Mdude Nyagali, siasa zako sio nzuri. Jirekebishe

Mdude Nyagali, siasa zako sio nzuri. Jirekebishe

Acha ujinga wewe. Usitishe watu. Hii ni nchi huru, let people be free to express their views.

Anatukanwa Mungu sembuse Samia. Akijichanga anatukanwa tu. Akitaka heshima aheshimu wengine. Ulitaka atangaze kuminya haki za watu halafu apigiwe makofi ya shukurani??

CCM wahed
Ukimtukana Mungu atakuhukumu atakavyopenda.... possibly huko mbinguni.....

Ukimtukana binadamu mwenye mamlaka basi ujiandae kwa vita katika maisha hayahaya.......
 
Nimekusikiliza sana tangu ulipotoka jela baada ya kushinda kesi ya madawa ya kulevya. Huna kauli za heshima kwa Rais samia.

Sasa naomba Rais aweke huruma pembeni akicheza na mbwa ataingia nalo msikitini. Huyu mdude ameonesha ni mtu asiye na akili timamu. Naomba huko chadema mujaribu kumpa somo huyo.
Mnachosha na nyinyi nchi ya Democrats hii wenzenu wanapigwa na mayai mpo dunia gani nyinyi?
 
Mnachosha na nyinyi nchi ya Democrats hii wenzenu wanapigwa na mayai mpo dunia gani nyinyi?
Afrika ina demokrasia yake....haifanani na ya wazungu....

Hushangai akina Museveni na sisi Tanzania kupinga Vita "ungese"?!!!

Lini umewaona "wangese" rainbow coalitions wakiandamana mitaani katika zile "parade" zao kama ulaya na Marekani?!!!
 
Ukimtukana Mungu atakuhukumu atakavyopenda.... possibly huko mbinguni.

Ukimtukana binadamu mwenye mamlaka basi ujiandae kwa vita katika maisha hayahaya.
Magufuli amewafanyia unyama watu wengi Sana ikiwemo kuwauwa kabisa. Lkn leo yuko wapi?

So hiyo isikutishe kutetea haki yako hata ikibidi kwa kumtukana mtawala. Akikuuwa potelea pweteee!
 
Mdude ni bonge la boya.....

Anapigana Vita atakavyoshindwa.....

Sijui mijitu hiyo inaifikiriaje CCM?!!
Yaani wanakichukulia tu km chama Cha siasa kilicho tu madarakani 🤣🤣🤣
 
Acha ujinga wewe. Usitishe watu. Hii ni nchi huru, let people be free to express their views.

Anatukanwa Mungu sembuse Samia. Akijichanga anatukanwa tu. Akitaka heshima aheshimu wengine. Ulitaka atangaze kuminya haki za watu halafu apigiwe makofi ya shukurani??

CCM wahed!
Kuna tofauti ya ku-express their views na kutukana. Msimjaze upepo halafu siro akimshughulikia muanze kutembeza bakuli na kulalamika.
 
Magufuli amewafanyia unyama watu wengi Sana ikiwemo kuwauwa kabisa. Lkn leo yuko wapi??

So hiyo isikutishe kutetea haki yako hata ikibidi kwa kumtukana mtawala. Akikuuwa potelea pweteee!
Basi nenda kamtukane hata mkuu wa mkoa pale ofisini kwake.....

Si unataka "kuplay hero" ili ukumbukwe na baadhi ya wajinga?!!!

Mtie tu ujinga huyo boya Mdude....
 
Kuna tofauti ya ku-express their views na kutukana. Msimjaze upepo halafu siro akimshughulikia muanze kutembeza bakuli na kulalamika.
Taja tusi hata moja alilotoa Mdude toka kinywani mwake.
 
Ndio ulichokiona hicho kwa wazungu mengi yaliomazuri mazuri kwao hujayaona
Nimeongelea jinsi hiyo demokrasia inavyotafsiriwa na kila nchi.....

Kumbuka haki za hao "madheha" huwa ziko ndani ya Uhuru wa kidemokrasia.....
 
Nimekusikiliza sana tangu ulipotoka jela baada ya kushinda kesi ya madawa ya kulevya. Huna kauli za heshima kwa Rais samia.

Sasa naomba Rais aweke huruma pembeni akicheza na mbwa ataingia nalo msikitini. Huyu mdude ameonesha ni mtu asiye na akili timamu. Naomba huko chadema mujaribu kumpa somo huyo.
Punguza ubwege!
ccm wote wanaimba kuchinja, kuchana chana na kutupa kule... Tena kwenye halaiki na spika kubwa.
Kwa Siri na kwa Uwazi wanachama wao wanaua na kutishia haki ya kuishi.
Unapokosoa kauli za Mdude twambie ulifanya nini kuikemea ccm!
Hivi jitu Zima unapata wapi moral audacity kuanzisha uzi wa hivi??
 
Mtoa hoja umeonyesha ni jinsi gani ilivyokua mpumbavu,kosa gani Mr.Mdude kalifanya ?amevunja sheria gani hapa?mwanaccm anapomtishia maisha Mr.Zito(hili ni kosa la jinai)maisha yanaendelea na husikiki ukipaza sauti maana mnajifanya Tanzania ni mali yenu sio ya watanzania wote,kunywa maji baridi na kipande kidogo cha lemon na tulia mkuu.
 
Ndo kisha sema sasa kwamba atamnyoa kwa wembe wake . Amefanywa nini? Ninyi chawa ndiyo mnapiga kelele aliyeambiwa kaufyata.
🤣🤣🤣

Kwa hiyo Rais kaufyata?!!!!

Yaani unamuambia mkuu wa nchi utamnyoa kwa wembe? Khaaa ha ha ha ha

Endelea tu kumtia ujinga huyo Mpumbavu Mdude.

Ila adhabu ya kaburi aijuaye maiti.....yakimkuta hutojitokeza KUMSAIDIA.

Aisee ninyi jamaa kweli ni KEYBOARD WARRIORS 🤣🤣
 
Taja tusi hata moja alilotoa Mdude toka kinywani mwake.
Mzee, tutumie akili kidogo. Mtu mzima tena mwanamke tena Rais na amirijeshi kumwambia atamnyoa kwa wembe uleule aliomnyolea mtangulizi wake hayo ni matusi makubwa sana. Je atamnyoa nywele zipi hasa?
 
Mzee, tutumie akili kidogo. Mtu mzima tena mwanamke tena Rais na amirijeshi kumwambia atamnyoa kwa wembe uleule aliomnyolea mtangulizi wake hayo ni matusi makubwa sana. Je atamnyoa nywele zipi hasa?
Huyo Mdude ni bonge la sakala.

Huyo Mdude ni bonge la boya.

Aendelee tu kuutafuta UMAARUFU ambao hautomsaidia binafsi Wala GENGE LAKE LA AKINA MBOWE.
 
Mzee, tutumie akili kidogo. Mtu mzima tena mwanamke tena Rais na amirijeshi kumwambia atamnyoa kwa wembe uleule aliomnyolea mtangulizi wake hayo ni matusi makubwa sana. Je atamnyoa nywele zipi hasa?
Mkuu itakuwa lugha ya kiswahili tu inakupiga chenga. Tangu lini neno KUNYOA likawa tusi??
 
Yaah! Kaambiwa atanyolewa kwa wembe, tena on camera. Kwani hujaona YouTube??
Sawa,

Endeleeni tu kumtia ujinga huyo sakala wa NYANDA ZA JUU KUSINI.

Yakimkuta hutomsaidia.

Binafsi naogopa kumtukana hata mtu mzima tu huku mitaani, sembuse mkuu wa nchi ?!!! Khaaa hivi ninyi mnavutaga bangee na masikio eee?
 
Back
Top Bottom