rodrick alexander
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 16,784
- 23,312
Hivi Simba hakuna viongozi wa kukemea uzembe wa wachezaji kama marehemu Hanspope maana inonga kazidisha masihara Wala hajirekebishi nahisi kajiona super star
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijui wanafurahishwa na uchizi wake au ndio wanapotezea kwasababu wanaona mechi haina umuhimu?Hivi Simba hakuna viongozi wa kukemea uzembe wa wachezaji kama marehemu Hanspope maana inonga kazidisha masihara Wala hajirekebishi nahisi kajiona super star
We jamaa ni Mbugila, uwanja wenyewe uwezo wake hauzidi watu 40,000 afu uje hapa na huo upumbavu??. Uwanja haufiki watu 40k na bado uko nusu unawezaje kuja hapa na vouzy lako unapost as if unajua capacity ya uwanja??
Sio factWe jamaa ni Mbugila, uwanja wenyewe uwezo wake hauzidi watu 40,000 afu uje hapa na huo upumbavu??. Uwanja haufiki watu 40k na bado uko nusu unawezaje kuja hapa na vouzy lako unapost as if unajua capacity ya uwanja??
We jamaa kumbe ni kilaza.
HahahahaWanaringa wana bendi ya kutumbuiza yenye wakongo wa kutosha
Mechi ya kirafiki hiyo [emoji23]
Simba Day alifanya hivyo wakanyamaza siku ya ngao ya jamii karudia mchezo wake na Bado haachiSijui wanafurahishwa na uchizi wake au ndio wanapotezea kwasababu wanaona mechi haina umuhimu?
Hata sielewi kwakweli
Sasa huo hata kujaa haukujaaSio fact
Nigeria walijaa kuliko idadi halisi ya uwanja wao
Hilo jamaa hua ni ZuzuWe jamaa ni Mbugila, uwanja wenyewe uwezo wake hauzidi watu 40,000 afu uje hapa na huo upumbavu??. Uwanja haufiki watu 40k na bado uko nusu unawezaje kuja hapa na vouzy lako unapost as if unajua capacity ya uwanja??
We jamaa kumbe ni kilaza.
Kwenye picha unaona uwanja upo overloaded?Sio fact
Nigeria walijaa kuliko idadi halisi ya uwanja wao
tanzania giant hahahaha
hii inaitwa kujipa moyoMechi ni ya kirafiki, al hilal wameichukulia kama fainali ya CL, wamesahau kuwa wanacheza football badala yake wanacheza "ndondiball"
Wachezaji wetu walipoligundua hilo wakaamua kufanya mazoezi ndani ya mechi na kilichotokea al hilal wakajua wametuweza
Ukitaka kulijua hilo, lifikirie kwa makini sana tukio la chama kumpa mpira mchezaji wa al hilal ili apige freekick ya simba, hapo utajua simba waliswitch mind na kuigeuza mechi kuwa mazoezi
mechi ya ngao nani hakuwepo vp iliishajeHawa tungekuwa full mkoko wasingetoka. Uto wajiandae kupelekewa moto. Labda wakacheze ndombolo na wakongo wao
Al Hilal hawakucheza ngao ya jamiimechi ya ngao nani hakuwepo vp iliishaje
alicheza nani na ilikuwajeAl Hilal hawakucheza ngao ya jamii
Al Hilal ni ya Sudan, vinyesi anzeni kuzijua timu mapemaalicheza nani na ilikuwaje