Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na hata hivyo wamejitahidi sana kundi lao A ni kundi la kifo.!points moja siyo haba itawasaidia kuingia kwenye whatsapp group stage
Angalau watajifunza adha za michuano ya kimataifa...😂😂😂Wasomali wameshanipigia hizi Pimbi
Ile kesi ingeendelea tu hata watuhumiwa wakiwa nje. HahahahMwambie Mh.Jaji hawa ni Somalia under 23
Yes mimi ni Yangaaa😀Jamaa wewe ,kumbe manjano ...
Naona unatumia tafsida,mnaitwa Uto au UtopoloYes mimi ni Yangaaa😀
Na nyie jina lenu lile hata siwezi kulitaja hapa😂Naona unatumia tafsida,mnaitwa Uto au Utopolo
Mbona una hasira nae sana? Utakuwa shabiki Wa bata wewe mana hao ndio kawabananisha haswa!Huyu shoga hanaga akili timamu
Vichwa machi hawa😁😁😁Angalau watajifunza adha za michuano ya kimataifa...😂😂😂
Sawa, je tunakuja tumevaa mabomu kukabiri hawa majangali wa Janjaweed na Al Shabaab au?
Mkuu Mwisho Wa Msimu Tunaongeza Chuma Kingine Straika Makini Zaidi Ili Kuongeza Ushindani Na Mayele.Ndo shida ya kuwa na nguo moja
Unakuwa kauka nikuvae...!