Mechi ya Dar Young Africans vs Mamelodi Sundowns yapewa heshima ya siku ya Mudathir aka Muda Day

Mechi ya Dar Young Africans vs Mamelodi Sundowns yapewa heshima ya siku ya Mudathir aka Muda Day

Yap mpira utapigwa ila nilitamani sana Yao awepo sema ndio hivyo tena wale washambuliaji wa Masandawana wanataka beki wabishi kama yule na kushoto acheze Lomalisa sio Kibabange...
Vipu Hali yake ya majeruhi mpaka Sasa?
 
CAF yote inajua mechi yao bora ni ya Ijumaa.

Na ndio maana wameipa heshima kuwa siku hiyo kutakuwa na mechi moja tu.

Kwanini? Kwasababu ndio Derby ya Africa mpaka sasa.

Al Ahly na Simba hakuna mbabe katika mechi zote walizokutana.

Maana yake ulimwengu mzima kwa siku ya Ijumaa ukiwa unataka kuangalia mechi za CAF, utakuwa unatazama mechi moja tu ya Simba dhidi ya Al Ahly.

Baada ya hapo ndio watafuata wacheza makida kujirusha rusha nao kukamilisha ratiba.
Mashabaiki wa mpira mda mwingine akiri mnazisahau chooni sijui
 
Atakuwepo
IMG-20240324-WA0716.jpg
 
Kocha wa mamelodi ameiogopa hii game sana kiasi kwamba alidanganya wachezaji wake 7 wanaumwa ili wasiende kuchezea bafana bafana mechi ya kirafiki na Algeria .
Kikubwa Yanga acheze mpira wake
 
CAF yote inajua mechi yao bora ni ya Ijumaa.

Na ndio maana wameipa heshima kuwa siku hiyo kutakuwa na mechi moja tu.

Kwanini? Kwasababu ndio Derby ya Africa mpaka sasa.

Al Ahly na Simba hakuna mbabe katika mechi zote walizokutana.

Maana yake ulimwengu mzima kwa siku ya Ijumaa ukiwa unataka kuangalia mechi za CAF, utakuwa unatazama mechi moja tu ya Simba dhidi ya Al Ahly.

Baada ya hapo ndio watafuata wacheza makida kujirusha rusha nao kukamilisha ratiba.
Hivi wafungua mashindano wanakuwaje vile? Kwenye mpira wa miguu kuna timu zinafungua mashindano kisha wababe wanafuata.
Kwenye ngumi pia hiyo swala lipo linaitwa pambano la utangulizi, wanapigana wasio na mvuto kwanza kisha zinafuata sasa lile pambano la heavy weight baada ya mechi ya utangulizi.
Kwenye muvi kwa wale watu wa kitambo hiyo inaitwa trela yaani unaaanza kupata vibwagizo na vionjo kisha muvi yenyewe inakuja kuanza mbeleni.
Na kwenye misemo tunasema ladies first.
 
Kila la kheri Kwa Mamelody Sundowns . Nawatakia ushindi mnono . Ubuntu botho .
 
Back
Top Bottom