Hata Mdude hakutukana. Taja tusi moja tu alilotoa Mdude.Binafsi naogopa kumtukan
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata Mdude hakutukana. Taja tusi moja tu alilotoa Mdude.Binafsi naogopa kumtukan
Mdude kaongea lugha ya kawaida tu ya kisiasa. Lugha ya Mdude haina shida, shida ilo kwenu mnaotafsiri.Unamponza mdude.
Sijawahi kuona ukitumia lugha kama za mdude kwa watu unaotofautiana nao msimamo au kisiasa.
Kiswahili hakijawahi kunipiga chenga tangu nikiwa tumboni. Inategemea hilo neno unalitumia wapi, kwa minajili gani, kwa ajili ya nani na wakati gani. Ila kama nyie mnaamini huyo mtu yuko sahihi. Endeleeni tu.Mkuu itakuwa lugha ya kiswahili tu inakupiga chenga. Tangu lini neno KUNYOA likawa tusi??
Kusema kuwa "atatumia wembe alioutumia awamu ya 5 kumnyoa Rais" si tusi ?!!!Hata Mdude hakutukana. Taja tusi moja tu alilotoa Mdude.
Shida kubwa ipo kwa chawa. Mama ni mtu wa visiwani Zanzibar, mahala kiswahili kilipozaliwa. Anakijua kiswahili vizuri sana. Hawa chawa wanatafuta uteuzi.Mdude kaongea lugha ya kawaida tu ya kisiasa. Lugha ya Mdude haina shida, shida ilo kwenu mnaotafsiri.
Sasa hapo neno lipi ni tisi? KUNYOA ama WEMBE??Kusema kuwa "atatumia wembe alioutumia awamu ya 5 kumnyoa Rais" si tusi ?!!!
Tatizo lenu kila tukikosoa mambo ya kizwazwa ya akina MDUDE mnasema tunataka teuzi.....hivi Rais atatuteua vijana wote wa UVCCM ?!!Shida kubwa ipo kwa chawa. Mama ni mtu wa visiwani Zanzibar, mahala kiswahili kilipozaliwa. Anakijua kiswahili vizuri sana. Hawa chawa wanatafuta uteuzi.
Ahaaa! Kumbe wewe uvccm?????!!!hivi Rais atatuteua vijana wote wa UVCCM ?!!
Umenijua kivipi mkuu ?Ahaaa! Kumbe wewe uvccm?????!!!
Nishakujua
Kwenye hiyo kauli ya Mdude kuna neno lipi baya?? Binafsi naona wewe ndiye unapaswa kukamatwa na kushughulikiwa kwa kumwita Mdude mpumbavu.nimemsikia kwenye "clip " moja hivi akijitapa na kuwaambia watanzania mwambieni huyo mama yenu mimi sitishwi. Nikasema huyu jamaa pumbavu kweli.
Mdude ni boya.....anakimbiza tu "upepo"......Kwenye hiyo kauli ya Mdude kuna neno lipi baya?? Binafsi naona wewe ndiye unapaswa kukamatwa na kushughulikiwa kwa kumwita Mdude mpumbavu.
Mdude siyo level za uvccm. Ndiyo maana unaona hajahangaika kujibu hizi childish comments ambazo mmekuwa mkizitapika mitandaoni. Anaongea na rais MdudeMdude ni boya.....anakimbiza tu "upepo"......
Yaani Amiri Jeshi Wa Majeshi ya ulinzi anayeheshimiwa na wenye nguvu....azodolewe na mtu Kama Mdude ?!!!🤣🤣
Huyo jamaa atakuwa si mzima UPSTAIRS .....
Mume wako anatakiwa atumie alkasusu kwa wingi sana,anaonekana ni mwepesi sana kwenye mechi,ili uwe na adabu ww unatakiwa upelekewe fire sanaMagufuli amewafanyia unyama watu wengi Sana ikiwemo kuwauwa kabisa. Lkn leo yuko wapi??
So hiyo isikutishe kutetea haki yako hata ikibidi kwa kumtukana mtawala. Akikuuwa potelea pweteee!
🤣🤣Huyohuyo Rais anayemfanyia dharau ndiye aliyechagiza harakati za kuwatoa rumande....Mdude siyo level za uvccm. Ndiyo maana unaona hajahangaika kujibu hizi childish comments ambazo mmekuwa mkizitapika mitandaoni. Anaongea na rais Mdude
Unamaanisha rais kaufyata?we mwanamke achana na matumizi ya balimiNdo kisha sema sasa kwamba atamnyoa kwa wembe wake . Amefanywa nini? Ninyi chawa ndiyo mnapiga kelele aliyeambiwa kaufyata.
🤣🤣Unamaanisha rais kaufyata?we mwanamke achana na matumizi ya balimi
Hii ndiyo sabb watu wanataka katiba mpya. Rais asiwe Mungu mtuHuyohuyo Rais anayemfanyia dharau ndiye aliyechagiza harakati za kuwatoa rumande....
Umemsikia kamjibu Mdude??Unamaanisha rais kaufyata?we mwanamke achana na matumizi ya balimi
Magufuli amewafanyia unyama watu wengi Sana ikiwemo kuwauwa kabisa. Lkn leo yuko wapi??
So hiyo isikutishe kutetea haki yako hata ikibidi kwa kumtukana mtawala. Akikuuwa potelea pweteee!
Ilani ya uchaguzi ya CCM haina kipengele cha katiba mpya....Hii ndiyo sabb watu wanataka katiba mpya. Rais asiwe Mungu mtu