Asee raundi ya 5 mmeanza kulia na huku mnaongoza ligi?
Ama kweli watu wasiojiamini,mnategemea kelele ndio zitawapa ubingwa?
Ama kweli watu wasiojiamini,mnategemea kelele ndio zitawapa ubingwa?
Msijifanye hamjaelewa, hoja ni kuwa mnapendelewa sana makolo fc. Kulikuwa na upotezaji gani wa muda mpaka dakika ziongezwe 5.