The Lastdream
JF-Expert Member
- Jan 23, 2024
- 1,970
- 4,616
ni sahihi.Hakiki vizuri chanzo chako hizo ni stats za mwaka jana mwishoni.
Mwaka huu wamepoteza mara mbili
Wamepoteza dhidi ya Dallas na Al Hilal ya Saudia
Hapo bila kuongeza na mechi ya leo
Katika hili huoni kwamba messi ni mchezaji mkubwa?