Mdude Nyagali, siasa zako sio nzuri. Jirekebishe

Mdude Nyagali, siasa zako sio nzuri. Jirekebishe

Mdude ni muathirika wa utawala wa CCM - bila mawakili imara pamoja na safari ya Mwendazake huko alikokwenda huyu jamaa angefungwa si chini ya miaka 30 jela, ina maana angetoka akiwa Mzee, huu ni ukatili wa ajabu kabisa kumfanyika mwanadamu mwenzako no matter what. .. yaani kisa tu kakukosoa kwamba wewe ni dikteta uchwara ndiyo umpe adhabu hii ya kuharibu kabisa future yake kabisa... no no no

Sasa kwa mliyomfanyia ana haki ya kusema hayo... CCM kama mnaona anakosea basi mtafutieni mwana saikolojia amsaidie - nyie ndiyo mmemsababishia hayo yote.
 
Lugha ya dharau. Wee huwezi kumwambia mama mwenye rika lile "eti muambieni huyo mama yenu".
Hiyo lugha haifai kwa mwanamke mwenye umri mkubwa. Hiyo lugha labda uitumie kwa mkeo, maana huyo mnaendana umri. Lkn kwa mtu mzima. Hiyo mnachuma laana. Na kweli hiyo laana itawafuata na kuwaandama kokote mnakoelekea. Sisi bado ni waAfrika, tuna desturi zetu. Katika kuiga vitu ni jambo jema, lkn siyo kuiga kila kitu, hata kama kinaonekana wazi kabisa kinaenda kinyume kabisa na mila na desturi zetu.

Mwenyewe nashangaa wanasapoti ujinga badala kumkana....Mwanaume mzima unamtolea kauli chafu mwanamke!!!, hata kwa mtu yeyote pia kauli hii sio nzuri aise.....kwanza huyo ni sawa na mama yake aliemzaa na isitoshe ni Raisi wake.....kama ni mimi namtia adabu

"Mwambieni huyo mama yenu nitamnyoa" duhh!
 
Lugha ya dharau. Wee huwezi kumwambia mama mwenye rika lile "eti muambieni huyo mama yenu".
Hiyo lugha haifai kwa mwanamke mwenye umri mkubwa. Hiyo lugha labda uitumie kwa mkeo, maana huyo mnaendana umri. Lkn kwa mtu mzima. Hiyo mnachuma laana. Na kweli hiyo laana itawafuata na kuwaandama kokote mnakoelekea. Sisi bado ni waAfrika, tuna desturi zetu. Katika kuiga vitu ni jambo jema, lkn siyo kuiga kila kitu, hata kama kinaonekana wazi kabisa kinaenda kinyume kabisa na mila na desturi zetu.
Ndugu yangu eliakeem hiyo ni dhana lakini si tusi kama linavyochukuliwa na chawa wa uvccm . Yeye mama anakatalia haki ya wananchi. AambiweJe ajue anawakwaza sehemu ya wananchi anaowaongoza ?!

Uchumi wa nchi hii umeanza kujengwa 1961 . Yeye mama akiwa na miaka miwili . Na haujawahi kusimama kujengwa hata mwaka moja . Sasa kuwakatalia wananchi hitaji lao ndiyo hekima kwa kigezo cha uchumi ?! Huyu anafaidika na ubovu wa katiba mbovu. Nothing much

Haki hupiganiwa , hailetwagi na watawala kama hisani
 
Ndugu yangu eliakeem hiyo ni dhana lakini si tusi kama linavyochukuliwa na chawa wa uvccm . Yeye mama anakatalia haki ya wananchi. AambiweJe ajue anawakwaza sehemu ya wananchi anaowaongoza ?!

Uchumi wa nchi hii umeanza kujengwa 1961 . Yeye mama akiwa na miaka miwili . Na haujawahi kusimama kujengwa hata mwaka moja . Sasa kuwakatalia wananchi hitaji lao ndiyo hekima kwa kigezo cha uchumi ?! Huyu anafaidika na ubovu wa katiba mbovu. Nothing much

Haki hupiganiwa , hailetwagi na watawala kama hisani

Je wewe unaona hiyo ni namna nzuri ya kumuambia kiongozi mkuu wa nchi, ambaye pia ni mama?
 
Aaaight then

Pumba umesema wewe,ambapo you are entitled to your opinion.....

Ana watu wanamsikiliza,wewe humsikilizi,he doesnt give a fvck about wewe usiemsikiliza,ahitaji you to cosign anything he says.

Nyie ndio mna mawazo ya kusaidia nchi ipige hatua?

Tunaomba katiba,kwanza hatuombi,tunawataarifu muanze mchakato maana nyie ni wafanyakazi wetu na tunawalipa,haya kafanye kazi tuone ballots fastaa

Tatizo mnapenda kuiga mila na desturi ambazo haziendani na jamii yetu. Huwezi kumuambia mtu mzima vile, halafu utegemee kuungwa mkono. Hata ukiwa na hoja nzuri namna gani, lkn ukaileta kipumbavu vile, halafu uchekelewe.
 
Je wewe unaona hiyo ni namna nzuri ya kumuambia kiongozi mkuu wa nchi, ambaye pia ni mama?
Mdude ana stress zake na wala si msemaji wa chama chao. Kikubwa ni nini kinacholeta mkinzano huu ?! Ni uamuzi mbaya wa mama kuwakatalia wananchi hitaji lao. Tena akiwa anazuia vyama vingine kujieneza . Moja kati ubovu wa katiba iliopo. Anataka wabunge na madiwani ndiyo wafanye siasa kwa sasa . Huku akijua walivyopora chaguzi zote zilizopita . Wamehakikisha wapinzani wao hawaongozi mtaa, kata, wala Jimbo . Sasa vitafanyaje siasa za kujieneza ?!

Mama ashauriwe vizuri. Unakuwa kiongozi wa wote wanaokukubali na kukupenda, na wale wanaokuchukia na kukupinga .
 
Endeleeni kumdanganya. Hata wale wa uamsho walikuwa hivi hivi, akili zilikuwa hazikai sawa. Sasa ona walivyotulia sasa. Huwezi kushinada na serikali ya nchi yako ukashinda. Tena bora mtu awe na akili za kina level ya Nyerere. Mtu kama mdude kichwani sifuri kabisa.
Kama hamtaki kukosolewa ekeni mfumo wa chama kimoja, kazi kushabikia upumbavu tu, unaona ni sawa mashekhe kuekwa ndani bila hatia basi subiri siku mzee wako aje kuekwa ndani na serikali ya ccm ndio akili zitakukaa sawa
 
Kama hamtaki kukosolewa ekeni mfumo wa chama kimoja, kazi kushabikia upumbavu tu, unaona ni sawa mashekhe kuekwa ndani bila hatia basi subiri siku mzee wako aje kuekwa ndani na serikali ya ccm ndio akili zitakukaa sawa

Nyie endeleeni kumtumia kama chambo. Kwa hiyo huo upumbavu anaoongea ndiyo namna bora ya kufanya suala la katiba lipewe kipaumbele!!?
 
Ni dhahiri Chadema wamechagua upande wa wafanya siasa UCHWARA.

Huwezi kujenga chama chako kwa kuwatumia vijana wasio na akili na maarifa.

Kwa style hiyo ya kuwatumia vijana kichwa mchunga Chadema inakwenda kupotea kwenye uso wa siasa za Tanzania.

Ali Mkwavingwa
FB_IMG_16254327549782348.jpg
 
Binafsi nashukuru kuona Chadema bado inapendwa na kufuatiliwa kwa makini na watu wengi.

Wengi wetu wanapenda Chadema kukua kimkakati na kuwa ni taasisi kubwa inayoheshimu na kufuata code of conduct za siasa na utawala bora.

Shime shime Chadema issue ya Mdude irekebisheni inaweza kupoteza dhima mzima ya operation haki na ustawi wa Chama.
Tangu lini mchanga aondoke CHADEMA?
 
Back
Top Bottom