cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hongera kwa kombe.Ni mekubali, namba mbili kaponyoka. Nabaki na namba moja takakaye beba Kombe yaani Morocco.
Morocco dhambi ya usaliti kwa waafika imezaa matunda haya nendeni bara lenu la mars mkashangilie na alien [emoji89]
Unajisikiaje sasa hivi?
Sawa mkuu naona ubingwa utaenda kwa FRANCE..Fainali: FRANCE vs BRAZIL
Bingwa: FRANCE
Duh!..Kuna kitu Mimi nimekiona ambacho watu wengi hawajakiona bado...ufaransa Hana timu ya kumfunga england..kwa mara ya kwanza since 1998 uingereza katengeneza timu ya ushindani na wamepunguza kelele...wanafika final this year
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Unajisikiaje sasa hivi?
Kati yako na mleta uzi Nani ni non sense?
Nimelikosa. Nawatakia Kila la heri. Maana sihami Tena.Hongera kwa kombe.
Maneno Kwisha kabisa. Nimelikosa kombe. Si hami. Kila la heri.Lete maneno boss
Ungeweka mkeka wa maana kwa Muhindi SAA hizi tungekuwa tunafunguwa Champagne na warembo tu.Baada ya kuziangalia timu zote kwenye mechi zilizowapeleka robo fainali, imekuwa dhahiri kwangu kwamba fainali itakuwa kati ya timu hizo.
Brazil anaweza kumtoa Croatia ingawa sitarajii iwe hivyo. Argentina atamtoa Uholanzi kisha ataenda na kumtoa Brazil/Croatia kwenye nusu fainali
Ureno atamtoa Morocco kirahisi kuliko inavyodhaniwa. Ufaransa atamtoa uingereza halafu ataenda kumtoa ureno kwenye nusu fainali.
Hapa naongelea kiufundi zaidi baada ya kuziona hizi timu kwa kuzingatia ubora pamoja na madhaifu yao.
Ile mechi ya mtoano wa 16 bora pale urusi mwaka 2018 inaenda kujirudia kwenye fainali ya mwaka huu pale Qatar. France vs Argentina.
Sitegemei kama Argentina atakubali kufungwa mara ya pili. Ngojea tusubirie muda utatujibu.
Wacha wee.KUTABIRI TABIRI.
MNATIA AIBU.
MNAJAZA SEVA VURE.
Fact ni kwamba White South African siyo Waafrica ni wazungu, huu ndio ukweli msiotaka kuukubali kwa Morocco siyo Waafrica ni Waarabu na ni waislamu, wapo Africa kwa sababu ya Berlin Conference tu.Mimi baada ya mechi kuisha nilijisemea, sasa Morocco watabaki nchini kwao uarabuni au watarudi ugenini Africa...??😅😅
Waswahili walisema, weka akiba ya maneno... yamewakuta...😁