mbingunikwetu
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 13,897
- 18,477
Game itaboa bse Barcelona wataitawala mwanzo mwisho na kushinda kirahisi.
Barcelona 3 Juventus 0
Its just the opposite, juventus 3 barca 0!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Game itaboa bse Barcelona wataitawala mwanzo mwisho na kushinda kirahisi.
Barcelona 3 Juventus 0
Its just the opposite Juventus 3-0 barca
mkuu utakuwa ulivuta kwanza ugoro ndipo ukalalaNimeota mchana huu.. juve 4 barca 3... sasa nyie bisheni
Kama ni kanuni, kanuni inasema matokeo ya mpira ni dakika 90! Kanuni haisemi barca achezapo lazima ashinde. Ndiyo maana wakali wa darajani walimkalisha barca akiwa kwao. Na msimu huo ndoo ya UEFA ilienda darajani!
Si nmekutuma lakini?? Mbona hujaniletea majibu??
messi atapiga goli mbili takatifu huku neymer akiweka kimiani goli moja lililojaa ufundi wa kutosha na kuisisimua jumuiya ya wapenda soka duniani. Goli la Neymer litatokana na pasi bora kabisa kutoka kwa fundi wa mpira duniani yaani messi. Goli la kwanza ambalo litafungwa na Messi katika dakika ya kumi na sita litatokana na pasi nzuri kutoka kwa suarez ambaye atafanya maajabu mengi sana uwanjani ambayo ni nadra kuyashuhudia katika kizazi, hakika itakuwa gumzo kubwa duniani. Dakika tatu kabla ya kipindi cha kwanza kuisha fundi Iniesta atapiga pasi ndefu kutoka katikati ya uwanja na pasi hiyo itamfikia Messi ambapo atafanya manyanga pale na kiwatoka mabeki takriban watatu na kutupia wavun goli moja la ukweli sana. kwa upande wa juve watacheza jihad na kubahatika kupata goli moja ambalo halitaeleweka limefungwaje maana itakuwa ni butua butua tu hamna ubunifu, ufundi wala umaridadi wowote, hiyo ni katika dakika ya themanini na mbili ya mchezo. Hivi ndivyo itakavyokuwa.
hahahaha jua ndo lile linazama, masaa yanayoyoma kuashiria hivi punde barca anaenda kukamilisha ratiba, anaenda kujitwalia mwanamwali.
ha ha ha ha ha ha ha ha mkuu nakusikitikia kwaHongera kwa ndoto nzuri ya mchana! Lakini usiku utakiota kibibi kizee kwa ndoto halisi!!
Nimeota mchana huu.. juve 4 barca 3... sasa nyie bisheni
Uwiiii wapi vile ebu nikumbusheee
Kwa niaba ya jumuiya hii kubwa ya jf nimezungumza na wataalamu mbali mbali, tazama wanauchumi, wanafizikia, wachambuzi wa soka, wanasaikolojia na wanazuoni wengine kibao na wote wameonyesha imani yao kubwa kwa club ya wananchi duniani, barcelona. "kimahesabu kwa kweli barcelona ameishachukua kikombe na hakuna wa kuzuia hilo" alizungumza kiufundi mtaalamu fulani wa hesabu. Nyinyi mnaobisha hili humu ndani mnataka nini?
hahahaha hawa watu hadi nawaonea hiruma, hivi kwanini wanajitesa kwa kushabikia timu ambayo kwa namna yoyote ile haiwezi kushinda? Hivi kweli kabisa mtu unaishabikia juve na kuiacha barca?
Hongera kwa ndoto nzuri ya mchana! Lakini usiku utakiota kibibi kizee kwa ndoto halisi!!
Kajichagulie peteeeeeeeeeee
Hahahahahaha unaleta habari za ukawa humu tayari naona. Ila nashukuru umekuwa na maono kama yangu..... #teambarca ooooooooiiy
Haya! Naona wewe unakisikiaga tu kibibi kizee cha Turin!! Chonde Chonde! Barca nini Bwana? Unataka kutuambia kuwa hujawahi kushuhudia barca akichezea kichapo tena kwao! Jiandae kisaikologia! Juventus 3-0 barca!
Haya! Naona wewe unakisikiaga tu kibibi kizee cha Turin!! Chonde Chonde! Barca nini Bwana? Unataka kutuambia kuwa hujawahi kushuhudia barca akichezea kichapo tena kwao! Jiandae kisaikologia! Juventus 3-0 barca!
Kwikwi kwiii wew mchumba unasumbua hakyanani nikikuingiza ndani tuu usiku kucha nitaku.... acha nisimalizie