Mdude ni muathirika wa utawala wa CCM - bila mawakili imara pamoja na safari ya Mwendazake huko alikokwenda huyu jamaa angefungwa si chini ya miaka 30 jela, ina maana angetoka akiwa Mzee, huu ni ukatili wa ajabu kabisa kumfanyika mwanadamu mwenzako no matter what. .. yaani kisa tu kakukosoa kwamba wewe ni dikteta uchwara ndiyo umpe adhabu hii ya kuharibu kabisa future yake kabisa... no no no
Sasa kwa mliyomfanyia ana haki ya kusema hayo... CCM kama mnaona anakosea basi mtafutieni mwana saikolojia amsaidie - nyie ndiyo mmemsababishia hayo yote.
Sasa kwa mliyomfanyia ana haki ya kusema hayo... CCM kama mnaona anakosea basi mtafutieni mwana saikolojia amsaidie - nyie ndiyo mmemsababishia hayo yote.