Mechi wanazoshiriki Simba na Yanga, zichezeshwa na waamuzi kutoka nje ya nchi

Mechi wanazoshiriki Simba na Yanga, zichezeshwa na waamuzi kutoka nje ya nchi

Manula na Boko umeona rafu zao au matukio hayo kwako hayakuonyeshwa? Referee kapendelea Makolo
 
Kiwiko cha wapi wewe msukule? Hakupigwa pale, au leta video
Kuwa mstaarabu mzee, sasa hayo ya msukule yametoka wapi?. Mbona hamna nilipotumia offensive word yeyote kwenye maneno yangu?.
Anyway, kama ulicheck mpira nadhani tukio uliliona.
 
Acha kuzuga, sema tu leo refa kawabeba kwa kuongeza dakika zaidi kuliko muda wa uliopotea.

Dawa yenu sisi ngoja tukutane akiongeza dakika 5 tunawaongeza goli
Kwahiyo Simba alikuwa anacheza peke ake uwanjan wakat refa anawabeba ,tukisema elimu ni muhimu muwe mnaelewa? Yaan content ndogo inakutoa kamasi namna hiyo?

Yanga Jana aliposhinda kwa kuepwa tuta la uongo na hili unalizungumziaje ?
Vipi goli la Simba Lina makando kando na km yapo yabainishe .
Hizo dakika tano zilikuwa za Simba pekee au kwa timu zote mbili?

Vipi namungo angefunga goli kwenye hizo dakika za nyongeza bado ungekuja na huu ushubwada?
 
Kwahiyo Simba alikuwa anacheza peke ake uwanjan wakat refa anawabeba ,tukisema elimu ni muhimu muwe mnaelewa? Yaan content ndogo inakutoa kamasi namna hiyo?

Yanga Jana aliposhinda kwa kuepwa tuta la uongo na hili unalizungumziaje ?
Vipi goli la Simba Lina makando kando na km yapo yabainishe .
Hizo dakika tano zilikuwa za Simba pekee au kwa timu zote mbili?

Vipi namungo angefunga goli kwenye hizo dakika za nyongeza bado ungekuja na huu ushubwada?
We ni mbwe au mbwa?
 
Ili kutendea haki timu zingine, ni bora mechi wanazoshiriki Simba na Yanga zichezeshwe na waamuzi kutoka nje ya nchi.

Najua itakuwa ni changamoto kutekeleza hili wazo, ila huu ndio ukweli.

Siamini kama kuna mwaamuzi ambae si shabiki wa either Yanga au Simba katika hii ligi yetu ya NBC.

Dhuluma hailipi.
Sema mechi za simba siyo yanga wewe
 
Makolo a.k.a wakubebwa fc
Kakumbatiwe ulalae msukule wew

51CE0236-BE77-4C9D-A855-167BF89EE4C1.jpeg
 
Tatizo yanga wameshajipa ubingwa msimu huu.so simba akishinda ni kosa
hawa jamaa walivyoanza kujiamini kwa mechi tano tu hawachelewi kuanza kulia lia na marefa wakati mpira wanashika wao na bado wanapewa penalt
 
Yanga mmeanza mara dakika muda sio mrefu mtahamia kwa Tff na karia[emoji3][emoji3][emoji3]
 
Msijifanye hamjaelewa, hoja ni kuwa mnapendelewa sana makolo fc. Kulikuwa na upotezaji gani wa muda mpaka dakika ziongezwe 5.
Hukuona yule golikipa wa Namungo alivyokuwa anajilaza na ilikuwa almost apewe kadi, tatizo timu za bongo zikitoa droo na Simba zinaona zimeshinda, nimewashangaa sana Namungo...
 
Simba kushinda mechi moja tu presha imeanza kupanda, si mlikuwa mnaimba nyie tayari mabingwa mpewe kombe lenu sasa hofu yenu inatoka wapi?

Yanga juzi kapewa penati ya bure hakuna aliyeongea kati yenu, jana Simba kufunga goli halali kabisa mnalia tatizo mliamini Simba kashapoteza ile mechi, tulieni tu.

Muhimu muwaambie wapinzani wa Simba mnaowalipa pesa wakalale uwanjani waache kupoteza muda, hayo hayatatokea siku nyingine.
 
Back
Top Bottom