Usiwatie hofu wenzio mkuuhhahaah nacheka kama mazuri..
wasandawena wamesema wao watapata goli 6 kwa mkapa..
Yap naunga mkono.
Yap mpira utapigwa ila nilitamani sana Yao awepo sema ndio hivyo tena wale washambuliaji wa Masandawana wanataka beki wabishi kama yule na kushoto acheze Lomalisa sio Kibabange...Tutakuenda kuliona boli la kiwango siku hiyo