Mechi ya Simba na Yanga imeahirishwa

Ni very hopeless. Amezubaa na mjinga sana. CCM kuna wapumbavu sana..mama nitamdharau asipowaweka pembeni huyu mshamba na mwenzake Abbas Hassan.
Huwezi kujua chanzo Hadi kuifanya wizara kuandika barua hiyo...usihukumu tu wenzio...mpira was TZ ni politics...
 
Naam

Nimeshangaa sana hii point watu hawajai raise
 
Mechi ya Yanga vs Azam ilibadilishwa kutoka saa 10 hadi saa 2:15 usiku na matangazo yalitolewa saa 6 mchana siku hiyohiyo ya mechi. Mechi ya Yanga vs Biashara United ilisogezwa mbele kutoka saa 10 hadi saa 1 na taarifa zilizotolewa saa 8 mchana siku hiyohiyo ya mechi. Katika mabadiliko hayo ya ratiba hatukuona watu wanagomea mchezo Je, ni kweli sababu za Yanga zina mashiko
[emoji57][emoji57][emoji57]
Bongo Sihami
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…