Mechi ya Fainali Kombe la Dunia Qatar 2022 itakuwa kati ya Ufaransa na Argentina

Mechi ya Fainali Kombe la Dunia Qatar 2022 itakuwa kati ya Ufaransa na Argentina

Mkuu

Umekosea Sana!

Argentina,uholanzi,England,ureno,croatia ni team za kawaida kama ilivyo morocco!

Timu za kiwango ni Brazil na ufaransa Hawa ndio wababe wa kweli!
Unatamani kuja kuufuta huu utopolo ulioandika?
 
Safari hii Brazil hawatokubali kuwa wateja tena!!


Ufaransa haina viungo wakukabiliana na wa Brazil!!

Ufaransa Wana washambuliaji tu na Beki wazuri!

Brazil Wana Beki,viungo na washambuliaji hatari sana!

Brazil atashinda Battle Kati Kati ya uwanja na Hapo Ndipo mechi itaamuliwa!!
Ndio Rubani wa Qatar airways anaondoa ndege iloyo wabeba brazil hapa uwanjani wanaelekea kwao
 
Kuna kitu Mimi nimekiona ambacho watu wengi hawajakiona bado...ufaransa Hana timu ya kumfunga england..kwa mara ya kwanza since 1998 uingereza katengeneza timu ya ushindani na wamepunguza kelele...wanafika final this year
 
Kuna kitu Mimi nimekiona ambacho watu wengi hawajakiona bado...ufaransa Hana timu ya kumfunga england..kwa mara ya kwanza since 1998 uingereza katengeneza timu ya ushindani na wamepunguza kelele...wanafika final this year
Uingereza angeweza kufungwa hata na Senegal kama wangekuwa na striker mzuri. Magoli yao mawili yalitokana na counterattack ambazo sio rahisi kuzipata kwa ufaransa.

Tatizo kubwa zaidi ni uwepo wa mbappe. Jamaa lazima atafunga.
 
Ya Urusi yanaenda kujirudia Mwaka huu. Fainali ni France Vs Croatia
Na Croatia ndie anaeenda kuchukua kombe Fifa worl cup 2022
 
Baada ya kuziangalia timu zote kwenye mechi zilizowapeleka robo fainali, imekuwa dhahiri kwangu kwamba fainali itakuwa kati ya timu hizo.

Brazil anaweza kumtoa Croatia ingawa sitarajii iwe hivyo. Argentina atamtoa Uholanzi kisha ataenda na kumtoa Brazil/Croatia kwenye nusu fainali

Ureno atamtoa Morocco kirahisi kuliko inavyodhaniwa. Ufaransa atamtoa uingereza halafu ataenda kumtoa ureno kwenye nusu fainali.

Hapa naongelea kiufundi zaidi baada ya kuziona hizi timu kwa kuzingatia ubora pamoja na madhaifu yao.

Ile mechi ya mtoano wa 16 bora pale urusi mwaka 2018 inaenda kujirudia kwenye fainali ya mwaka huu pale Qatar. France vs Argentina.

Sitegemei kama Argentina atakubali kufungwa mara ya pili. Ngojea tusubirie muda utatujibu.
We jamaa.
 
Ya Urusi yanaenda kujirudia Mwaka huu. Fainali ni France Vs Croatia
Na Croatia ndie anaeenda kuchukua kombe Fifa worl cup 2022
Croatia ni wazuri lakini hawawezi kumtoa Argentina.
 
Unazungumziaje upigaji wa penalt kati ya Morocco na hispania
Suala la kupiga penati ni la kustaajabisha sana. Jana uholanzi walikuwa wanapoteza muda wakitaka waende kwenye penati lakini wakatolewa kwa penati.

Misri ambao huwa wanahistoria nzuri na penati walishindwa kuingia world cup kwa kufungwa na Senegal kwa njia ya penati.

Hao Morocco unaweza ukawachukia sana siku nyingine kwasababu ya kupiga penati mbovu na wakaishia kutolewa.

Mpaka sasa Croatia ndio timu pekee imeshinda kwa penati mechi nne mfululizo kuanzia world cup iliyopita lakini unaweza kushangaa wakatolewa kwa penati.

Kwa ujumla penati haina mwenyewe.
 
Suala la kupiga penati ni la kustaajabisha sana. Jana uholanzi walikuwa wanapoteza muda wakitaka waende kwenye penati lakini wakatolewa kwa penati.

Misri ambao huwa wanahistoria nzuri na penati walishindwa kuingia world cup kwa kufungwa na Senegal kwa njia ya penati.

Hao Morocco unaweza ukawachukia sana siku nyingine kwasababu ya kupiga penati mbovu na wakaishia kutolewa.

Mpaka sasa Croatia ndio timu pekee imeshinda kwa penati mechi nne mfululizo kuanzia world cup iliyopita lakini unaweza kushangaa wakatolewa kwa penati.

Kwa ujumla penati haina mwenyewe.
Vivyo hivyo ndani ya dk 90 hakuna mwenyewe. Kupaki basi pia ni mbinu ndio hao hispania wakashindwa kupenya mpaka wakaenda kwenye matuta.
 
Back
Top Bottom