Jumbe Brown
JF-Expert Member
- Jun 23, 2020
- 12,077
- 12,786
Ukimtukana Mungu atakuhukumu atakavyopenda.... possibly huko mbinguni.....Acha ujinga wewe. Usitishe watu. Hii ni nchi huru, let people be free to express their views.
Anatukanwa Mungu sembuse Samia. Akijichanga anatukanwa tu. Akitaka heshima aheshimu wengine. Ulitaka atangaze kuminya haki za watu halafu apigiwe makofi ya shukurani??
CCM wahed
Ukimtukana binadamu mwenye mamlaka basi ujiandae kwa vita katika maisha hayahaya.......