Mdude Nyagali, siasa zako sio nzuri. Jirekebishe

Mdude Nyagali, siasa zako sio nzuri. Jirekebishe

Asee si mtu wa kuonewa huruma huyu hata kidogo.

Yaani mtu aliyelegeza mkono wake ili uwe huru na akiwa yeye ndiye Rais unawezaje kutumia lugha zisizo na adabu kiasi hicho?
Akipelekwa mahakamani msilalamike kuwa anaonewa
 
Kijana hana adabu. Hata hao wengine wanachunga ndimi zao. Huu ni utovu wa nidhamu kabisa. Tanzania hatua uhuru uliofurutu ada kiasi hiki.
 
Ni hayo maneno kwenye picha ndio yamefanya ufungue uzi au kuna mengine alisema??
Kama ni hayo tu mi sijaona tatizo mbona katumia tafsida sana.
 
Mkuu hata sheria inakataza wewe kuingiliwa kinyume na maumbile, lakini tunajua unatafunwa.

Lakini sababu unaliwa sirini sio ishu kwa raha zako, ukianza kutangaza hadharani utapata tabu sana.
Mmh .... [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] haya bhana
 
Kwani hayo maneno ya shida gani.
Na ile nyimbo [emoji443][emoji444][emoji445]wembe ni ule ule[emoji445][emoji444][emoji443]
Mbona ukiimbwa mnacheza au mnaleta dabo standadi kwa chadema. Acheni unafiki watanzania. Hiyo katumia mbinu za kisanaa kwenye hotuba yake
 
Habar wadau wa jamiforums

Nilikua nimesema nisijiusishe Tena na siasa ila kwenye ili nimeona ninayo haki ya kusema jambo

Rais Samia ulimuachia Mdude kwa Mapenzi yako kama mama mwenye upendo na si kwa sababu Mdude hakua na Hatia. Ila huruma yako Mama kwanza ilimchafua Hayat na kuonekana alikua Katil na kesi ya mdude hakustail kuwa nayo

Leo Nadhan utakua Umeona Vidio ya Mdude na Tundulisu ilio sambaa mitandao uku Mdude chadema akikuahid kua kama utaendelea ivi Atakunyoa kwa wembe ule ule alio Mnyolea Mtanguliz wako. Je Ni wembe Gani uo na vip kwa Mdude kukiri kua Kuna wembe alio Mnyolea Hayat hii haiweki Taswira wazi kua Mdude alistail kufanyiwa alio fanyiwa?

Rais Samia Leo Tundulisu anakubatiza Jina ambalo sio lako anaamua kukuita Magufuli Mwanamke How Rais wa nch na Rais alie kua Madarakan wanakashifiwa kiasi ichi.

Mama nakuambia Aya kwa kua nakupenda soon utaanza kuonekana dikteta kwenye Macho yao utaanza kuitwa muuaji kwa kukubambikizia misiba isiyo kuhusu watatumia kila mbinu kukuchafua Mama kua nao Makin
 
Habar wadau wa jamiforums

Nilikua nimesema nisijiusishe Tena na siasa ila kwenye ili nimeona ninayo haki ya kusema jambo...
Mada imekaa kimbea mbea kweli hii, sasa jamaa unawasemea wenzio ili wakisulubiwa sijui ndio utafurahi. Unadhani mama yeye hajaziona hizo video?

Hebu kaa kwa kutulia nilijua una la maana sana uliposema "uliamua kukaa kimya kusemea mambo ya siasa na sasa umeamua kusema" bas nikajua labda umekuja na la maana kumbe huu umbea wako tu. Hizi ndio siasa na usidhani wanasiasa wapo kama wewe.
 
Maandishi ya namna hii yanadhalilisha ccm na taifa kwa ujumla wake.
Habar wadau wa jamiforums

Nilikua nimesema nisijiusishe Tena na siasa ila kwenye ili nimeona ninayo haki ya kusema jambo

Rais Samia ulimuachia Mdude kwa Mapenzi yako kama mama mwenye upendo na si kwa sababu Mdude hakua na Hatia. Ila huruma yako Mama kwanza ilimchafua Hayat na kuonekana alikua Katil na kesi ya mdude hakustail kuwa nayo...
 
Kimsingi mbinu anayotumia, si nzuri sana kwake. Haikuwa mbaya sana kwa enzi za mshauri wake kwakuwa ni ngumu sana kumdhalilisha baba kuliko mama.

Bila kujali maoni ya kisiasa au kiitikadi, mwanamke apewe tu heshima anayostahili, zaidi mwanamke huyu akiwa mama, basi adabu itamalaki kila pande, kwake na kwa wengine; mwanamke ambaye ni mama, kisha raisi wa nchi, pengine inabidi aheshimiwe, adabu iwepo na kidogo aogopwe.

Lisu na wafananao, nadhani wanasahau hili.
 
Mada imekaa kimbea mbea kweli hii, sasa jamaa unawasemea wenzio ili wakisulubiwa sijui ndio utafurahi. Unadhani mama yeye hajaziona hizo video? Hebu kaa kwa kutulia nilijua una la maana sana uliposema "uliamua kukaa kimya kusemea mambo ya siasa na sasa umeamua kusema" bas nikajua labda umekuja na la maana kumbe huu umbea wako tu. Hizi ndio siasa na usidhani wanasiasa wapo kama wewe.

..ccm hao wameona hoja ya katiba, haki, na demokrasia, hawana uwezo nayo, hivyo wanataka wamchochee Raisi atumie vyombo vya dola kuwanyamazisha chadema.
 
"...mwambieni huyo mama yenu, wembe niliotumia kumnyoa mtangulizi wake, nitamnyolea yeye akiendelea kuleta jeuri"

MDUDE NYAGALI,
Kada wa Chadema.
1 July 2021.

-Kaveli-
 
Mdude ni sikio la kufa. Anajifanya ni mwanaharakati uchwara ili aweze kupata michango ya makamanda wasioelewa hatari inayokuja mbele yake. Huyu mpaka sasa hajajua na wala hajui kama yeye pamoja na viongozi wake wameshika makali wakati raisi Samia ameshika mpini. Kwa sasa acha aendelee kujidanganya mwenyew kuwa ana nguvu na uwezo wa kufanya kile anachopanga kufanya, lkn revenge yake itakuja kuwa mbaya kwake na familia yake. Hakuna aliepambana na serikali au raisi akafanikiwa.
 
Back
Top Bottom