Umrfuata nini kwenye huu uzi? Haujui kuwa huu uzi ni kama msibani halafu unaanza kumsema vibaya marehemu?Raja Vs Simba Agg. 6-1 WinWin/HomeAway Akavuna Pnt 6
Raja Vs Horoya Agg. 5-1 WinWin/HomeAway Akavuna Pnt 6
Raja Vs Viper Agg. 6-1 WinDraw/HomeAway Akavuna Pnt 4
Team zote kazichapa zaidi ya Goal 5 kwa ujumla, huku akifungwa Goal 1 tu kwa kila team zote 3.
Kwa ufupi hil kundi Raja kawakaketa bila ganzi [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wakuu bila shaka mmejionea kilichotokea jana/leo kwanza niipongeze timu yangu ya Simba kwa mpira wa jana, Simba imepiga mpira mkubwa mno tena kwenye ardhi ya Mwarabu saa saba za usiku
Nguvu moja [emoji881]
Hua inakua hivyo hata Dar unacheza wewe unafungwa weweMatokeo hayaakisi mpira uliopigwa jana
Mambo mengine bana mtu umepigwa 6 bado unasema umepiga mpira mwingi!
Unagongwa 6 then unasema unaweza komaa na Mamelodi, unaumwa sio bureHiyo ni kwa mtazamo wako na unapaswa kuheshimiwa
Afadhari sisi nyie mmegeuzwa kama chapati nyuma na mbele
Raja hawacheki na vibondeRaja Vs Simba Agg. 6-1 WinWin/HomeAway Akavuna Pnt 6
Raja Vs Horoya Agg. 5-1 WinWin/HomeAway Akavuna Pnt 6
Raja Vs Viper Agg. 6-1 WinDraw/HomeAway Akavuna Pnt 4
Team zote kazichapa zaidi ya Goal 5 kwa ujumla, huku akifungwa Goal 1 tu kwa kila team zote 3.
Kwa ufupi hil kundi Raja kawakaketa bila ganzi [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Emu oneni aibu basi, mnapata wapi ujasiri wa kuzungumzia champions league,, nyie kombe lenu ni la mbuzi komaeni tu huko huko, mcheze na vibonde wenzenu huku maji marefu hampawezi,,..Afadhari sisi nyie mmegeuzwa kama chapati nyuma na mbele
Raja kafungwa goli 1 katika mechi zote, ila yeye kawabamiza goli 17 vibonde.Ziko wapi hizo 6 [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 2572765
Rudia tena kusoma, nime ainisha aina ya waarabu OG na wa mchongoMashabiki wa Simba wana hulka kama za bondia Karim Mandonga. Hatabuwafunhe, bado watachonga tu na kujitutumua!
Eti wamepata ujasiri!! Ujasiri wa kufungwa nje ndani!! Mnashindwa kukifunza kwa kaka zenu Yanga! Wamepigwa ugenini, na wenyewe wamekuja kulipa kisasi nyumbani.
Yaani aliyepo Chuo kikuu ajifunze kwa darasa la saba C [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mashabiki wa Simba wana hulka kama za bondia Karim Mandonga. Hatabuwafunhe, bado watachonga tu na kujitutumua!
Eti wamepata ujasiri!! Ujasiri wa kufungwa nje ndani!! Mnashindwa kukifunza kwa kaka zenu Yanga! Wamepigwa ugenini, na wenyewe wamekuja kulipa kisasi nyumbani.
Match uliangalia au umeadithiwa asubh hii??Wakuu bila shaka mmejionea kilichotokea jana/leo kwanza niipongeze timu yangu ya Simba kwa mpira wa jana, Simba imepiga mpira mkubwa mno tena kwenye ardhi ya Mwarabu saa saba za usiku.
Note: Tunaposema Mwarabu ndio kama hawa Raja, Wydad, Al ahly, CR Belouzdad, Js Kabylie etc.
Sio Waarabu wa mchongo akina Club Africain, Us Monastir na wengine, tunaongelea giants of Africa. Binafsi matokeo ya jana ni sare ya bao 1-1 hayo mengine mtajua wenyewe na babu yenu, haiwezekani anatuchoma mara ya pili mtawalia.
Niongeze kwa kusema kwamba mechi ya jana imenipa confidence sana kama shabiki katika kuielekea robo fainali ya CAF champions league. Kwa pira tulilopiga jana ni dhahiri tunao uwezo wa ku-battle na magiant wengine waliopo kwenye hatua hii ya robo, na tumeonyesha dhahiri kwamba Horoya hakupigwa 7 kwa bahati mbaya, na pia tumeonyesha dhahiri kuwa hatupo nafasi ya nane kwa ubora Afrika kwa bahati mbaya.
Hivi wachambuzi mnaosema kila siku Simba mbovu huwa mnaangalia Simba ipi, mbona maneno yenu hayaakisi uhalisia? Anyways Simba tuna kitu na mwaka huu kwenye CAF Champion's League tutafikia malengo yetu ambayo ni Nusu Fainali au zaidi inshallah.
NB: Timu yako kama haishiriki CAF Super League basi uzi wangu achana nao.
Nguvu moja [emoji881]
Kwa ugumu wa mechi ya Jana goli moja LA ugenini sawa na goli tatuMatokeo hayaakisi mpira uliopigwa jana
Rekodi ya 6 kwa 0 haitakaa ivunjweMbona nyie raja kabamiza 6-1 na hamsemi