Mechi ya kirafiki: Al Nassr 6-0 Inter Miami dakika ya 90 game on

Mechi ya kirafiki: Al Nassr 6-0 Inter Miami dakika ya 90 game on

afu mwakani utasikia Messi anabeba Tuzo ya mchezaji bora wa mwaka wa FIFA na Ballon dor ju na kuna mbuzi inakaa chini inakwambia Messi ni greatest player of all time PSG kakimbia palimshinda na Marekani nako kwenye ligi ya mbuzi pamemshinda sjui this time atakimbila wapi
sasa ulitaka afanye nini? Maana sasahv anacheza mpira kujifurahisha
Turudi kwako Messi hakuna kitu anachodaiwa kwenye mpira na hapo ndio ubora wake ulipo, kubali ronaldo bado san
 
Pointless
2021/22 france leauge one Messi alifunga goli sita kwenye mechi 26 Messi ni wakufunga Goli sita kwenye ligi ya ajabu kama ile kama sio failure ni Nini Msimu wa 2022/2023 alifunga Goli 16 Messi ni wakufunga Goli 16 kweny ligi mbovu kama sio failure Ni Kitu gani uje uko kwenye ligi yenu ya ovyo ndio aibu tupu
 
hii mechi kama sio Ronaldo kalazimisha ikachezwe huko sijui, Ronaldo hatuwezi kumuelewa na kumfananisha na Messi kama hajachukua kombe la dunia.
Ronaldo ni sawa na Saido ya boko
 
sasa ulitaka afanye nini? Maana sasahv anacheza mpira kujifurahisha
Turudi kwako Messi hakuna kitu anachodaiwa kwenye mpira na hapo ndio ubora wake ulipo, kubali ronaldo bado san
anajifraisha au Ndio uwezo wake umefika mwisho kaondoka Ulaya pale bado ajavunja rekodi nyingi tu mojawapo ya kuwa mfungaji mwenye magoli mengi kwenye champions leauge History
 
Mwamba huyu hapa
20240116_122951.jpg
 
sasa ulitaka afanye nini? Maana sasahv anacheza mpira kujifurahisha
Turudi kwako Messi hakuna kitu anachodaiwa kwenye mpira na hapo ndio ubora wake ulipo, kubali ronaldo bado san
Sio kweli

Messi bado hajavunja rekodi ya kufunga goli kwenye kila dakika ya mchezo.

Sio rahisi kusema kila kitu amefanya. At least kama utaamua kupuuza baadhi ya factors
 
anajifraisha au Ndio uwezo wake umefika mwisho kaondoka Ulaya pale bado ajavunja rekodi nyingi tu mojawapo ya kuwa mfungaji mwenye magoli mengi kwenye champions leauge History
Messi ni mchezaji ambaye ulimwengu utatumia mda kumpata kama yeye.

Kabla ajaingia inter Miami mechi takwimu
layed: 30
Won: 10 (one via penalty shootout)
Drawn: 4
Lost: 16

Baada ya kujiunga na inter Miami
Played: 12
Won: 11 (three via penalty shootout)
Drawn: 1
Lost: 0
Kwani hiyo timu kaikuta ikiwa katika hali gani?

Halafu suala la PSG si kwamba mkataba uliisha? Messi anatamani Neymar achukue ballon D’or Leo kesho anacheza tu basi maana Hakuna anayemfikia kwa hizo Tuzo.
Ronaldo kombe la dunia lipo wapi?

Ubora gani huo anashindwa kutetea taifa lake ana tofauti na pacome
 
Sasa CCM inahusianaje na tuzo za balon d'or? Unaongea ujinga sana wewe jamaa
CCM nimeitumia kama metaphorical tu hapo

Kulingana na status yake jinsi inavyofanyika hapa kwetu.

Huku kwetu kwenye mambo ya serikali taaluma sio kipaumbele, cha msingi uwe na kadi ya chama au connection ya mtu mkubwa serikalini.

The same kwa balón D'or
 
CCM nimeitumia kama metaphorical tu hapo

Kulingana na status yake jinsi inavyofanyika hapa kwetu.

Huku kwetu kwenye mambo ya serikali taaluma sio kipaumbele cha msingi uwe na kadi ya chama au connection ya mtu mkubwa serikalini.

The same kwa balón D'or
Hauna hoja yoyote bora ukae kimya tu kuficha ujinga wako
 
Sio kweli

Messi bado hajavunja rekodi ya kufunga goli kwenye kila dakika ya mchezo.

Sio rahisi kusema kila kitu amefanya. At least kama utaamua kupuuza baadhi ya factors
kwani nani alishawahi kufanya hivi?😂🤣
 
Messi ni mchezaji ambaye ulimwengu utatumia mda kumpata kama yeye.

Kabla ajaingia inter Miami mechi takwimu
layed: 30
Won: 10 (one via penalty shootout)
Drawn: 4
Lost: 16

Baada ya kujiunga na inter Miami
Played: 12
Won: 11 (three via penalty shootout)
Drawn: 1
Lost: 0
Kwani hiyo timu kaikuta ikiwa katika hali gani?

Halafu suala la PSG si kwamba mkataba uliisha? Messi anatamani Neymar achukue ballon D’or Leo kesho anacheza tu basi maana Hakuna anayemfikia kwa hizo Tuzo.
Ronaldo kombe la dunia lipo wapi?

Ubora gani huo anashindwa kutetea taifa lake ana tofauti na pacome
Hakiki vizuri chanzo chako hizo ni stats za mwaka jana mwishoni.

Mwaka huu wamepoteza mara mbili

Wamepoteza dhidi ya Dallas na Al Hilal ya Saudia

Hapo bila kuongeza na mechi ya leo

Na tangu Messi amefika hapo Inter Miami nadhani ni zaidi ya mechi 7 ambazo wamepoteza
 
Back
Top Bottom