Scars
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 48,055
- 116,512
Messi kaingia dakika ya 83 wakati Ronaldo yupo jukwaani akiikosa mechi kwasababu ya majeraha.
Je hii inathibitisha kauli ya Ronaldo aliyoitoa siku za hivi karibuni kuhusu ubora wa ligi yao?
Na wale waliokuwa wanasema Saudia kuna hela hakuna mpira nadhani leo tumepata majibu
Je hii inathibitisha kauli ya Ronaldo aliyoitoa siku za hivi karibuni kuhusu ubora wa ligi yao?
Na wale waliokuwa wanasema Saudia kuna hela hakuna mpira nadhani leo tumepata majibu