beefinjector
JF-Expert Member
- Jul 23, 2009
- 2,458
- 2,496
Messi hata angeenda kucheza beach soccer watu wangemfuatilia. Get life people, leave that little man alone.Hakiki vizuri chanzo chako hizo ni stats za mwaka jana mwishoni.
Mwaka huu wamepoteza mara mbili
Wamepoteza dhidi ya Dallas na Al Hilal ya Saudia
Hapo bila kuongeza na mechi ya leo
Na tangu Messi amefika hapo Inter Miami nadhani ni zaidi ya mechi 7 ambazo wamepoteza