Mechi gani ya Watani wa jadi (Simba na Yanga) unaikumbuka zaidi?

Mechi gani ya Watani wa jadi (Simba na Yanga) unaikumbuka zaidi?

Mechi tamu Yanga 1 - 0 Simba CCM Kirumba goli Kali la Feisal linawauma Mikia hadi Leo! Hakuna mchezaji wa Simba anaweza kufunga vile!

Mechi ingine Kali Yanga 1 - 0 Simba goli la Zawadi Mauya dkk 12 hadi mpira unaisha Simba walipiga mashuti 100 na wakatoka kapa. Goli moja linauma mno!

Mechi ingine Yanga 1 - 0 Simba goli Kali la Faulo Benard Morisson Manula akamsifia mfungaji wakasema kahongwa.

Mechi ingine Kali Yanga 2 - 1 goli moja Kali la Fiston Mayele walisema Hana uwezo wa kuifunga Simba eti Inonga anamuweza wapi Mayele ni world class player!

Mechi ingine Kali Jumapili! Ni zamu ya Musonda!! Maji Simba wataita mma!!

Mechi ya Yanga kufungwa goli 5 ilikuwa mwaka 2012 kulikuwa na mgogoro mkubwa Jangwani Yanga Kampuni vs Yanga Asili one day before kwenye taarifa ya habari ITV usiku Mzee Akilimali alizungumza akavua kofia akasema tutaona Kesho nani mkubwa hapa Yanga na kweli Yanga wakapigwa 5 bila na Simba, Simba wasijisifu Ile ilikuwa mechi ya mchongo hebu waifunge Tena Yanga goli 5 tuone!! Nawakumbusha tu wale mashabiki wapya wa Simba wasiojua historia ya ule ushindi wa Simba haitatokea Tena milele!
 
Mechi tamu Yanga 1 - 0 Simba CCM Kirumba goli Kali la Feisal linawauma Mikia hadi Leo! Hakuna mchezaji wa Simba anaweza kufunga vile!

Mechi ingine Kali Yanga 1 - 0 Simba goli la Zawadi Mauya dkk 12 hadi mpira unaisha Simba walipiga mashuti 100 na wakatoka kapa. Goli moja linauma mno!

Mechi ingine Yanga 1 - 0 Simba goli Kali la Faulo Benard Morisson Manula akamsifia mfungaji wakasema kahongwa.

Mechi ingine Kali Yanga 2 - 1 goli moja Kali la Fiston Mayele walisema Hana uwezo wa kuifunga Simba eti Inonga anamuweza wapi Mayele ni world class player!

Mechi ingine Kali Jumapili! Ni zamu ya Musonda!! Maji Simba wataita mma!!

Mechi ya Yanga kufungwa goli 5 ilikuwa mwaka 2012 kulikuwa na mgogoro mkubwa Jangwani Yanga Kampuni vs Yanga Asili one day before kwenye taarifa ya habari ITV usiku Mzee Akilimali alizungumza akavua kofia akasema tutaona Kesho nani mkubwa hapa Yanga na kweli Yanga wakapigwa 5 bila na Simba, Simba wasijisifu Ile ilikuwa mechi ya mchongo hebu waifunge Tena Yanga goli 5 tuone!! Nawakumbusha tu wale mashabiki wapya wa Simba wasiojua historia ya ule ushindi wa Simba haitatokea Tena milele!
Ya 4-1 mwaka 2020 nayo mlikuwa na mgogoro gani kaka?

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
 
Mechi tamu Yanga 1 - 0 Simba CCM Kirumba goli Kali la Feisal linawauma Mikia hadi Leo! Hakuna mchezaji wa Simba anaweza kufunga vile!

Mechi ingine Kali Yanga 1 - 0 Simba goli la Zawadi Mauya dkk 12 hadi mpira unaisha Simba walipiga mashuti 100 na wakatoka kapa. Goli moja linauma mno!

Mechi ingine Yanga 1 - 0 Simba goli Kali la Faulo Benard Morisson Manula akamsifia mfungaji wakasema kahongwa.

Mechi ingine Kali Yanga 2 - 1 goli moja Kali la Fiston Mayele walisema Hana uwezo wa kuifunga Simba eti Inonga anamuweza wapi Mayele ni world class player!

Mechi ingine Kali Jumapili! Ni zamu ya Musonda!! Maji Simba wataita mma!!

Mechi ya Yanga kufungwa goli 5 ilikuwa mwaka 2012 kulikuwa na mgogoro mkubwa Jangwani Yanga Kampuni vs Yanga Asili one day before kwenye taarifa ya habari ITV usiku Mzee Akilimali alizungumza akavua kofia akasema tutaona Kesho nani mkubwa hapa Yanga na kweli Yanga wakapigwa 5 bila na Simba, Simba wasijisifu Ile ilikuwa mechi ya mchongo hebu waifunge Tena Yanga goli 5 tuone!! Nawakumbusha tu wale mashabiki wapya wa Simba wasiojua historia ya ule ushindi wa Simba haitatokea Tena milele!
Na zile 4-1 mlikuwa na mgogoro ?
 
Na zile 4-1 mlikuwa na mgogoro ?
Mechi hii kweli sifahamu undani wake nitafuatilia ila Ile ya Simba kufunga goli 5 Mimi najua tulifungwaje nimeelezea historia yake ya ndani na sahihi japo sijajua ni wachezaji Gani walihongwa au hawakuwa mchezoni kutokana na mgogoro mkubwa uliokuwepo Jangwani
 
Sare ya 3-3

Sent from my itel S31 using JamiiForums mobile app
Hii mechi ya 2013? Sitaisahau ilikuwa simba imepandisha wachezaji chipukizi kibao kina ndemla, mkude, ajibu, wasso nk. Yanga aliongoza 3 kipindi cha kwanza simba akaja kusawazisha zote ipindi cha pili.

Na ndio ilikuwa mara yangu ya mwisho kuingia uwanjani kutazama derby mana nilimaindi hakuna goli simba nililoliona hata moja maana nilikuwa nashtukia tu watu wanashangilia na uwajani hakuna replay ya tv.
 
Back
Top Bottom