Sir John Roberts
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 12,835
- 23,584
Hatujui tunashangaa tu maaskofu wamecharuka.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Meseji SentSijalielewa hilo neno, mimi naongea Kiswahili, Kiarabu, Kingereza, Kifaransa kwa ufasaha, lakini neno hilo nimeshindwa kulielewa.
Saa 100 anachuki na wakristoMajina ya wanaokamatwa na jeshi la polisi kwa ukosoaji wa mkataba wa bandari kwanini kalibia yote ni ya wakristo hasa wakatoliki? Na hasa ukizingatia Raisi wa Nchi ni Muislamu
kwani hakuna mass failures hivi sasa, au unaongelea nchi ipi?Jifunze kuangalia maudhui ya ujumbe mzima badala ya Neno moja moja.
Wasahihishaji wa mitihani wangekuwa kama wewe kungekuwa Na “mass failure “
Naye akamatwe ili mjaze jela zoteUchochezi huo
Mdude anaitwa somebody Saidwamekamatwa wakristo wote? Kwanini siyo
kardinaal Pengo
Au Alex Malasusa, Lissu au Mbowe ?
Wanakamatwa ambao wanatimiza wajibu wao kwa njia Hiyo
Niambie ni dini au muislamu gani kafanya alichofanya mdude?
Na kwanini wamkamate Islamic ambaye hajatuhumiwa eti kisa ku balance?
Fatilia kesi za uhaini Tanzania, walishwahi kupelekwa watu visiwani. nnayokwambia siyakisii.Mpuuzi kweli. Msema hovyo ni yule anayetoa majibu ya kijinga kwenye maswali ya msingi anayoulizwa.
Hawataki udini udini mods !Ninavyowajua mods wa humu hii thread haikai, zangu nyingi Kama hizi zinafutwa Kila wakati.
Kwani Dar alikuwa anaenda kuandamana au kukata rufaa?Upumbavu.Wakristo ndio walimtuma aende dar kuorganise maandamano?
Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
Na kuhatarisha jf kufungwa mileleJAMII Forum
Home of Great thinkers.
NYUZI KAMA HIZI ZINAIFANYA JF KUPITIA WAKATI MGUMU MNO
Sasa si ndo CCM mfurahi sasa[emoji16]CHADEMA tiketi ya udini, ukabila na ukanda haitawasaidia kwenye siasa. Zaidi mnajiengua toka Kila kundi ambalo lingeweza kuwa wanachama au wafuasi wenu.
Kipindi Cha Jakaya mkaporomosha matusi sana kwa watu wa Pwani. Umaarufu wenu ukashuka mikoa ya Pwani!
Kipindi Cha Magufuli mlikashifu sana kanda ya ziwa mkatukana Wasukuma na watu wa Kanda ya Ziwa. Mlikuwa na wafuasi wengi Kanda ya Ziwa lakini sasa wengi wamebaki angani!wamepeperuka!
Sasa hivi mna ponda sana Wazanzibar na waislamu ( mnaita Wavaa kobazi). Sina uhakikia kama mtaaminika kwenye miji yenye waislamu wengi.
Badilikeni.
Kuibua hisia za chuki kikabila,kikanda,kidini ndio turufu yenu bahati mbaya mnalamba garasa
Dikteta samia hana maisha pale ikulu.Majina ya wanaokamatwa na jeshi la polisi kwa ukosoaji wa mkataba wa bandari kwanini kalibia yote ni ya wakristo hasa wakatoliki? Na hasa ukizingatia Raisi wa Nchi ni Muislamu
Mnaweza vurugu!?..watu wenyewe mnapenda kuishi kuliko kufa!Mhh! Huku tunakoelekea huku, kitaeleweka tu siku za usoni.
Jera=JelaJera za Ulaya zinazidi makazi ya majumbani mwa wabongo wengi wa kawaida.
Kule Human Rights zinakuwa observed kwa hali ya juu sana.
Jera wanakula vizuri kuliko home?!…
Uigizaji unauita "uvumilivu"?samia uvumilivu umemshinda
Hivi dada na we mgao ulikufikia maana swala la bandari likizungumzwa unachizika kabisa.Nawaasa wasema hovyo, msidhani wala msifikiri kuwa jela hazitoshi.
Uingereza walipokuwa wanaiweka nchi yao sawa, jela zilipokuwa hazitoshi, walienda wakawabwaga wafungwa Australia, wakawaambia, haya anzisheni makazi hapa, wakapewa na ngamia kama usafiri wao.
Tanzania visiwa vingi sana, Kumbukeni hilo.
EeeeenHeeeeee!Mkuu hii siyo banana Republic, ni nchi yenye vyombo vyake vya dola. Kabla hujafanya unachotaka kufanya utakuwa umedakwa.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Nchi hii wenye akili ni wakristo na ndiyo wanaonekana tishio kwa serikali. Sasa waislam kwa ukilaza wao watakamatwa kwa lipi wakati hata mkataba wanashindwa kuchambua?
Sio wakosoaji mkataba wala wakristo. Wanaokamatwa ni watuhumiwa wa kuvunja sheria. Tutiini sheria bila shuruti.Majina ya wanaokamatwa na jeshi la polisi kwa ukosoaji wa mkataba wa bandari kwanini kalibia yote ni ya wakristo hasa wakatoliki? Na hasa ukizingatia Raisi wa Nchi ni Muislamu