yupo hapo na anajitosheleza acha mfumo dume.Una mashaka yoyote na hilo? Ama awe mwanamke au mwanaume. Kama unaweza tenganisha hilo na uraisi wake basi ukatae jina lake pia la SAMIA, ni unisex hilo jina?
Raisi ni nani? Ukijibu ni taasisi utakuwa hujaelewa swali!
Raisi ni nini? Tasisi, na hapo utakuwa umepata.
Mshauri mheshimiwa SSH,Kama unaweza kushauri. Mnajadili mada kwa pupa tu.Kimsingi mbinu anayotumia, si nzuri sana kwake. Haikuwa mbaya sana kwa enzi za mshauri wake kwakuwa ni ngumu sana kumdhalilisha baba kuliko mama.
Bila kujali maoni ya kisiasa au kiitikadi, mwanamke apewe tu heshima anayostahili, zaidi mwanamke huyu akiwa mama, basi adabu itamalaki kila pande, kwake na kwa wengine; mwanamke ambaye ni mama, kisha raisi wa nchi, pengine inabidi aheshimiwe, adabu iwepo na kidogo aogopwe.
Lisu na wafananao, nadhani wanasahau hili.
Lini credibility yake ilishuka?Lisu hakomi huyu. Kumshambulia Rais kutamshushia credibility
Nyie mdaganyeni kwanini hamsomi alama za nyakati na situation yetu kwa Sasa nyie kujiropokea tu na hyo inatumiwa muonekane wahuni.Lini credibility yake ilishuka?
Wkt wa Jiwe mlisema hivihivi.
Haki kwa kudharau na kukashifu viongozi?Mdude,Lissu hawatafuti fadhila,wanataka haki
Anajitosheleza kutukanwa? Mfumo dume umesema? Hapa unapotosha au umepotoshwa, mfumo dume ni nini haswa?Kwa maoni yako basi yupo hapo kwa bahati mbaya. Alafu usipende kumchukulia mwanamke kuwa hawezi na niwa kuonewa huruma tu. Huyo yupo hapo na anajitosheleza acha mfumo dume.
Mama Samia ameweka kando uhalisia na sasa anajaribu kudeal na hisia.Habar wadau wa jamiforums
Nilikua nimesema nisijiusishe Tena na siasa ila kwenye ili nimeona ninayo haki ya kusema jambo
Rais Samia ulimuachia Mdude kwa Mapenzi yako kama mama mwenye upendo na si kwa sababu Mdude hakua na Hatia. Ila huruma yako Mama kwanza ilimchafua Hayat na kuonekana alikua Katil na kesi ya mdude hakustail kuwa nayo
Leo Nadhan utakua Umeona Vidio ya Mdude na Tundulisu ilio sambaa mitandao uku Mdude chadema akikuahid kua kama utaendelea ivi Atakunyoa kwa wembe ule ule alio Mnyolea Mtanguliz wako. Je Ni wembe Gani uo na vip kwa Mdude kukiri kua Kuna wembe alio Mnyolea Hayat hii haiweki Taswira wazi kua Mdude alistail kufanyiwa alio fanyiwa?
Rais Samia Leo Tundulisu anakubatiza Jina ambalo sio lako anaamua kukuita Magufuli Mwanamke How Rais wa nch na Rais alie kua Madarakan wanakashifiwa kiasi ichi
Mama nakuambia Aya kwa kua nakupenda soon utaanza kuonekana dikteta kwenye Macho yao utaanza kuitwa muuaji kwa kukubambikizia misiba isiyo kuhusu watatumia kila mbinu kukuchafua Mama kua nao Makin
Nyinyi mmeshindwa kumshauri?Mshauri mheshimiwa SSH,Kama unaweza kushauri. Mnajadili mada kwa pupa tu.
Hakana adabu haka kajituMdude ni sikio la kufa. Anajifanya ni mwanaharakati uchwara ili aweze kupata michango ya makamanda wasioelewa hatari inayokuja mbele yake. Huyu mpaka sasa hajajua na wala hajui kama yeye pamoja na viongozi wake wameshika makali wakati raisi Samia ameshika mpini. Kwa sasa acha aendelee kujidanganya mwenyew kuwa ana nguvu na uwezo wa kufanya kile anachopanga kufanya, lkn revenge yake itakuja kuwa mbaya kwake na familia yake. Hakuna aliepambana na serikali au raisi akafanikiwa.
Acheni ujinga...Habar wadau wa jamiforums
Nilikua nimesema nisijiusishe Tena na siasa ila kwenye ili nimeona ninayo haki ya kusema jambo
Rais Samia ulimuachia Mdude kwa Mapenzi yako kama mama mwenye upendo na si kwa sababu Mdude hakua na Hatia. Ila huruma yako Mama kwanza ilimchafua Hayat na kuonekana alikua Katil na kesi ya mdude hakustail kuwa nayo
Leo Nadhan utakua Umeona Vidio ya Mdude na Tundulisu ilio sambaa mitandao uku Mdude chadema akikuahid kua kama utaendelea ivi Atakunyoa kwa wembe ule ule alio Mnyolea Mtanguliz wako. Je Ni wembe Gani uo na vip kwa Mdude kukiri kua Kuna wembe alio Mnyolea Hayat hii haiweki Taswira wazi kua Mdude alistail kufanyiwa alio fanyiwa?
Rais Samia Leo Tundulisu anakubatiza Jina ambalo sio lako anaamua kukuita Magufuli Mwanamke How Rais wa nch na Rais alie kua Madarakan wanakashifiwa kiasi ichi
Mama nakuambia Aya kwa kua nakupenda soon utaanza kuonekana dikteta kwenye Macho yao utaanza kuitwa muuaji kwa kukubambikizia misiba isiyo kuhusu watatumia kila mbinu kukuchafua Mama kua nao Makin
Wana Siasa za Maji Taka sana hawa!Habar wadau wa jamiforums
Nilikua nimesema nisijiusishe Tena na siasa ila kwenye ili nimeona ninayo haki ya kusema jambo
Rais Samia ulimuachia Mdude kwa Mapenzi yako kama mama mwenye upendo na si kwa sababu Mdude hakua na Hatia. Ila huruma yako Mama kwanza ilimchafua Hayat na kuonekana alikua Katil na kesi ya mdude hakustail kuwa nayo
Leo Nadhan utakua Umeona Vidio ya Mdude na Tundulisu ilio sambaa mitandao uku Mdude chadema akikuahid kua kama utaendelea ivi Atakunyoa kwa wembe ule ule alio Mnyolea Mtanguliz wako. Je Ni wembe Gani uo na vip kwa Mdude kukiri kua Kuna wembe alio Mnyolea Hayat hii haiweki Taswira wazi kua Mdude alistail kufanyiwa alio fanyiwa?
Rais Samia Leo Tundulisu anakubatiza Jina ambalo sio lako anaamua kukuita Magufuli Mwanamke How Rais wa nch na Rais alie kua Madarakan wanakashifiwa kiasi ichi
Mama nakuambia Aya kwa kua nakupenda soon utaanza kuonekana dikteta kwenye Macho yao utaanza kuitwa muuaji kwa kukubambikizia misiba isiyo kuhusu watatumia kila mbinu kukuchafua Mama kua nao Makin
Mdude aliishinda serikali ya ccm mahakamani , hakutolewa kwa huruma ya mtu , sasa tunapojenga hoja tujikite kwenye mambo yahusuyoHabar wadau wa jamiforums
Nilikua nimesema nisijiusishe Tena na siasa ila kwenye ili nimeona ninayo haki ya kusema jambo...