Mechi ya Barcelona na Juventus leo Juni 5, 2015

Mechi ya Barcelona na Juventus leo Juni 5, 2015

Hahahahahahaha !!!!!! Waiter embu leta maji makubwa ya Kilimanjaro tudilute hii na maji doh!! Imekuwa Kali mnoooooooooooo!!!!!! Fanya fastaaaaa........

Hahahaaaaa wifi yaani nimewapata awa kaka zako nataka niwaweke ndani everlenk jiandae kucheza kwaito...
Shoga nikifungwa unisaidie kunificha maana sijui watanifanyaje awa watu
 
Last edited by a moderator:
juve wont go down without a fight , na msije mkashangaa akafanya kisichotarajiwa
 
yani kwa sasa hata juve wenyewe wanajuta kukutana na barcelona

Nakubaliana na wewe 100%, nawaonea huruma na miaka kibao waliokaa bila kufika fainali UEFA. Cha ajabu, na wenyewe wanalenga 'Trebble' msimu huu. Yaan hii mechi nina ham nayo.
 
Hahahaaaaa wifi yaani nimewapata awa kaka zako nataka niwaweke ndani everlenk jiandae kucheza kwaito...
Shoga nikifungwa unisaidie kunificha maana sijui watanifanyaje awa watu

Hahahahaah ndo ushaanza kutafuta pa kujificha eh...hata shimoni utaziskia tuuuu na tutakuchomoaaa.....hesabu muda kabisaaaa
 

Attachments

  • 1433599802783.jpg
    1433599802783.jpg
    44.8 KB · Views: 62
Last edited by a moderator:
Hahahahaah ndo ushaanza kutafuta pa kujificha eh...hata shimoni utaziskia tuuuu na tutakuchomoaaa.....hesabu muda kabisaaaa

Uzuri ni kwamba mchepuko wangu juve ananielewa vizur kua akifungwa hapat papuch so lazima afanye vyema.
Hahahaaaaaa
 
Back
Top Bottom