Mechi ya Fainali Kombe la Dunia Qatar 2022 itakuwa kati ya Ufaransa na Argentina

Mechi ya Fainali Kombe la Dunia Qatar 2022 itakuwa kati ya Ufaransa na Argentina

#76
And tha finaaaaalll Argentina will play against France freeeence 2_ and the morrocooo ,0 see you final and tha third winner.
 
Mwamba anaingia tachi ya Kwanza kambani utafikiri kocha alijua jamaa alikaa na goli pale bench saaaaaf dua zimekubali
 
Kuna kitu Mimi nimekiona ambacho watu wengi hawajakiona bado...ufaransa Hana timu ya kumfunga england..kwa mara ya kwanza since 1998 uingereza katengeneza timu ya ushindani na wamepunguza kelele...wanafika final this year
Duh!..
 
Baada ya kuziangalia timu zote kwenye mechi zilizowapeleka robo fainali, imekuwa dhahiri kwangu kwamba fainali itakuwa kati ya timu hizo.

Brazil anaweza kumtoa Croatia ingawa sitarajii iwe hivyo. Argentina atamtoa Uholanzi kisha ataenda na kumtoa Brazil/Croatia kwenye nusu fainali

Ureno atamtoa Morocco kirahisi kuliko inavyodhaniwa. Ufaransa atamtoa uingereza halafu ataenda kumtoa ureno kwenye nusu fainali.

Hapa naongelea kiufundi zaidi baada ya kuziona hizi timu kwa kuzingatia ubora pamoja na madhaifu yao.

Ile mechi ya mtoano wa 16 bora pale urusi mwaka 2018 inaenda kujirudia kwenye fainali ya mwaka huu pale Qatar. France vs Argentina.

Sitegemei kama Argentina atakubali kufungwa mara ya pili. Ngojea tusubirie muda utatujibu.
Ungeweka mkeka wa maana kwa Muhindi SAA hizi tungekuwa tunafunguwa Champagne na warembo tu.

Sichezagi hizi betting ila fainali naweka mzigo Messi lazima ainuwe makwapa.
 
Mimi baada ya mechi kuisha nilijisemea, sasa Morocco watabaki nchini kwao uarabuni au watarudi ugenini Africa...??😅😅

Waswahili walisema, weka akiba ya maneno... yamewakuta...😁
Fact ni kwamba White South African siyo Waafrica ni wazungu, huu ndio ukweli msiotaka kuukubali kwa Morocco siyo Waafrica ni Waarabu na ni waislamu, wapo Africa kwa sababu ya Berlin Conference tu.
 
Back
Top Bottom