Ndebile
JF-Expert Member
- Sep 14, 2011
- 7,745
- 11,267
Ndio Kamanda, makamanda tunataka siasa kama za Afghanistan, Chechnya, nk dadeki..Tatizo watanzania wengi hawaijui siasa,wanadhani siasa ni mapambio sijui mnataka Chama cha upinzani nacho kimsifie Mama kama CCM.
Tafuteni documentaries za Nchi zingine muelewe maana ya siasa.
Mdude ni Mandela aliyetufufukia Tanzania..you know why...
Mzuka unapanda makamanda