muhomakilo jr
JF-Expert Member
- Jul 28, 2013
- 15,301
- 13,858
Pole nyingi kwa washabiki mliongia mapema uwanjani...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sijaelewa kisa Ramadhan ndiyo mechi ichezwe saa moja?
Mbona Kwa resma haikua hivyo, wasituletee mambo ya kidini watu tumetoka majumbani toka saa tano mi TFF inakera sana
Mbona timu zingine zina cheza hataa saa 8 mchana ...tifutifu wanantifua mchezo wa soka
Watakaa humo kusubiria mpaka saa 1 usikuDaaah ya inashangaza sAna sasa najiuliza vip wale walio wahi na kuingia mapema je wanafidiwa kw namna yoyote ile ama inakuwaje
Mijinga sanaa yaan mijingaaa
Sion mantiki ya kusogeza muda mbeleee muda.
Kiukweli kama game ingeeanza saa 11 yanga wange pasuka mapema mapemaTFF imepokea maelekezo ya mabadiliko ya muda wa kuanza mchezo kutoka Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo.
"Asilimia 60 ya viongozi Tanzania ni mbumbumbu" by Prof. Assad.Hivi kuna tukio lipi la ghafla ambalo halikifahamika tangu mwanzo lililo fanya waahirishe mechi???
Mambo kama haya yanafanya tuamini."Asilimia 60 ya viongozi Tanzania ni mbumbumbu" by Prof. Assad.
Nami naungana na weweKweli nimeungana na Mexime,mpira unaongozwa na watu wasio wa mpira
Wizara ya habari ndio wanapanga ratiba siku hizi sio bodi ya league kushirikiana na Azam Tv wenye haki ya kurusha matangazo? Ok uamuzi mzuri sababu ya Ramdhan lakini hawa walikuwa wanajuwa ratiba ya mechi na muda siku nyingi mpaka jana wanajuwa hayo hakuna aliyewaza suala hilo ila wanakuja na statement baada ya kupewa maelekezo na wizara ya habari? shame kwa uongozi wote wa mpira hasa bodi ya league hamjielewi.Mechi ya simba na yanga itachezwa saa moja usiku badala ya saa kumi na moja jioni kama ilivyokuwa mwanzo
Taarifa hii imetolewa na Tff kwa madai kuwa wamepata maelekezo ya kusogeza muda mbele kutoka kwa wizara ya habari utamaduni
na michezo
View attachment 1777435
Alafu kumbe ni Wizara ya HM... ndo wamebadilishanimechukia kichizi bora ningejikalia zangu nyumbani tu
Ramadhan kitu gan wewe???Wizara ya habari ndio wanapanga ratiba siku hizi sio bodi ya league kushirikiana na Azam Tv wenye haki ya kurusha matangazo? Ok uamuzi mzuri sababu ya Ramdhan lakini hawa walikuwa wanajuwa ratiba ya mechi na muda siku nyingi mpaka jana wanajuwa hayo hakuna aliyewaza suala hilo ila wanakuja na statement baada ya kupewa maelekezo na wizara ya habari? shame kwa uongozi wote wa mpira hasa bodi ya league hamjielewi.
Mexime yupo sahihi kabisa Mpira unaongozwa na mijitu mijinga sana. Mnaochagua viongozi wa TFF hebu muwe mnapiga Kura kiuweledi na muachane na vizawadi vidogovidogo vya kuwarubuni mnapopiga Kura mtupatie watu makini wakuongoza Mpira.Mexime alisema tunaviongozi wajinga wanaongoza soka.