Mechi ya Barcelona na Juventus leo Juni 5, 2015

Mechi ya Barcelona na Juventus leo Juni 5, 2015

Nakubaliana na wewe 100%, nawaonea huruma na miaka kibao waliokaa bila kufika fainali UEFA. Cha ajabu, na wenyewe wanalenga 'Trebble' msimu huu. Yaan hii mechi nina ham nayo.

leo kuna kapu la magoli uwanjani
 
Who will come out on top in the battle of the midfield marvels?


11391370_1152209454806282_5601397258496136746_n.jpg
 
Uzuri ni kwamba mchepuko wangu juve ananielewa vizur kua akifungwa hapat papuch so lazima afanye vyema.
Hahahaaaaaa

Lileeeeeeeeeeeeee limeenda
 

Attachments

  • 1433600350911.jpg
    1433600350911.jpg
    10.4 KB · Views: 57
[h=1]Paul Scholes says Lionel Messi is better than former teammate Cristiano Ronaldo[/h]
[h=2]The former England and Manchester United midfielder came up against Messi on four occasions and places him ahead of former teammate Cristiano RonaldoView attachment 257670 Praise: Scholes reckons Messi is the best he's ever shared a pitch with[/h]
Paul Scholes says Barcelona star Lionel Messi is the best player he's ever shared a pitch with - placing him ahead of former teammate Cristiano Ronaldo.
The Argentine star, 27, will bid to claim his fourth Champions League winners' medal when Barca face Juventus in Berlin on Saturday night.
And Scholes, who came up against Messi on no fewer than four occasions, places Messi above a number of world class stars past and present.
In his Independent column, Scholes wrote: "I think about the great players with whom I have shared a pitch: Eric Cantona, Zinedine Zidane, Pirlo, Xavi, Cristiano Ronaldo – and the greatest of them all is Messi."View attachment 257671 Snub: Scholes reckons Messi is better than Ronaldo

SOURCE;- Paul Scholes - News, views, gossip, pictures, video - Mirror Online

Yes according to his personal perspective, but no according to the available objective data!
 
Waiter mpe huyu rafiki juice_cola ntalipia mimi, hakikisha unamuhudumia ili asiondoke hadi muda wa mechi aone ambavyo juve atafanywa
ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha
 
mkuu hawa jamaa wameanza kuniudhi, huu ujasiri wanautoa wapi?
yani hata mie siwaelew kabsa et barca anafungwa ama kama vp ngoja niongee na kocha aingize la masia
 
Viol mbona tunaaka kujiumiza bila sababu za msingi kwa kilazimisha nafsi yako iamini kitu ambacho hakiwezi kutokea na hata wewe pia unajua hakiwezi kutokea. Kuna mambo mengine ni ya kikanuni zaidi hivyo jibu lako likiwa tofauti na wengine unakuwa umekosa. kwa kusema Juve anachukuwa kikombe unakuwa umeenda kinyume na matakwa ya kanuni hivyo y
umekosa.

Kama ni kanuni, kanuni inasema matokeo ya mpira ni dakika 90! Kanuni haisemi barca achezapo lazima ashinde. Ndiyo maana wakali wa darajani walimkalisha barca akiwa kwao. Na msimu huo ndoo ya UEFA ilienda darajani!
 
Last edited by a moderator:
Kwa niaba ya jumuiya hii kubwa ya jf nimezungumza na wataalamu mbali mbali, tazama wanauchumi, wanafizikia, wachambuzi wa soka, wanasaikolojia na wanazuoni wengine kibao na wote wameonyesha imani yao kubwa kwa club ya wananchi duniani, barcelona. "kimahesabu kwa kweli barcelona ameishachukua kikombe na hakuna wa kuzuia hilo" alizungumza kiufundi mtaalamu fulani wa hesabu. Nyinyi mnaobisha hili humu ndani mnataka nini?
 
Back
Top Bottom