Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
Umelewa?Ili kutendea haki timu zingine, ni bora mechi wanazoshiriki Simba na Yanga zichezeshwe na waamuzi kutoka nje ya nchi.
Najua itakuwa ni changamoto kutekeleza hili wazo, ila huu ndio ukweli.
Siamini kama kuna mwaamuzi ambae si shabiki wa either Yanga au Simba katika hii ligi yetu ya NBC.
Dhuluma hailipi.
Ndio ukweli japo ni vigumu kuutekeleza.Umelewa?
Huyo jamaa kalewa, alichokiandika hakitambuiMchezaji afanye mieleka uwanjani halafu akipewa red card mnasema refa kaonea,mlitaka asipewe kadi?
ule sio uunganwa ,ukabaji gani wa vile ,mi nataka hizi kadi ziende hivo hivo marefa wasichekee wanacheza vibaya ,mwisho wa siku watakuwa na displine ya mpiraHuyo jamaa kalewa, alichokiandika hakitambui
unalia dk 5 je zingekuwa 7 si ndo ungezimiaMsijifanye hamjaelewa, hoja ni kuwa mnapendelewa sana makolo fc. Kulikuwa na upotezaji gani wa muda mpaka dakika ziongezwe 5.
Acha kuzuga, sema tu leo refa kawabeba kwa kuongeza dakika zaidi kuliko muda wa uliopotea.unalia dk 5 je zingekuwa 7 si ndo ungezimia
Na bado zinaendelea mpaka ubingwaKuna timu katika mechi 5 ilizocheza, mechi 4 timu pinzani zimepewa kadi nyekundu na mipenati pia wakapewa!
Alichokuw anakifanya nahimana kila mpira akisave lazima alale chini hadi refa akamuonya hukuona we msukule fc?Msijifanye hamjaelewa, hoja ni kuwa mnapendelewa sana makolo fc. Kulikuwa na upotezaji gani wa muda mpaka dakika ziongezwe 5.
Umeumia sana leo mnayama kushinda tuko tunakimbiza mwiz kimya kimyaAcha kuzuga, sema tu leo refa kawabeba kwa kuongeza dakika zaidi kuliko muda wa uliopotea.
Dawa yenu sisi ngoja tukutane akiongeza dakika 5 tunawaongeza goli
Kwa nini Morison hakioneshwa Kadi?ule sio uunganwa ,ukabaji gani wa vile ,mi nataka hizi kadi ziende hivo hivo marefa wasichekee wanacheza vibaya ,mwisho wa siku watakuwa na displine ya mpira
Sio kweli. Simba mbona washakula umeme mechi iliyopita.Hivi ile ya Manula hakustahili kadi hata ya njano?.
Ile ya Morison was straight red card, sema mpira wa bongo mchezaji wa Simba au Yanga kupewa red ni kwa mbinde sana
Ile ya Morisson leo hakustahili kadi kile kiwiko?. Vipi Manula?.Sio kweli. Simba mbona washakula umeme mechi iliyopita.
Sema kwa namna simba inavyocheza ni lazima timu pinzani zipate shida
Kiwiko cha wapi wewe msukule? Hakupigwa pale, au leta videoIle ya Morisson leo hakustahili kadi kile kiwiko?. Vipi Manula?.
yanga wakija kukutwa na kupitwa kwa points aisee hakutakalikaTatizo yanga wameshajipa ubingwa msimu huu.so simba akishinda ni kosa