thetowerofbabel
JF-Expert Member
- Jul 17, 2010
- 266
- 360
Of course yes u can act stupid to win a warAre you attempting to play stupidity as a way of reciprocating to a stupid idea?
That is obvious ....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Of course yes u can act stupid to win a warAre you attempting to play stupidity as a way of reciprocating to a stupid idea?
Any way ur not my levelKuna muda tuliona wanaonewa, ila kwa lugha hizi unapata swali la ziada, pengine aliyemuweka ndani alikuwa na sababu!
Kwani Ben kafungwa maisha ?This is Africa bro wake up unaweza kupotezwa ikabaki hasara kwa familia Yuko wapi Ben saanane, watu wangu wanaangamizwa kwa kukosa maarifa
Ulishaona kapatikana na wanaoumia si wazazi wake maana alipotea kimzaha mzaha tuKwani Ben kafungwa maisha ?
Polisi mnasubiri nini kumkamata mdude?Mpaka dakika hii alitakiwa awe ndani
Kumtukana amiri jeshi mkuu wa majeshi yote ni jambo hatari sana kwa usalama wa nchi yetu.
Tunataka akatuambie alimnyoa vipi mtangulizi wake na aeleze mahakamani naomba akamatwe mara moja
Hatumpi umaarufu.nimemsikia kwenye "clip " moja hivi akijitapa na kuwaambia watanzania mwambieni huyo mama yenu mimi sitishwi. Nikasema huyu jamaa pumbavu kweli. Alitakiwa abaki lupango labda akili ingemkaa sawa. Shenzi sana ameniudhi.Mh nikajua kipigo cha yanga kimeua kelele za mdude... Bado mnamfungulia thread tu?
msimpe umaarufu to that extent.
Acha ujinga wewe. Usitishe watu. Hii ni nchi huru, let people be free to express their views.Sasa naomba Rais aweke huruma
Hivi kwani katukanaJe ?!.Nimekusikiliza sana tangu ulipotoka jela baada ya kushinda kesi ya madawa ya kulevya. Huna kauli za heshima kwa Rais samia.
Sasa naomba Rais aweke huruma pembeni akicheza na mbwa ataingia nalo msikitini. Huyu mdude ameonesha ni mtu asiye na akili timamu. Naomba huko chadema mujaribu kumpa somo huyo.
Kama hana akili timamu si aachwe..... Kwa kuwa Siyo kosa lake.Nimekusikiliza sana tangu ulipotoka jela baada ya kushinda kesi ya madawa ya kulevya. Huna kauli za heshima kwa Rais samia.
Sasa naomba Rais aweke huruma pembeni akicheza na mbwa ataingia nalo msikitini. Huyu mdude ameonesha ni mtu asiye na akili timamu. Naomba huko chadema mujaribu kumpa somo huyo.
Watetezi wa mdudu ni ww na missile pekee.Acha ujinga wewe. Usitishe watu. Hii ni nchi huru, let people be free to express their views.
Anatukanwa Mungu sembuse Samia. Akijichanga anatukanwa tu. Akitaka heshima aheshimu wengine. Ulitaka atangaze kuminya haki za watu halafu apigiwe makofi ya shukurani??
CCM wahed!
Huyo Mdude Nyagali na Wenzake akina Mbowe wana makazi mpaka ulaya na arabuni.....Nimekusikiliza sana tangu ulipotoka jela baada ya kushinda kesi ya madawa ya kulevya. Huna kauli za heshima kwa Rais samia.
Sasa naomba Rais aweke huruma pembeni akicheza na mbwa ataingia nalo msikitini. Huyu mdude ameonesha ni mtu asiye na akili timamu. Naomba huko chadema mujaribu kumpa somo huyo.