Lugha ya dharau. Wee huwezi kumwambia mama mwenye rika lile "eti muambieni huyo mama yenu".
Hiyo lugha haifai kwa mwanamke mwenye umri mkubwa. Hiyo lugha labda uitumie kwa mkeo, maana huyo mnaendana umri. Lkn kwa mtu mzima. Hiyo mnachuma laana. Na kweli hiyo laana itawafuata na kuwaandama kokote mnakoelekea. Sisi bado ni waAfrika, tuna desturi zetu. Katika kuiga vitu ni jambo jema, lkn siyo kuiga kila kitu, hata kama kinaonekana wazi kabisa kinaenda kinyume kabisa na mila na desturi zetu.
Ndugu yangu eliakeem hiyo ni dhana lakini si tusi kama linavyochukuliwa na chawa wa uvccm . Yeye mama anakatalia haki ya wananchi. AambiweJe ajue anawakwaza sehemu ya wananchi anaowaongoza ?!Lugha ya dharau. Wee huwezi kumwambia mama mwenye rika lile "eti muambieni huyo mama yenu".
Hiyo lugha haifai kwa mwanamke mwenye umri mkubwa. Hiyo lugha labda uitumie kwa mkeo, maana huyo mnaendana umri. Lkn kwa mtu mzima. Hiyo mnachuma laana. Na kweli hiyo laana itawafuata na kuwaandama kokote mnakoelekea. Sisi bado ni waAfrika, tuna desturi zetu. Katika kuiga vitu ni jambo jema, lkn siyo kuiga kila kitu, hata kama kinaonekana wazi kabisa kinaenda kinyume kabisa na mila na desturi zetu.
Ndio siasa yenyewe hioNa anavyosema kwa dharau "mwambieni huyo mama yenu"!!?
Kawaulize Mdude au Maghufuli . Mojawapo anajuaKwahiyo mdude alimnyoa wapi magufuli??
Ndugu yangu eliakeem hiyo ni dhana lakini si tusi kama linavyochukuliwa na chawa wa uvccm . Yeye mama anakatalia haki ya wananchi. AambiweJe ajue anawakwaza sehemu ya wananchi anaowaongoza ?!
Uchumi wa nchi hii umeanza kujengwa 1961 . Yeye mama akiwa na miaka miwili . Na haujawahi kusimama kujengwa hata mwaka moja . Sasa kuwakatalia wananchi hitaji lao ndiyo hekima kwa kigezo cha uchumi ?! Huyu anafaidika na ubovu wa katiba mbovu. Nothing much
Haki hupiganiwa , hailetwagi na watawala kama hisani
Aaaight then
Pumba umesema wewe,ambapo you are entitled to your opinion.....
Ana watu wanamsikiliza,wewe humsikilizi,he doesnt give a fvck about wewe usiemsikiliza,ahitaji you to cosign anything he says.
Nyie ndio mna mawazo ya kusaidia nchi ipige hatua?
Tunaomba katiba,kwanza hatuombi,tunawataarifu muanze mchakato maana nyie ni wafanyakazi wetu na tunawalipa,haya kafanye kazi tuone ballots fastaa
Mdude ana stress zake na wala si msemaji wa chama chao. Kikubwa ni nini kinacholeta mkinzano huu ?! Ni uamuzi mbaya wa mama kuwakatalia wananchi hitaji lao. Tena akiwa anazuia vyama vingine kujieneza . Moja kati ubovu wa katiba iliopo. Anataka wabunge na madiwani ndiyo wafanye siasa kwa sasa . Huku akijua walivyopora chaguzi zote zilizopita . Wamehakikisha wapinzani wao hawaongozi mtaa, kata, wala Jimbo . Sasa vitafanyaje siasa za kujieneza ?!Je wewe unaona hiyo ni namna nzuri ya kumuambia kiongozi mkuu wa nchi, ambaye pia ni mama?
Good! Your are an expert in stupidity. Endelea!Of course yes u can act stupid to win a war
That is obvious ....
Kiingereza au ubunifu wa aina gani huu? Andika lugha unayoweza bhana! Kila mstari umekosewa!Any way ur not my level
Ur just a norma human creature
Kama hamtaki kukosolewa ekeni mfumo wa chama kimoja, kazi kushabikia upumbavu tu, unaona ni sawa mashekhe kuekwa ndani bila hatia basi subiri siku mzee wako aje kuekwa ndani na serikali ya ccm ndio akili zitakukaa sawaEndeleeni kumdanganya. Hata wale wa uamsho walikuwa hivi hivi, akili zilikuwa hazikai sawa. Sasa ona walivyotulia sasa. Huwezi kushinada na serikali ya nchi yako ukashinda. Tena bora mtu awe na akili za kina level ya Nyerere. Mtu kama mdude kichwani sifuri kabisa.
Kama hamtaki kukosolewa ekeni mfumo wa chama kimoja, kazi kushabikia upumbavu tu, unaona ni sawa mashekhe kuekwa ndani bila hatia basi subiri siku mzee wako aje kuekwa ndani na serikali ya ccm ndio akili zitakukaa sawa
Tangu lini mchanga aondoke CHADEMA?Binafsi nashukuru kuona Chadema bado inapendwa na kufuatiliwa kwa makini na watu wengi.
Wengi wetu wanapenda Chadema kukua kimkakati na kuwa ni taasisi kubwa inayoheshimu na kufuata code of conduct za siasa na utawala bora.
Shime shime Chadema issue ya Mdude irekebisheni inaweza kupoteza dhima mzima ya operation haki na ustawi wa Chama.