Mdude Nyangali, Wakili Mwabukusi na wenziwe wadaiwa kuundiwa mashtaka ya Uhaini

Mdude Nyangali, Wakili Mwabukusi na wenziwe wadaiwa kuundiwa mashtaka ya Uhaini

Majina ya wanaokamatwa na jeshi la polisi kwa ukosoaji wa mkataba wa bandari kwanini kalibia yote ni ya wakristo hasa wakatoliki? Na hasa ukizingatia Raisi wa Nchi ni Muislamu
Saa 100 anachuki na wakristo
 
wamekamatwa wakristo wote? Kwanini siyo
kardinaal Pengo
Au Alex Malasusa, Lissu au Mbowe ?

Wanakamatwa ambao wanatimiza wajibu wao kwa njia Hiyo

Niambie ni dini au muislamu gani kafanya alichofanya mdude?

Na kwanini wamkamate Islamic ambaye hajatuhumiwa eti kisa ku balance?
Mdude anaitwa somebody Said
 
Mpuuzi kweli. Msema hovyo ni yule anayetoa majibu ya kijinga kwenye maswali ya msingi anayoulizwa.
Fatilia kesi za uhaini Tanzania, walishwahi kupelekwa watu visiwani. nnayokwambia siyakisii.

Tuchunge sana kauli zetu, sote tunajitakia mema na tunaitakia mema Tanzania.
 
CHADEMA tiketi ya udini, ukabila na ukanda haitawasaidia kwenye siasa. Zaidi mnajiengua toka Kila kundi ambalo lingeweza kuwa wanachama au wafuasi wenu.

Kipindi Cha Jakaya mkaporomosha matusi sana kwa watu wa Pwani. Umaarufu wenu ukashuka mikoa ya Pwani!

Kipindi Cha Magufuli mlikashifu sana kanda ya ziwa mkatukana Wasukuma na watu wa Kanda ya Ziwa. Mlikuwa na wafuasi wengi Kanda ya Ziwa lakini sasa wengi wamebaki angani!wamepeperuka!

Sasa hivi mna ponda sana Wazanzibar na waislamu ( mnaita Wavaa kobazi). Sina uhakikia kama mtaaminika kwenye miji yenye waislamu wengi.


Badilikeni.

Kuibua hisia za chuki kikabila,kikanda,kidini ndio turufu yenu bahati mbaya mnalamba garasa
Sasa si ndo CCM mfurahi sasa[emoji16]

Sent from my Infinix X6516 using JamiiForums mobile app
 
Majina ya wanaokamatwa na jeshi la polisi kwa ukosoaji wa mkataba wa bandari kwanini kalibia yote ni ya wakristo hasa wakatoliki? Na hasa ukizingatia Raisi wa Nchi ni Muislamu
Dikteta samia hana maisha pale ikulu.

Achana na hayo. Ahsanteni kwa bandari
 
Nawaasa wasema hovyo, msidhani wala msifikiri kuwa jela hazitoshi.

Uingereza walipokuwa wanaiweka nchi yao sawa, jela zilipokuwa hazitoshi, walienda wakawabwaga wafungwa Australia, wakawaambia, haya anzisheni makazi hapa, wakapewa na ngamia kama usafiri wao.

Tanzania visiwa vingi sana, Kumbukeni hilo.
Hivi dada na we mgao ulikufikia maana swala la bandari likizungumzwa unachizika kabisa.
 
Mkuu hii siyo banana Republic, ni nchi yenye vyombo vyake vya dola. Kabla hujafanya unachotaka kufanya utakuwa umedakwa.
EeeeenHeeeeee!
Imenibidi nicheke kwanza.

Hivi unaelewa maana ya "Banana Republic" ni nini?
 
Back
Top Bottom