Mechi ya kirafiki | Yanga 1 - 1 Somalia

Mechi ya kirafiki | Yanga 1 - 1 Somalia

Aliyepora mpira naye hakuwa na taarifa kama mpira uko kwake

Hii mechi ina vituko
 
Ila feisal angesogezewa goli upande alikoelekeza mpira angefunga

Tusimchukulie kibonde
 
Yanga wanacheza foul sana
 
Mabadiliko ya mapema kwa somalia

Ismail issa anatoka

Ibrahimu ansingia
 
Daaah mashabikiwa yanga wanaridhika kwa vitu vidogo

Yani diarra kupiga moira mbele kuokoa ndio kimewapa mzuka wa kupiga mikelele hivyo?
 
Hawa wasomali wachezaji watano tu ndo wanacheza somalia. Wengine wote wametoka Europe, USA, Canada
.
Wamezaliwa huko ingawa wanacheza madaraja ya chini
.
Kuanzia daraja la pili, La tatu
.
Sio wabovu kiivyo hao yaani Full confidence

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hao wanajiandaa na game na eswatini [emoji1235] tar 23 mwezi huu wa 3
.
Inafanyika hapo hapo bongo uwanja wa Azam

Sent using Jamii Forums mobile app
Eh bana hii nikuwa siijui

Kumbe wana mechi muhimu mbele yao, inawezekana hii mechi wameitumia ku gather experience ya kiwanja

Nitaka nishangae, huu sio uchezaji wa kuridhisha kabisa kwa timu ya taifa kama somalia
 
Mashabiki wa Yanga bana

Yani vichenga kidogo wanashangilia, sasa wachezaji wao wangekuwa wanaupiga kama ule wa simba si wangekauka makoo kwa kushangilia

Au ile ya chama alivyo wakata mabeki na kuwapa mseleleko, can you imagine yanga wangeshangilia namna gani?
Kuna ile Sakho alipiga chenga Captain wa Dodoma jiji mpaka akakaa chini[emoji23]
 
Kuna ile Sakho alipiga chenga Captain wa Dodoma jiji mpaka akakaa chini[emoji23]
Sio kukaa chini tu, naskia waliokuwa karibu walimskia mchizi akisonya
 
Vinabo wana nyanyua jersey ya tuisila kama ishara gani?

Mechi haijaisha lakini mawazo yenu yote yapo kwa simba, afu mchezaji ambaye wanamtegemea eti tuisila

Mwaka jana tulipocheza na AS Vita walimshangilia shishimbi na mwisho wa siku iliwakuta aibu

Hamjifunzi kupitia makosa?
 
Back
Top Bottom