Mechi ya kirafiki | Yanga 1 - 1 Somalia

Mechi ya kirafiki | Yanga 1 - 1 Somalia

Mkuu Mwisho Wa Msimu Tunaongeza Chuma Kingine Straika Makini Zaidi Ili Kuongeza Ushindani Na Mayele.

Na Hadi Sasa Kwa Kuwa Asimilia Nyingi Zipo Upande Wetu Kuchukua Ubingwa 21/22 Unafahamu Vyema Kabisa Timu/Yeyote Dunia Ikichukua Ubingwa Msimu Unaofuata Huwa Kuna Asimilia Kubwa Sana Ya Kuchukua Tena.

Hiyo Unajua Sababu Ni Nini?

Sababu Kubwa Kama Timu Hahitouza/Kutoa Wachezaji Wengi Basi Itaongeza Nguvu Sehemu Ambazo Zinahitaji Maboresho.

Mfano Mzuri Young Africans Tuki-maintain Hii Consistency Hadi Mwisho Wa Msimu Mambo Machache Yatafanyiwa Kazi Kama Kuongeza Kiungo Wa Kati Kuongeza Ushindani Kwa Aucho.

Straika Pia Kuongeza Ushindani Kwa Mayele Pia Tusisahau Age Za Wachezaji Pia Zitaangaliwa Maana Back To Back Si Ya Mchezo Kama Una Wachezaji Wazee Pia Na Wasiojitoi.


Pia Tutazame Upande Wa Pili Kwa Timu Ambayo Itakosa Ubingwa Hapa Sana Sana Nyie (Simba SC) Maana Asilimia Ni Nyingi Ya Kukosa Ubingwa 21/22 Hadi Sasa Kama Msimamo Ulivyo.

Kukosa Huko Ubingwa Kutawasababisha Mvunje Pamoja Na Kuachana Na Wachezaji Wengi Sana Kwa Kigezo Cha Kusema Wamecheza Chini Ya Kiwango Na Sababu Mtakuja Nazo Nyingi Umri/Nationality Pia.

Na Kuvunja Huko Kikosi Na Kukipata Kingine Si Jambo La Muda Mfupi Na Ndicho Nakiona Kinaenda Kuwatokea Wana-msimbazi Misimu Michache Ijayo.

NB: Timu Ikikosa Ubingwa Watu Pamoja Na Mashabiki Huwa Desperate Sana Usipopata Watendaji Na Scout Waliokomaa Basi Ni Wazi Kabisa Mihemko Itakuchua Nafasi Na Hilo Ndio Young Africans Tulipitia Ndani Ya Miaka Minne.
Simba kuvunja kikosi sidhani kama sababu itakuwa ni ubingwa wa ligi kuu

Simba inatazamia zaidi kwenye mashindano makubwa kama club bingwa huko

Huku hata tukikosa kombe mara 5 ila club bingwa tukapata mara moja, hii ni historia ambayo haijawahi kutokea na itachukua centuries kuja kuvunjwa

Sasa itakuwa ni upimbi kama focus ya simba imejidhatiti kwenye ligi kuu ambapo hata ukichukua mara 5 haitakuwa kitu cha ajabu

Muhimu hapa ni simba kufanya usajili mkubwa wenye ushindani wakimataifa hapo ndio tutakuwa tumeweza
 
Leo tulikuwa tunapasha.
Week sio nyingi tutawafumua jamaa wa vunjabei
 
Mnasemaga mnafanya usajili mkubwa mwisho wa siku mnatuletea akina Chikwende na Serunkuma.
 
This time hatowapachika kimoja cha mkwezi
Yaani atawashindilia tu alaksusu ikasome.
Tena round hii mbona ndio mmepoa kabisa

Msimu uliopita ilikuwa kila muda tunawaskia "subiri tarehe 11 mayele atawakomesha"

Haya tarehe 11 ikafika, huyo mayele alifanya nini au hakucheza?

Na saizi bado mnarudia makosa yale yale, ngoja tukate ngebe
 
Utafikaje Kimataifa Kama Ndani Hutofanya Vyema Kupata Nafasi Hizo.

Kumbuka Kipindi Mnatolewa Na Wamakonde Msimu Ule Wa Kina Konde Boy.

Pamoja Na Kutolewa Kwenye Mashindano Hatua Za Mwanzo Kabisa Hakuna Mabadiliko Makubwa Yaliyofanyika Sababu Ndani Pia Mliendelea Kufanya Vizuri.

Na Msimu Uliofata Baada Ya Kuongeza Wachezaji Na Wengi Tayari Mlikuwa Mmsewasajili Hakukuwa Na Ulazima/Chachu/Mhaho Wa Kuvunja Kikosi Maana Performance Ilikuwa Inaonekana Hata Kwenye Mechi Za Mchangani.


Sasa Leo Ubingwa Wa Ndani Mmekosa Pia Kimataifa Hali Unaiona, Safari Yenu Kimataifa Ni Kama Gari La Mkaa Trip Mmoja Tu Trip Inayofata Garage Ndio Simba SC Anachopitia Sasa Ni Sinusoidal Wave Ikiamka Leo Imeshinda Kesho Imepoteza Bila Kujali Mchezo Muhimu Au Laah.


Kama Ndani Performance Itakuwa Mbovu Hakuna Uwezekano Wa Nje Ukafanya Vizuri.
Simba kuvunja kikosi sidhani kama sababu itakuwa ni ubingwa wa ligi kuu

Simba inatazamia zaidi kwenye mashindano makubwa kama club bingwa huko

Huku hata tukikosa kombe mara 5 ila club bingwa tukapata mara moja, hii ni historia ambayo haijawahi kutokea na itachukua centuries kuja kuvunjwa

Sasa itakuwa ni upimbi kama focus ya simba imejidhatiti kwenye ligi kuu ambapo hata ukichukua mara 5 haitakuwa kitu cha ajabu

Muhimu hapa ni simba kufanya usajili mkubwa wenye ushindani wakimataifa hapo ndio tutakuwa tumeweza
 
Utafikaje Kimataifa Kama Ndani Hutofanya Vyema Kupata Nafasi Hizo.

Kumbuka Kipindi Mnatolewa Na Wamakonde Msimu Ule Wa Kina Konde Boy.

Pamoja Na Kutolewa Kwenye Mashindano Hatua Za Mwanzo Kabisa Hakuna Mabadiliko Makubwa Yaliyofanyika Sababu Ndani Pia Mliendelea Kufanya Vizuri.

Na Msimu Uliofata Baada Ya Kuongeza Wachezaji Na Wengi Tayari Mlikuwa Mmsewasajili Hakukuwa Na Ulazima/Chachu/Mhaho Wa Kuvunja Kikosi Maana Performance Ilikuwa Inaonekana Hata Kwenye Mechi Za Mchangani.


Sasa Leo Ubingwa Wa Ndani Mmekosa Pia Kimataifa Hali Unaiona, Safari Yenu Kimataifa Ni Kama Gari La Mkaa Trip Mmoja Tu Trip Inayofata Garage Ndio Simba SC Anachopitia Sasa Ni Sinusoidal Wave Ikiamka Leo Imeshinda Kesho Imepoteza Bila Kujali Mchezo Muhimu Au Laah.


Kama Ndani Performance Itakuwa Mbovu Hakuna Uwezekano Wa Nje Ukafanya Vizuri.
Ubovu wa simba hauwezi kugunduliwa na timu iliyokuwa mbovu zaidi

Hayo maneno ilipaswa wawe wanasema al ahly au mamelody sio watu kama yanga

Simba inavyocheza ligi kuu ni tofauti na inavyo cheza kimataifa, ombea dua mbaya itolewe halafu utaona akiwa ligi kuu atakuwa anacheza performance gani
 
Shirikisho Hapo Hapo Utaenda Kushuhudia Namna Mnavyotapatapa. Point 1 Ile Tazama Mchezo Ulivyokuwa Wazi Kwa Wenyeji Kushinda Ni Utulivu Ulikosekana Na Morocco Namna Ulivyopoteza.

Hata Ushindi Wa Hapa Benjamin Namna Ulivyosuasua Hadi DK Za Lala Salama


Unataka Kusema Bado Hujaona Simba SC Anavyosusua?.
Ubovu wa simba hauwezi kugunduliwa na timu iliyokuwa mbovu zaidi

Hayo maneno ilipaswa wawe wanasema al ahly au mamelody sio watu kama yanga

Simba inavyocheza ligi kuu ni tofauti na inavyo cheza kimataifa, ombea dua mbaya itolewe halafu utaona akiwa ligi kuu atakuwa anacheza performance gani
 
Shirikisho Hapo Hapo Utaenda Kushuhudia Namna Mnavyotapatapa. Point 1 Ile Tazama Mchezo Ulivyokuwa Wazi Kwa Wenyeji Kushinda Ni Utulivu Ulikosekana Na Morocco Namna Ulivyopoteza.

Hata Ushindi Wa Hapa Benjamin Namna Ulivyosuasua Hadi DK Za Lala Salama


Unataka Kusema Bado Hujaona Simba SC Anavyosusua?.
Misukosuko ndio mwendo wa ngalawa

Ngoja leo tumpige berkane kichapo cha fumanizi mpaka wapokezi wao wapoteane
 
Back
Top Bottom