Mechi ya kirafiki | Yanga 1 - 1 Somalia

Mechi ya kirafiki | Yanga 1 - 1 Somalia

Scars

JF-Expert Member
Joined
Apr 8, 2017
Posts
48,055
Reaction score
116,512
Mechi ni saa 1 usiku

1647111473396.png
 
Habari,

Young Africans wana mechi ya hisani na timu ya taifa ya Somalia saa moja kamili usiku katika Kiwanja cha Azam Complex.

Lengo la mchezo huu wa kirafiki ni kuchangia fedha kwa ajili ya kusaidia Taasisi ya Ali Kimara (Ali Kimara Rare Disease Foundation).

yangasc-20220312-0001.jpg
 
Nawaona sana insta, wakigawa pipi kwa yatima na kuwapiga sana picha
 
Ahaaa wameona nawao wacheze mechi ya kimataifa.

Ok hongereni watani
 
Back
Top Bottom