Sema nini, utabiri siku zote sio lazma utimie [emoji17][emoji17]Niendelee kusisitiza hapa!
Argentina itatolewa na Croatia na France itamfurusha Mwarabu Morocco.
Fainali: Croatia Vs France
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sema nini, utabiri siku zote sio lazma utimie [emoji17][emoji17]Niendelee kusisitiza hapa!
Argentina itatolewa na Croatia na France itamfurusha Mwarabu Morocco.
Fainali: Croatia Vs France
Tutahitimisha keshoUtabiri huu una kaukweli kama 99.9% ngoja tuone
Mkuu kwa Ufaransa Ile hapana, yaani wajukuu wa marehemu malkia walishindwa wao tu, France weupe sana na hata Kama wakipita huko mbele wanaenda kukalishwa na Messi 🐐Kesho Morocco mtawakataa kwa mvua wanayoenda kunyeshewa. Mpira wa kisasa hautaki janjajanja za kukaa nyuma na kuvizia.
Uzoefu wa ufaransa, mpira wa kasi, mipira ya krosi pamoja na uwezo wa kupress wa wafaransa unaenda kuwamaliza kabisa Morocco kesho.Mkuu kwa Ufaransa Ile hapana, yaani wajukuu wa marehemu malkia walishindwa wao tu, France weupe sana na hata Kama wakipita huko mbele wanaenda kukalishwa na Messi 🐐
Kesho wa Morocco watatembea na mbappe tu kwisha habariUzoefu wa ufaransa, mpira wa kasi, mipira ya krosi pamoja na uwezo wa kupress wa wafaransa unaenda kuwamaliza kabisa Morocco kesho.
Sasa kama umewaangalia vizuri mtu hatari ni griezman, ametoa assist nyingi sana hata mechi ya england zote katoa yeye.Kesho wa Morocco watatembea na mbappe tu kwisha habari
Ni mekubali, namba mbili kaponyoka. Nabaki na namba moja takakaye beba Kombe yaani Morocco.Mkuu ukiona wakongwe tumeandika inabidi usome kwa kutulia.
We konyo sana, inaelekea hivyo aisee.Baada ya kuziangalia timu zote kwenye mechi zilizowapeleka robo fainali, imekuwa dhahiri kwangu kwamba fainali itakuwa kati ya timu hizo.
Brazil anaweza kumtoa Croatia ingawa sitarajii iwe hivyo. Argentina atamtoa Uholanzi kisha ataenda na kumtoa Brazil/Croatia kwenye nusu fainali
Ureno atamtoa Morocco kirahisi kuliko inavyodhaniwa. Ufaransa atamtoa uingereza halafu ataenda kumtoa ureno kwenye nusu fainali.
Hapa naongelea kiufundi zaidi baada ya kuziona hizi timu kwa kuzingatia ubora pamoja na madhaifu yao.
Ile mechi ya mtoano wa 16 bora pale urusi mwaka 2018 inaenda kujirudia kwenye fainali ya mwaka huu pale Qatar. France vs Argentina.
Sitegemei kama Argentina atakubali kufungwa mara ya pili. Ngojea tusubirie muda utatujibu.
Naona mkuu umekuwa pweza😁😁This is a done deal.
[emoji2960][emoji2960][emoji2960][emoji2960][emoji2960][emoji2960]