Kumbe ni ahly ahly? Watu mna siriDakika ya 3 ya mcgezo Al Ahly wanafanya shambulizi hapa katika lango la Simba lakini mpora unatoka nje na kiwa goal kick
Umejianzishia uzi mwenyewe hata wenzako hawana time na huo ubovu.Dakika ya 41 mambo bado ni bila bila
Tupo wana wa msimbazi,usimkatishe tamaaUmejianzishia uzi mwenyewe hata wenzako hawana time na huo ubovu.
Mbona leo inatisha36
Al hilal wanafanya mashambulizi mawili, moja lilishindikana baada ya kushindwa kumalizia mpira wa mwisho na lingine ni shuti liliookolewa na kipa
Second half tuiombee sanaHawa waleo ni wabig wabig, yani wakubwa wakubwa
Ni kweli mie namfuatilia kwa ukaribu sanaWengine tupo ziwani hatuna Tv tunaangalia hapa hapa. Simba ipigwe isipigwe ni timu yangu.
Ndo wanapata ujuzi na utaalamu hapo safi sanaMbona leo inatisha
This is SIMBAWakubwa hii match ni kubwa, yaan uwanja uko full house!!!
Karibu dearNi kweli mie namfuatilia kwa ukaribu sana